President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,760
- 89,785
Wanaumia mno wakiona haya
World order economy tunaishusha kwa kasi ya ajabu. 🤣🤣🤣🤣
Kuna siku jamaa flani alisema hapa si Mombasa 😂😂😂Alisikika mnyamwezi akisema View attachment 3453050View attachment 3453053
Anakwambia wow! wow! This Kisumu floating beach apartments will be next level 🤩🤩As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
Kumbe wakenya wengi kwenye huu uzi wa Dar vs Nairobi ni wajaluo? Nilipata kusikia wajaluo kule Kenya wana hali mbaya sana kimaisha kwa kulinganisha na wakenya wengi, alafu ndiyo wengi kuliko wote kama wasukuma huku kwetu, pia nasikia wananyanyasika sana na ndiyo wanaoishi Kibera na maeneo mengine mabovu.Wengi humu ni jaluo na "wako kwa serikali" "mtu wao yupo kwa serikali" hawapendi namna mnavyo share hizi mambo humu. 😂😂😂
18 century technologyTangu dunia iumbwe sijawahi ona tunnels zinajengwa kwa matofari. Leo ndio nimeona. Hakika huu ni muujiza.
Huyo ni comedian asikusumbue wote tunamjua humu.Anakwambia wow! wow! This Kisumu floating beach apartments will be next level 🤩🤩
Anakuwekea render, kituko akiweka picha halisi ya ujenzi sasa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3453678
Waulize Kama Isiolo international airport ina control towerUliwaambia mwaka jana wakakubishia. 😂😂😂
Kuku anaishi vizuri kuliko binadamu huko kibera na mathare
Kwani kuna ndege zinatua isiolo , si ibazidiwa na songea tuWaulize Kama Isiolo international airport ina control tower
Umenipatia kitu cha kuwapigia nao hao wakenya. Asante
The fact that munapewa hadi donations za bicycles kama ambulance truly shows how poor your country is.Kumbe ni donation tu sio government money imetumika 😁😁😁😁 unajua maana ya donation lakini?
Wewe hua mshamba huwezi elewa.Houses in an estate, owned by a company