Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbingu na Ardhi
Mwanza Central Bank building
View attachment 3452681
Dodoma BOT
View attachment 3452692
IMG_0724.jpeg
IMG_0723.jpeg

IMG_0725.jpeg
 
Siku hizi watanzania wanaogopa kulinganisha their dwarf cities with Kisumu in terms of tall buildings.

6 more towers of 11 floors coming up along the shores of Lake Victoria in Kisumu.

View attachment 3452697View attachment 3452698
As of now, no city in kunya renda kando Ya Nairobi inaweza shindana na Dom likija suala la high rise buildings. We are not talking of Affordable housing projects. 🤣🤣🤣
 
Hebu taja hizo kumi tuone hapa
Most of buildings Tanzania za kimkakati na kibiashara zinajengwa na:


Hizo kampuni zote kila siku kazi yao ni UJENZI tu, hakuna kingine.

Ndio maana WE OWN our CITIES, ila Nairobi huko Westlands mmeachia wahuni tu.

Saaa hivi mmeachiwa wasomali South C, na Wachina wanajenga Kilimani mpaka Syikomu
 
Flyover gani mnajenga.

Eurobond na Expressway zinawamaliza na hazikujengwa kwa public interest.

  • Eurobond
  • Expressway


Na sasa mnaenda kujiweka kwa Panda Bond.

Kwisha kazi.
Wewe jinyonge kama unaumia hivyo sana. Vilaza wenzako si Kila siku hapa wanatuambia kwamba tunajenga flyovers bila uhitaji?
 
Most of buildings Tanzania zinajengwa na:

  • NHC (State corporation)
  • Watumishi Housing
  • TBA (Tanzania Building Authority)

Hizo kampuni zote kila siku kazi yao ni UJENZI tu, hakuna kingine.

Ndio maana WE OWN oir CITIES, ila Nairobi huko Westlands mmeachia wahuni tu.

Saaa hivi mmeachiwa wasomali South C, na Wachina wanajenga Kilimani mpaka Syikomu
Bongolala, stop beating around the bush. Show us affordable housing projects being undertaken in your shithole country
 
Wengi humu ni jaluo na "wako kwa serikali" "mtu wao yupo kwa serikali" hawapendi namna mnavyo share hizi mambo humu. 😂😂😂
Tanzania kuna NHIF,

Watu wanalipa kwa CONTROL NUMBER au MAKATO DIRECT kwenye mishahara yanaenda kwenye account za NHIF, na inalipa vituo.


NHIF wana Website yao na huduma zote ikiwemo VERIFICATION na SELF SERVICE (National Health Insurance Fund)


Sasa hawa TECH CITY of AFRICA, Check hizo COMPLICATION, ilimradi WAPIGWE tu.
 
Back
Top Bottom