Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Fanyeni maendeleo yenu polepole muwache kusumbuliwa na za Kenya as if hela ni zenu. Sisi tunajenga flyovers kila mahali and we'll continue building them. Kama zinawaumiza mezeni wembe mfeKwasasa Mwanza haina haja ya Flyover.
Inahitaji, 6 LANES HIGHWAYS angalau mbili.
Moja tayari inajengwa.