Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kwan unafkiri kua chinnese nduo hawez kua mtanzania ? akili zenu zimejaa mavi ndio maana mji mzima umezungukwa na vinyesi badala kuokota mukatengezea mbolea mulime chakula mule 😂😂😂
Yet we are still far ahead of Tanzania in any positive matrix.
 
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
1000081596.jpg
 
Naona BRT 3 wanafanya finishing sasa.
1. Sehemu zenye pedestrian crossing kuna alama za blind people
2. Sidewalks ni pana barabara zote inapopita, naona wanamalizia pia Buguruni
3. Sehemu baadhi wamepanda miti ya Palms na kwenye kila BRT Station
4. Maeneo yenye Terminals wamepanda Bustan kabisa. Mfano Airport, Gomz, mnazi mmoja nk
5. BRT Station ni glassy kwa sehemu kubwa, na mbele sína tiles za kipekee.
6. Barabara hii inaonekana itakuwa na services lanes sehemu nyingi, naona wanajenga maeneo ya Banda ka ngozi, vingunguti, jeti na Airport. Kwa hiyo ukihesabu lanes zote ni 6 mpaka 10 maeneo mengi.
7. Inaonekana wataweka traffic lights vingunguti,majumba sita na sehemu zote Kwenye makutano. Hii itaondoa foleni zilizobaki


Ishauri.
1. Wapande miti ya Palms na Bustan sehemu inayounganisha barabara kuu na services lanes. Wanaofagiaga barabara waogezewe mishahara wamantain hizo Bustan
2. Sehemu zenye parkng za Maroli zitolewe along Nyerere road. Maroli ndo wanaleta foleni na ndiyo yatakayoharibu barabara hii. Maroli yapo pale mbele ya Tazara, maeneo ya vingunguti nk na hadi sasa ndo sehemu zimebaki na foleni hasa jioni.
3. Waweke electronic ads kwenye BRT Stations, wawape makampuni ya Simu yatangaze biashara zao in return of Free WiFi kwa wananchi.
4. Hope BRT bus zitangia ndani ya Airport karibu na Terminal 3, maana kuna eneo limetengwa kabisa la mabasi.
5. Hii route itahusisha international arrivals, hivyo Mwendokasi kuwepo option ya kulipa kwa VISA card, kuondoa usumbufu kwa watalii, na Wageni wapya Tanzania.
6. Wajitahidi sana kutafuta Operator Mapema isije ikabaki miaka miwili bila mabus kama mbagala
7. Kama wana mpango wa flyover, kamata, aisee wafanye haraka sana
Lakin ngoja tuone, labda BRT 2 na BRT 3 zikianza landa pale foleni itaisha kama magomeni kusivyo na foleni kabisa siku hiz


View attachment 3456074View attachment 3456075
Imagine Kunya walisema eti tuliwaiga BRT naishiwa nguvu. 😂
 
Back
Top Bottom