concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,278
- 14,299
Sasa imhusu nini 🤣🤣🤣🤣Kazi wanayo mkodishaji yeye hajui alimradi chake kinaingia kwenye account ndege imepaki muda gani ikisubiri engine sio concern yake.
Sasa imhusu nini 🤣🤣🤣🤣Kazi wanayo mkodishaji yeye hajui alimradi chake kinaingia kwenye account ndege imepaki muda gani ikisubiri engine sio concern yake.
Chief umetukimbizia hawa wakora humu ndani mkuu. Legeza kidogo mkono.parkland shivachi road naona pedestrian path nzuri kabisa wow 😂😂😂😂
naona kuna watu wamefungulia vyoo🙌🏻🙌🏻
View attachment 3456166View attachment 3456167View attachment 3456168View attachment 3456169View attachment 3456170View attachment 3456171View attachment 3456172View attachment 3456173
nimeshaachia kaka tayari naomba warudi😂Chief umetukimbizia hawa wakora humu ndani mkuu. Legeza kidogo mkono.
wajenge kiwanda cha Yutong upesi sana sasaKwa sasa order ni nyingi sana vile viwanda haviwezi himili , siku wanazindua kile Cha bagamoyo walikuwa wanaorder mkononi units 1000 na ilikuwa kipindi hizi agiza agiza za units 100 hazijaanza. Kwenye makaa ya mawe kampuni kibao zinachemka kutimiza order
walitucheka na sasa jini kawaingia 😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1960930351280238820?s=46
Hiyo gari yenyewe takataka inaanzaje sasa kubeba takataka,kundustan ile nchi ina laana ya kuiba mali za EAC ile iliyokufaNDINDA gari ya taka hio alaf imagine inaingia mjini mbele ya macho ya afisa usalama wote😂😂😂😂😂😂
View attachment 3456155
Hamna kuachia,kamatia hapo haponimeshaachia kaka tayari naomba warudi😂
Soonwajenge kiwanda cha Yutong upesi sana sasa
parkland shivachi road naona pedestrian path nzuri kabisa wow 😂😂😂😂
naona kuna watu wamefungulia vyoo🙌🏻🙌🏻
View attachment 3456166View attachment 3456167View attachment 3456168View attachment 3456169View attachment 3456170View attachment 3456171View attachment 3456172View attachment 3456173
nimeshaachia kaka tayari naomba warudi😂
Bahati mbaya Kamata hakuna nafasi ya kuweka flyover. Kuna flyover pale Veta na mbele ya kamata kuna elevated railway huwezi kujenga flyover hapokamata panahitaji flyover, magomeni, kinondoni morocco, mwenge, kigogo, buguruni sheli, hata pale ilala boma sema wamerudia makosa yale yale ya kila siku
dar es salaam inahitaji flyover takriban 10 za kuanzia ili angalau kufuta foleni kwa asilimia fulani
Ni kweli, wengi ndio wanamiliki hiko kitu tu 😂
Unajenga kuelekea KurasiniBahati mbaya Kamata hakuna nafasi ya kuweka flyover. Kuna flyover pale Veta na mbele ya kamata kuna elevated railway huwezi kujenga flyover hapo
Underpass pia inawezekana. Tena ni rahisi zaidi. Mbona reli inapita chiniBahati mbaya Kamata hakuna nafasi ya kuweka flyover. Kuna flyover pale Veta na mbele ya kamata kuna elevated railway huwezi kujenga flyover hapo
Siyo kwamba hiyo barabara inakuwa busy kwasababu ya maroli?Underpass pia inawezekana. Tena ni rahisi zaidi. Mbona reli inapita chini
Nafasi haitoshi. Hio ndio ngumu zaidi. Hio ya reli ni kama mtaro tu from one side to the other. Hapo kuweka underpass itabidi ianzie kabla ya flyover yaani quality plaza halafu itokee mnazi mmoja maanake juu kuna vitu vingine.Underpass pia inawezekana. Tena ni rahisi zaidi. Mbona reli inapita chini