18 century technologyTangu dunia iumbwe sijawahi ona tunnels zinajengwa kwa matofari. Leo ndio nimeona. Hakika huu ni muujiza.
18 century technologyTangu dunia iumbwe sijawahi ona tunnels zinajengwa kwa matofari. Leo ndio nimeona. Hakika huu ni muujiza.
Huyo ni comedian asikusumbue wote tunamjua humu.Anakwambia wow! wow! This Kisumu floating beach apartments will be next level 🤩🤩
Anakuwekea render, kituko akiweka picha halisi ya ujenzi sasa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3453678
Waulize Kama Isiolo international airport ina control towerUliwaambia mwaka jana wakakubishia. 😂😂😂
Kuku anaishi vizuri kuliko binadamu huko kibera na mathare
Kwani kuna ndege zinatua isiolo , si ibazidiwa na songea tuWaulize Kama Isiolo international airport ina control tower
Umenipatia kitu cha kuwapigia nao hao wakenya. Asante
The fact that munapewa hadi donations za bicycles kama ambulance truly shows how poor your country is.Kumbe ni donation tu sio government money imetumika 😁😁😁😁 unajua maana ya donation lakini?
Wewe hua mshamba huwezi elewa.Houses in an estate, owned by a company
Halafu NairobiWalker alikuwa anaishangaa Lumumba road ya Dar as if ametokea new York
Naomba uende Thika road maana NairobiWalker ni mbishi sana. Wakati nimeiona kipande kubwa cha hiyo thika road hakuna sidewalkshakuna pedestrian path na hii barabara ya chini mchina aliacha hvo hvo ikioza😂
View attachment 3451239View attachment 3451240
Kenyatta cows, won't inderstand the value of freedom.Wewe hua mshamba huwezi elewa.
🤣🤣🤣 mbona inakaa mbya.?.
Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.Sasa ju Dar hakuna street benches, uliona upeleke ushamba wako ng'ambo. Wewe wakukanyaga public bench na viatu vyako vichafu, wewe ndio mchafu mkubwa.
Yule mwarabu Ichoboy alisema ni Dhakar Bangladesh 🤣 🤣Kuna siku jamaa flani alisema hapa si Mombasa 😂😂😂
Hizo ni street bench unatafuta hivyo. 🤣🤣🤣 Waaaaa.Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.
Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha