Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mliwakaribisha wenyew. Sasa wataanza kuwaharibia jina, kuwadharau na kuwatukania dada zenu. Mmekubali wake kuchezea dada zenu. Haya ndo matokeo

Kenya si mnaifanya choo. Sasa mtatuambia baada ya miaka Fulani. Na mtarespect Tanzania na maamuzi yake kuhusu black Americans. Tanzania inataka Americans wanakuja kuadd value Tanzania kwa kuongeza ajira, skills na viwanda sio Malaya wanaokuja kulala na Wanawake na kujisifia mitandaoni.

Ona huyu Jamaa anayowaponda na kuwadharau.
Tanzania ingeona hii, angetafutwa.
I respect Tanzania, pamoja na kuwa na weak government but still Kuna heshima ipo.


View: https://www.youtube.com/live/2FC6VREDjFA?si=EabX8OuVOZAz8k2w
 
Hata Kenya NHC has been doing so for a long time . Also every town in Kenya has municipal, town or county council houses . Some of the affordable housing projects especially in Nairobi are being built on same land after demolition of the old city council houses . State corporations like Kenya Railways has had affordable housing for the staff since independence. Old Muthurwa estate in Nairobi is an example though is being replaced by modern skyscrapers via the upcoming Railway city . There are many other state corporations housing estates. The reason why affordable housing is special is because it’s modern and in large scale grand scheme compared to the past . More attention like amenities and better public spaces have been considered. It’s helping decongest cities and towns through proper planning and management. It’s also open to all citizens . I am sure you have seen the skyscrapers being built all over the country.
You are writing too many words. Tuoneshe picha na links za projects zilizopo kenya. Wakenya maneno mengi action zero.
 
Produced in Tanzania

1756188937350.png


1756188960239.png
 
Kwa hivo gari za 2014 hazifanyi kazi?
Asee so umetuletea Guta with no identification kua ni ambulance na hata hatujui ni ya nani 2014,

Kujustify kuwa na Tuktuk ya County kabisa kama ambulance hii 2025? Government tuktuk

While unaignore development ya Ambulance provision mpaka imefika boat.

Now guta zimekua gari?

Punguza ufala why usituletee basi zipo hospital gani? Unadhani hao wapinzani wote kina sarungi wangeliruka?
 
Blueband, Colgate, OMO ni brands za Unilever ambayo ni kampuni ya Wazungu with HQ in Kenya, kwa EA


Kwasasa DOFFI inawapeleka PUTA OMO huko Kenya
Colgate market share yake hapa Tanzania imeshuka mno kwa sasa zaidi ya 80% ya watanzania wanatumia whitedent product of Tanzania by ChemiCotext iliyopo Afrikana Mbezi Beach

1756190702373.png


1756190721907.png


1756190734191.png


1756190746385.png


 
Back
Top Bottom