Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,951
- 27,926
Hii ni English ya wapi wewe bwana Mapepo?Why it doesn't grow in Kenya?
Hii ni English ya wapi wewe bwana Mapepo?Why it doesn't grow in Kenya?
tukumbuke mashindano yanafanyika tanzania wasisahau hio 😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/DN5KqWeitMg/?igsh=YjVtb2FqamJmajVk
Yet we are still far ahead of Tanzania in any positive matrix.kwan unafkiri kua chinnese nduo hawez kua mtanzania ? akili zenu zimejaa mavi ndio maana mji mzima umezungukwa na vinyesi badala kuokota mukatengezea mbolea mulime chakula mule 😂😂😂
🤣🤣🤣Chakula can grow anywhere even in bushes. How do you think our dear baboon aka Traveller D manages to eat daily without coming out of the bush?
Ukiwazikiliza hawa kenge unaweza dhani Kenya ni kama Singapore fulani hivi kumbe ni nchi masikini ya mfano dunia ya tatu.Lile choko NairobiWalker lilikua linabeza tuktuk za Bongo. Haya ona hizi za upumbavuni huko zilivyochokaa. 🤣🤣👇🏾View attachment 3456589Nairobi inakaa morogoro. 🤣🤣🤣
Tanzanian clubs are now riding on the Kenyan wave.
Naona wamealika the husband of teams.
View: https://x.com/SimbaSCTanzania/status/1961141361521913989?t=qrDXrQM_5eMAs8bZCqsOPg&s=19
Hatupimi maendeleo yetu kwa urefu wa magorofa!! Keep that in mind when come here with magorofa talk!!Mwanza only have one building of 15 floors. Arusha has two. Dodoma and the rest of the cities has zero.
ahead of what? mayb slums and poverty bila kusahau hunger 😂😂😂😂😂 hvo ndio vitu mumetushindaYet we are still far ahead of Tanzania in any positive matrix.
That is a former Chinese ambassador to Tanzania,
Sidhani kama ni viongozi ndio huamua.Yah, sema viongozi wetu wamekariri flyovers pekee.
Uchafu 100% wanaongoza na Midomo mirefu.ahead of what? mayb slums and poverty bila kusahau hunger 😂😂😂😂😂 hvo ndio vitu mumetushinda
Imagine Kunya walisema eti tuliwaiga BRT naishiwa nguvu. 😂Naona BRT 3 wanafanya finishing sasa.
1. Sehemu zenye pedestrian crossing kuna alama za blind people
2. Sidewalks ni pana barabara zote inapopita, naona wanamalizia pia Buguruni
3. Sehemu baadhi wamepanda miti ya Palms na kwenye kila BRT Station
4. Maeneo yenye Terminals wamepanda Bustan kabisa. Mfano Airport, Gomz, mnazi mmoja nk
5. BRT Station ni glassy kwa sehemu kubwa, na mbele sína tiles za kipekee.
6. Barabara hii inaonekana itakuwa na services lanes sehemu nyingi, naona wanajenga maeneo ya Banda ka ngozi, vingunguti, jeti na Airport. Kwa hiyo ukihesabu lanes zote ni 6 mpaka 10 maeneo mengi.
7. Inaonekana wataweka traffic lights vingunguti,majumba sita na sehemu zote Kwenye makutano. Hii itaondoa foleni zilizobaki
Ishauri.
1. Wapande miti ya Palms na Bustan sehemu inayounganisha barabara kuu na services lanes. Wanaofagiaga barabara waogezewe mishahara wamantain hizo Bustan
2. Sehemu zenye parkng za Maroli zitolewe along Nyerere road. Maroli ndo wanaleta foleni na ndiyo yatakayoharibu barabara hii. Maroli yapo pale mbele ya Tazara, maeneo ya vingunguti nk na hadi sasa ndo sehemu zimebaki na foleni hasa jioni.
3. Waweke electronic ads kwenye BRT Stations, wawape makampuni ya Simu yatangaze biashara zao in return of Free WiFi kwa wananchi.
4. Hope BRT bus zitangia ndani ya Airport karibu na Terminal 3, maana kuna eneo limetengwa kabisa la mabasi.
5. Hii route itahusisha international arrivals, hivyo Mwendokasi kuwepo option ya kulipa kwa VISA card, kuondoa usumbufu kwa watalii, na Wageni wapya Tanzania.
6. Wajitahidi sana kutafuta Operator Mapema isije ikabaki miaka miwili bila mabus kama mbagala
7. Kama wana mpango wa flyover, kamata, aisee wafanye haraka sana
Lakin ngoja tuone, labda BRT 2 na BRT 3 zikianza landa pale foleni itaisha kama magomeni kusivyo na foleni kabisa siku hiz
View attachment 3456074View attachment 3456075
walitucheka na sasa jini kawaingia 😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1960930351280238820?s=46