Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Blueband, Colgate, OMO ni brands za Unilever ambayo ni kampuni ya Wazungu with HQ in Kenya, kwa EA


Kwasasa DOFFI inawapeleka PUTA OMO huko Kenya
Colgate market share yake hapa Tanzania imeshuka mno kwa sasa zaidi ya 80% ya watanzania wanatumia whitedent product of Tanzania by ChemiCotext iliyopo Afrikana Mbezi Beach

1756190702373.png


1756190721907.png


1756190734191.png


1756190746385.png


 
As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
Anakwambia wow! wow! This Kisumu floating beach apartments will be next level 🤩🤩
Anakuwekea render, kituko akiweka picha halisi ya ujenzi sasa 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250826_120912.jpg
 
Wengi humu ni jaluo na "wako kwa serikali" "mtu wao yupo kwa serikali" hawapendi namna mnavyo share hizi mambo humu. 😂😂😂
Kumbe wakenya wengi kwenye huu uzi wa Dar vs Nairobi ni wajaluo? Nilipata kusikia wajaluo kule Kenya wana hali mbaya sana kimaisha kwa kulinganisha na wakenya wengi, alafu ndiyo wengi kuliko wote kama wasukuma huku kwetu, pia nasikia wananyanyasika sana na ndiyo wanaoishi Kibera na maeneo mengine mabovu.
 
Back
Top Bottom