Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanians are very poor lakini hua hawataki kukubali, wako busy wanafocus na mashida za Kenya. 🤣 🤣 🤣


Tanzania yapokea magari 10 ya wagonjwa – HabariLeo
India yaipatia Tanzania gari 10 - Jambo FM Radio Tanzania
 
Njombe Tanzania - Tanzania pekee unaweza pata picha kama hii

View attachment 3452360

View attachment 3452361
Ati TZ pekee ?..🤣🤣🤣… that’s tea . Google Kericho or Limuru ( don’t forget Kenya’s number 1 in the world of black tea). And with better roads too sio Matope ka nyinyi . Hereby is Timau near my hometown, Nanyuki . And with tarmac road ..
IMG_7503.jpeg
IMG_7502.jpeg
 
Ati TZ pekee ?..🤣🤣🤣… that’s tea . Google Kericho or Limuru ( don’t forget Kenya’s number 1 in the world of black tea). And with better roads too sio Matope ka nyinyi . Hereby is Timau near my hometown, Nanyuki . And with tarmac road ..
View attachment 3453014View attachment 3453015
Kericho kwa maeneo ya Tanzania ni sisimizi. Kuna mashamba ya chai hapa Tanzania, Iringa, Njombe, Mbinga, Kagera, Arusha, Kilimanjaro nk. Wewe unaongelea Kericho Kwikwikwikwi
 
Nimeuliza swali, hiyo camera quality ni ya 2005? Mnapenda uongo uongo hata vitu vilivyo wazi. Wenzako wanasema 2014 wee umekwamilia 2005.
Check, hizi mada za mwaka gani?




 
Afadhali sisi wakenya tunakubali hizo Tuktuk ambulance zinatumika kwa narrow streets of Lamu and Mombasa old town. Bongolala munatucheka na mkonazo pia. Bongolalas are the biggest hypocrites in the world. 🤣 🤣 🤣

No photo description available.


Hadi wakona bicycle ambulance. 🤣🤣🤣


First Bicycle Ambulance by Vaculug Makes a Lifesaving Journey in Tanzania |  Retreading Business


Bongolalas hadi wakona fire engine za Tuktuk.

Tanzania Karne ya 21: Afya Mikononi mwa Babu Loliondo na Ambulance za  bajaji ~ Kulikoni Ughaibuni
Utaambiwa picha ni ya 1999. 🤣 🤣
 
Yaani hamna mradi wowote wa maana wa kiuchumi zaidi ya hivi vighorofa na uwanja wa Talanta. Huu mradi ukikamilika na Talanta utatoa ajira kiasi gani na utachochea uchumi vipi🚮

Asking for a Kenyan friend
Tarehe 1. BRT 2 inafunguliwa. Watz zaidi ya 1000 wanaenda kupata ajira mpya hapa jijini Dar.
 
As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
So affordable housing projects are not buildings? Kweli wewe utabaki kuwa ng’ombe milele.

Lumumba Affordable housing pekee Ina more buildings above 15 floors than entire Dodoma.
 
Tanzanians are very poor lakini hua hawataki kukubali, wako busy wanafocus na mashida za Kenya. 🤣 🤣 🤣


Tanzania yapokea magari 10 ya wagonjwa – HabariLeo
India yaipatia Tanzania gari 10 - Jambo FM Radio Tanzania

Screenshot_20250825_204425_Chrome.jpg
 
Kericho kwa maeneo ya Tanzania ni sisimizi. Kuna mashamba ya chai hapa Tanzania, Iringa, Njombe, Mbinga, Kagera, Arusha, Kilimanjaro nk. Wewe unaongelea Kericho Kwikwikwikwi
Hata ukiweka mkoa wa Lindi na Ruvuma na uongeze Zanzibar , Kericho pekee iko na chai mingi kuliko all of Tanzania. I didn’t even mention purple Tea ( trademark of Kenya hence only grown in Kenya). So fafanua your point . ( please don’t take the word fafanua literally)..🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata ukiweka mkoa wa Lindi na Ruvuma na uongeze Zanzibar , Kericho pekee iko na chai mingi kuliko all of Tanzania. I didn’t even mention purple Tea ( trademark of Kenya hence only grown in Kenya). So fafanua your point . ( please don’t take the word fafanua literally)..🤣🤣🤣🤣🤣
Uongo. Company za chai Tanzania zinauza chai Uchina na Ulaya.
 
Back
Top Bottom