kamata panahitaji flyover, magomeni, kinondoni morocco, mwenge, kigogo, buguruni sheli, hata pale ilala boma sema wamerudia makosa yale yale ya kila sikuNaona BRT 3 wanafanya finishing sasa.
1. Sehemu zenye pedestrian crossing kuna alama za blind people
2. Sidewalks ni pana barabara zote inapopita, naona wanamalizia pia Buguruni
3. Sehemu baadhi wamepanda miti ya Palms na kwenye kila BRT Station
4. Maeneo yenye Terminals wamepanda Bustan kabisa. Mfano Airport, Gomz, mnazi mmoja nk
5. BRT Station ni glassy kwa sehemu kubwa, na mbele sína tiles za kipekee.
6. Barabara hii inaonekana itakuwa na services lanes sehemu nyingi, naona wanajenga maeneo ya Banda ka ngozi, vingunguti, jeti na Airport. Kwa hiyo ukihesabu lanes zote ni 6 mpaka 10 maeneo mengi.
7. Inaonekana wataweka traffic lights vingunguti,majumba sita na sehemu zote Kwenye makutano. Hii itaondoa foleni zilizobaki
Ishauri.
1. Wapande miti ya Palms na Bustan sehemu inayounganisha barabara kuu na services lanes. Wanaofagiaga barabara waogezewe mishahara wamantain hizo Bustan
2. Sehemu zenye parkng za Maroli zitolewe along Nyerere road. Maroli ndo wanaleta foleni na ndiyo yatakayoharibu barabara hii. Maroli yapo pale mbele ya Tazara, maeneo ya vingunguti nk na hadi sasa ndo sehemu zimebaki na foleni hasa jioni.
3. Waweke electronic ads kwenye BRT Stations, wawape makampuni ya Simu yatangaze biashara zao in return of Free WiFi kwa wananchi.
4. Hope BRT bus zitangia ndani ya Airport karibu na Terminal 3, maana kuna eneo limetengwa kabisa la mabasi.
5. Hii route itahusisha international arrivals, hivyo Mwendokasi kuwepo option ya kulipa kwa VISA card, kuondoa usumbufu kwa watalii, na Wageni wapya Tanzania.
6. Wajitahidi sana kutafuta Operator Mapema isije ikabaki miaka miwili bila mabus kama mbagala
7. Kama wana mpango wa flyover, kamata, aisee wafanye haraka sana
Lakin ngoja tuone, labda BRT 2 na BRT 3 zikianza landa pale foleni itaisha kama magomeni kusivyo na foleni kabisa siku hiz
View attachment 3456074View attachment 3456075
Ngamia koko wanapatikana ukunyan tu dunia nzima 😃😃Kunyaangisi, Ngamia kageuka mbwa koko, anakula jalalani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uki overdose mgonjwa utamuua. Tutamtibia nani ukiua mgonjwa!?😂😂😂😂😂😂😂😂😂 haya kaka wacha nichomoe sindano 💉💉💉
hio ndio sehem pekee nairobi imewekwa paving ya pedestrian tena katikati ya barabara ndio zile picha hua wanapost hapa ukitoka nje ya hio muindi mbingu street kote ni kwangu pakavu 😂😂😂😂Hold on mkuu kabla ya kuchomoa sindano embu turushie current picha za pale Muindi mbingu street hapo city market tuone kidogo 😁
jamaa kwamwaga gari zaidi ya 20
View: https://www.instagram.com/p/DN42IuVDFai/?igsh=MThmbXcxcnQzbHB4YQ==
We fala mwezi jana sio kiswahili cha TZ,baki kwenu huko huko machafu chafu
No residential area in kunyarenda can beat Upanga, nenda kawadanganbye wanuka mavi wenzako. 🤣🤣🤣🤣 ichoboy01 yupo Nairobi now and we all see what’s happening. Mitaa zenu ni sawa na tendale with some high rise buildings. Tena kuanzia leo ukome kutaja vimitaa vya wapumbavu huko kenya..
Mwenyekiti sisi tunaomba tu urudi salama. Ukiweza we funga usile wala usinywe chochote. Upo Mazingira hatarishi😂😂😂
Cha muhimu zaidi usiache kufinya hizi Pulizo 😂aka Kende au Float switch 😂
View attachment 3456081
No residential area in kunyarenda can beat Upanga, nenda kawadanganbye wanuka mavi wenzako. 🤣🤣🤣🤣 ichoboy01 yupo Nairobi now and we all see what’s happening. Mitaa zenu ni sawa na tendale with some high rise buildings. Tena kuanzia leo ukome kutaja vimitaa vya wapumbavu huko kenya..
Kunyaangisi, Ngamia kageuka mbwa koko, anakula jalalani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenyekiti sisi tunaomba tu urudi salama. Ukiweza we funga usile wala usinywe chochote. Upo Mazingira hatarishi😂😂😂
Cha muhimu zaidi usiache kufinya hizi Pulizo 😂aka Kende au Float switch 😂
View attachment 3456081
inabidi tuchangamkie fursa hizo mchina yeye kashaonesha nia imebakia kwetu sasaMbona china mwaka huu wanakazi sana , yaani hata kiwanda walichojenga naona hakitatosha mahitaji
Inakuwaje 90% wameweka nguvu, Nairobi lakini muonekano wake inakuwa hivi??ile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
Full uchafu full jobless,kunyaland nchi ya kizwazwaile nairobi river alioahidi ruto na pesa ikatoka ikaliwa akasema itakua sehemu nzuri ambayo mpaka samaki watavuliwa hapo ndio hii imebakia sehemu ya watu kula madawa ya kulevya na bangi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
View attachment 3456133View attachment 3456134View attachment 3456135View attachment 3456136View attachment 3456137View attachment 3456138View attachment 3456139View attachment 3456140View attachment 3456141
maendeleo yote ya nchi yako nairobi na bado wanahitaji tena miaka 50 kufika sehemu dar ipo sasa hvi 😂😂😂😂😂Inakuwaje 90% wameweka nguvu, Nairobi lakini muonekano wake inakuwa hivi??