Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa sasa order ni nyingi sana vile viwanda haviwezi himili , siku wanazindua kile Cha bagamoyo walikuwa wanaorder mkononi units 1000 na ilikuwa kipindi hizi agiza agiza za units 100 hazijaanza. Kwenye makaa ya mawe kampuni kibao zinachemka kutimiza order
wajenge kiwanda cha Yutong upesi sana sasa
 
kamata panahitaji flyover, magomeni, kinondoni morocco, mwenge, kigogo, buguruni sheli, hata pale ilala boma sema wamerudia makosa yale yale ya kila siku

dar es salaam inahitaji flyover takriban 10 za kuanzia ili angalau kufuta foleni kwa asilimia fulani
Bahati mbaya Kamata hakuna nafasi ya kuweka flyover. Kuna flyover pale Veta na mbele ya kamata kuna elevated railway huwezi kujenga flyover hapo
 

Huyo jamaa kafanya nimecheka😅😅

Screenshot_20250828_140900_X.jpg
 
Back
Top Bottom