instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Halafu NairobiWalker alikuwa anaishangaa Lumumba road ya Dar as if ametokea new York
Halafu NairobiWalker alikuwa anaishangaa Lumumba road ya Dar as if ametokea new York
Naomba uende Thika road maana NairobiWalker ni mbishi sana. Wakati nimeiona kipande kubwa cha hiyo thika road hakuna sidewalkshakuna pedestrian path na hii barabara ya chini mchina aliacha hvo hvo ikioza😂
View attachment 3451239View attachment 3451240
Kenyatta cows, won't inderstand the value of freedom.Wewe hua mshamba huwezi elewa.
🤣🤣🤣 mbona inakaa mbya.?.
Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.Sasa ju Dar hakuna street benches, uliona upeleke ushamba wako ng'ambo. Wewe wakukanyaga public bench na viatu vyako vichafu, wewe ndio mchafu mkubwa.
Yule mwarabu Ichoboy alisema ni Dhakar Bangladesh 🤣 🤣Kuna siku jamaa flani alisema hapa si Mombasa 😂😂😂
Hizo ni street bench unatafuta hivyo. 🤣🤣🤣 Waaaaa.Ngoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.
Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha
Akili kubwa,gharama ndogo tutapata viwanja viwili mikoa tofauti3 upcoming stadias in Tanzania
1.Fumba stadium Znz View attachment 3453634View attachment 3453635View attachment 34536362. Arusha stadium 👇🏾View attachment 34536393. Dom stadium 👇🏾View attachment 3453641kwa case ya international standards stadias hapa EA sisi Tupo mbele ya muda sana.
Unajipa shughuli yote hiyo ili kumprove punguani 😃,utajisumbua tu coz hata ukimletea evidence hapa atabisha tu kinamna nyingine,hao nyau wameamua kuidiss TZ kivyovyote vileNgoja Nipige picha street benches za Baadhi ya mitaa hapa.
Nenda pale Ohio street, na karibu na bibi titi road, nenda pale agha khan walk, nenda posta ya zamani.
This Sunday nitapiga picha
Hii ni Rovos train. Luxurious train from Capetown to Dar.TAZARA, Dar es Salaam to Kapirimposhi.
Cape Gauge, Railway.View attachment 3453756
View attachment 3453752View attachment 3453753View attachment 3453754View attachment 3453756View attachment 3453755
mwamba kashusha gari 100 brand new 🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DNz6x022Crv/?igsh=MWJkZHltMHJscmgwMg==
mwamba kashusha gari 100 brand new 🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DNz6x022Crv/?igsh=MWJkZHltMHJscmgwMg==
Mliwakaribisha wenyew. Sasa wataanza kuwaharibia jina, kuwadharau na kuwatukania dada zenu. Mmekubali wake kuchezea dada zenu. Haya ndo matokeo
Kenya si mnaifanya choo. Sasa mtatuambia baada ya miaka Fulani. Na mtarespect Tanzania na maamuzi yake kuhusu black Americans. Tanzania inataka Americans wanakuja kuadd value Tanzania kwa kuongeza ajira, skills na viwanda sio Malaya wanaokuja kulala na Wanawake na kujisifia mitandaoni.
Ona huyu Jamaa anayowaponda na kuwadharau.
Tanzania ingeona hii, angetafutwa.
I respect Tanzania, pamoja na kuwa na weak government but still Kuna heshima ipo.
View: https://www.youtube.com/live/2FC6VREDjFA?si=EabX8OuVOZAz8k2w