Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usifananishe Changombe na vitu vya kijinga kama pipeline.
Chang'ombe
images - 2025-07-09T145239.917.jpeg


Pipeline
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-08-05T223105.521.jpeg


The difference is like day and night
 
i see parkland, kilimani , westland, CBD and upper hill in one pic 😂😂😂😂😂

alaf bado unaambiwa 690km sq na nairobi nationl park iko ndani ya hzo km sq na bado ile misitu imezunguka kila kona
Kilimani iko wapi hapo bongolala? The picture is taken from Parklands sasa sijui hayo magorofa ya Upper Hill hayafai kuonekana or what's exactly your point?


What will you say about this picture taken in kijiko ya nyama and showing your entire cbd, kariakoo and Upanga all in one shot? Nini kilichobaki hapa?
moizhusein_1642362358564836.jpg

images - 2024-04-05T134243.099.jpeg
 
Shabana nets over a million kshs in gate collections., kuna wakati kule Gusii stadium Kisii they collected Kshs5M, mashinani, haijawai kutokea Tanzania timu ikusanye pesa kiwango hiyo nje ya Dar.., fanya google rafiki., sio lazima uulize maswali..,
How should we believe the crap ikiwa players hawawezi lipwa salary na wanalia?
 
Hata wakilima bado sisi bidhaa zetu zitakuwa cheap kuliko zao. Hapa kwenye msosi hawachomoki leo Kenya is our backyard in food trade.
Hawa jamaaa sasa tumewaziba midomo na watanzania wameonesha dharau ya hali ya juuu.
Yaan ukibisha kidogo mtz anakuambia nafunga koki ya mahindi.

View: https://vm.tiktok.com/ZMSEQex58/

Kitu wasichojua wakenya hata mkigomea mahindi sasa hivi kwa infrastructure zilizopo sasa hivi watu watahamia kwenye mazao yenye kuhitajika sana , mfano tu kuna trend ya watu kuhamia kwenye soya bean na ngano kwa wingi sana Tena Mashamba makubwa sana.
Soya na ngano bado haijawahi kosa soko.
Mwaka huu kimyaaaa🤣🤣🤣🤣
 
Tuonyeshe current picha za hayo maeneo,dar hamna slum,then hiyo chang'ombe unayoiota haina viwanja vya squarter,95 ya nyumba zake ni za kota na ndio moja maeneo ya kisure mitaa iliyopangiliwa na muingereza kama ilivyo magomeni,all in all ww ni mngese
You call this one planning?🤣🤣🤣
images - 2025-07-09T145239.917.jpeg


What then will we say of Lang'ata below?
images - 2025-05-28T195741.670.jpeg
 
Back
Top Bottom