Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ju Dar hakuna street benches, uliona upeleke ushamba wako ng'ambo. Wewe wakukanyaga public bench na viatu vyako vichafu, wewe ndio mchafu mkubwa.
Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.

Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha
 
TAZARA, Dar es Salaam to Kapirimposhi.

Cape Gauge, Railway.
FB_IMG_1756202905815.jpg

FB_IMG_1756202915394.jpg
FB_IMG_1756202913253.jpg
FB_IMG_1756202911036.jpg
FB_IMG_1756202905815.jpg
FB_IMG_1756202902507.jpg
 
Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.

Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha
Hizo ni street bench unatafuta hivyo. 🤣🤣🤣 Waaaaa.
 
Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.

Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha
Unajipa shughuli yote hiyo ili kumprove punguani 😃,utajisumbua tu coz hata ukimletea evidence hapa atabisha tu kinamna nyingine,hao nyau wameamua kuidiss TZ kivyovyote vile
 
Mliwakaribisha wenyew. Sasa wataanza kuwaharibia jina, kuwadharau na kuwatukania dada zenu. Mmekubali wake kuchezea dada zenu. Haya ndo matokeo

Kenya si mnaifanya choo. Sasa mtatuambia baada ya miaka Fulani. Na mtarespect Tanzania na maamuzi yake kuhusu black Americans. Tanzania inataka Americans wanakuja kuadd value Tanzania kwa kuongeza ajira, skills na viwanda sio Malaya wanaokuja kulala na Wanawake na kujisifia mitandaoni.

Ona huyu Jamaa anayowaponda na kuwadharau.
Tanzania ingeona hii, angetafutwa.
I respect Tanzania, pamoja na kuwa na weak government but still Kuna heshima ipo.


View: https://www.youtube.com/live/2FC6VREDjFA?si=EabX8OuVOZAz8k2w

Facts Kenyans are not attractive ila ukweli ni kwamba these fuckin' Black Americans ni losers na hii kusafiri kusaka kontents ndio kitu pekee inaweza wapa relevance.

Jamaa hana point yeyote ya msingi anaongea zaidi ya ujinga, haongelei siasa, serikali, ulinzi, utali, uchumi yeye ni: chicks, bit*hes.
Jamaa ni shuleless!
I stand with Kenyans in these trying times.

Hii ni moja ya kenge ya kimarekani aliongea mashidu X.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1959721589836288267
 
Back
Top Bottom