Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanaumia mno wakiona haya

1756196893965.png
 
As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
Anakwambia wow! wow! This Kisumu floating beach apartments will be next level 🤩🤩
Anakuwekea render, kituko akiweka picha halisi ya ujenzi sasa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250826_120912.jpg
 
Wengi humu ni jaluo na "wako kwa serikali" "mtu wao yupo kwa serikali" hawapendi namna mnavyo share hizi mambo humu. 😂😂😂
Kumbe wakenya wengi kwenye huu uzi wa Dar vs Nairobi ni wajaluo? Nilipata kusikia wajaluo kule Kenya wana hali mbaya sana kimaisha kwa kulinganisha na wakenya wengi, alafu ndiyo wengi kuliko wote kama wasukuma huku kwetu, pia nasikia wananyanyasika sana na ndiyo wanaoishi Kibera na maeneo mengine mabovu.
 
Wanasema watz hawana purchasing power ya kulipa 50ksh kuingia uwanjani.

But see mashabiki wa Yanga wanagombania kwa foleni kununua jezi zao na ni 2700ksh na zinakaribia kuisha

2700ksh ni Kodi ya mtu kabisa Eastlands Nairobi
 
Back
Top Bottom