Ati TZ pekee ?..🤣🤣🤣… that’s tea . Google Kericho or Limuru ( don’t forget Kenya’s number 1 in the world of black tea). And with better roads too sio Matope ka nyinyi . Hereby is Timau near my hometown, Nanyuki . And with tarmac road ..Njombe Tanzania - Tanzania pekee unaweza pata picha kama hii
View attachment 3452360
View attachment 3452361
Hakuna, but why uchukue vitu vya wengine na usiweproud na watu wene na mabo yenu, nini shida na vya kwenu?Sasa ni nini cha kujigamba hapa. Akili yako iko Sawa kweli? Or you escaped from the rehabilitation centre?
Hiyo ni Maoni yako ya kupayuka tu. As always, we lead, you copycat and follow us ..Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Kuna nchi hazitafika huku mpaka yesu anarudi (Najua unajua)
View attachment 3452372
View attachment 3452378
View attachment 3452379
Kericho kwa maeneo ya Tanzania ni sisimizi. Kuna mashamba ya chai hapa Tanzania, Iringa, Njombe, Mbinga, Kagera, Arusha, Kilimanjaro nk. Wewe unaongelea Kericho KwikwikwikwiAti TZ pekee ?..🤣🤣🤣… that’s tea . Google Kericho or Limuru ( don’t forget Kenya’s number 1 in the world of black tea). And with better roads too sio Matope ka nyinyi . Hereby is Timau near my hometown, Nanyuki . And with tarmac road ..
View attachment 3453014View attachment 3453015
Check, hizi mada za mwaka gani?Nimeuliza swali, hiyo camera quality ni ya 2005? Mnapenda uongo uongo hata vitu vilivyo wazi. Wenzako wanasema 2014 wee umekwamilia 2005.
Ni nini Alichukua?Hakuna, but why uchukue vitu vya wengine na usiweproud na watu wene na mabo yenu, nini shida na vya kwenu?
Utaambiwa picha ni ya 1999. 🤣 🤣Afadhali sisi wakenya tunakubali hizo Tuktuk ambulance zinatumika kwa narrow streets of Lamu and Mombasa old town. Bongolala munatucheka na mkonazo pia. Bongolalas are the biggest hypocrites in the world. 🤣 🤣 🤣
![]()
Hadi wakona bicycle ambulance. 🤣🤣🤣
![]()
First Bicycle Ambulance by Vaculug Makes a Lifesaving Journey in Tanzania
Vaculug's first bicycle ambulance, working alongside Transaid saves lives in Tanzania | Retreading Businesswww.retreadingbusiness.com
![]()
Bongolalas hadi wakona fire engine za Tuktuk.
![]()
Tarehe 1. BRT 2 inafunguliwa. Watz zaidi ya 1000 wanaenda kupata ajira mpya hapa jijini Dar.Yaani hamna mradi wowote wa maana wa kiuchumi zaidi ya hivi vighorofa na uwanja wa Talanta. Huu mradi ukikamilika na Talanta utatoa ajira kiasi gani na utachochea uchumi vipi🚮
Asking for a Kenyan friend
Tangu dunia iumbwe sijawahi ona tunnels zinajengwa kwa matofari. Leo ndio nimeona. Hakika huu ni muujiza.Hiyo ni Maoni yako ya kupayuka tu. As always, we lead, you copycat and follow us ..
View attachment 3453023View attachment 3453024View attachment 3453025View attachment 3453027
Sababu hazijawahi hutapata picha zikiwa na wagonjwa popoteDo you have proof the Mwanza ones did not operate?
Again, Heavy vehicles are highly regulated on lamu Island, that's why they chose a tuktuk. What's your excuse?
So affordable housing projects are not buildings? Kweli wewe utabaki kuwa ng’ombe milele.As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
Tanzanians are very poor lakini hua hawataki kukubali, wako busy wanafocus na mashida za Kenya. 🤣 🤣 🤣
![]()
![]()
Hata ukiweka mkoa wa Lindi na Ruvuma na uongeze Zanzibar , Kericho pekee iko na chai mingi kuliko all of Tanzania. I didn’t even mention purple Tea ( trademark of Kenya hence only grown in Kenya). So fafanua your point . ( please don’t take the word fafanua literally)..🤣🤣🤣🤣🤣Kericho kwa maeneo ya Tanzania ni sisimizi. Kuna mashamba ya chai hapa Tanzania, Iringa, Njombe, Mbinga, Kagera, Arusha, Kilimanjaro nk. Wewe unaongelea Kericho Kwikwikwikwi
Uongo. Company za chai Tanzania zinauza chai Uchina na Ulaya.Hata ukiweka mkoa wa Lindi na Ruvuma na uongeze Zanzibar , Kericho pekee iko na chai mingi kuliko all of Tanzania. I didn’t even mention purple Tea ( trademark of Kenya hence only grown in Kenya). So fafanua your point . ( please don’t take the word fafanua literally)..🤣🤣🤣🤣🤣
Stop mambo ya blind patriotism… top 7 black tea exporters in the world . I repeat , Kericho alone has more tea than all of TZ ..Uongo. Company za chai Tanzania zinauza chai Uchina na Ulaya.
Wewe uko na picha ya ile ya Lamu ikiwa na wagonjwa?Sababu hazijawahi hutapata picha zikiwa na wagonjwa popote