instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Mliwakaribisha wenyew. Sasa wataanza kuwaharibia jina, kuwadharau na kuwatukania dada zenu. Mmekubali wake kuchezea dada zenu. Haya ndo matokeo
Kenya si mnaifanya choo. Sasa mtatuambia baada ya miaka Fulani. Na mtarespect Tanzania na maamuzi yake kuhusu black Americans. Tanzania inataka Americans wanakuja kuadd value Tanzania kwa kuongeza ajira, skills na viwanda sio Malaya wanaokuja kulala na Wanawake na kujisifia mitandaoni.
Ona huyu Jamaa anayowaponda na kuwadharau.
Tanzania ingeona hii, angetafutwa.
I respect Tanzania, pamoja na kuwa na weak government but still Kuna heshima ipo.
View: https://www.youtube.com/live/2FC6VREDjFA?si=EabX8OuVOZAz8k2w
Kenya si mnaifanya choo. Sasa mtatuambia baada ya miaka Fulani. Na mtarespect Tanzania na maamuzi yake kuhusu black Americans. Tanzania inataka Americans wanakuja kuadd value Tanzania kwa kuongeza ajira, skills na viwanda sio Malaya wanaokuja kulala na Wanawake na kujisifia mitandaoni.
Ona huyu Jamaa anayowaponda na kuwadharau.
Tanzania ingeona hii, angetafutwa.
I respect Tanzania, pamoja na kuwa na weak government but still Kuna heshima ipo.
View: https://www.youtube.com/live/2FC6VREDjFA?si=EabX8OuVOZAz8k2w