Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya haina uwezo wa kupambana na TZ kidiplomasia, labba tuzembee au kupotezea wenyewe
waliunda COW ili wa-bypus Tanzania , wakapitisha vitu kadhaa kama single viza, matumizi ya I'd kwa Wana EAC ,ila mpaka leo hakuna walichofanikiwa , wanabaki kulalama eti mbona Uganda na kwingine tunaweza kwenda bila passport ila wanasahau wakati wanapitisha hivyo vitu wali - sideline Tanzania 🤣🤣🤣🤣.
Yanayotokea Leo ni matokeo ya COW
 
waliunda COW ili wa-bypus Tanzania , wakapitisha vitu kadhaa kama single viza, matumizi ya I'd kwa Wana EAC ,ila mpaka leo hakuna walichofanikiwa , wanabaki kulalama eti mbona Uganda na kwingine tunaweza kwenda bila passport ila wanasahau wakati wanapitisha hivyo vitu wali - sideline Tanzania 🤣🤣🤣🤣.
Yanayotokea Leo ni matokeo ya COW
Ukweli ni kuwa hakuna EAC bila TZ, ila Kenya huwa wanajifanya viongozi sisi tunatulia tu.

Program zao za COW zilikuwa ni:
  • Single visa ya utalii (Walipitisha) maana Uganda na Rwanda kwenye utalii hawana manufaa, ananufaikna Kenya. TZ tulikataa.
  • SGR (Wameishia kutapeliana tu)
  • Securitya and defence.

Bila TZ EAC haitakuwepo kwasababu Kenya yeye kipaumbele ni PESA na kunufaika yeye bila kujali wenzake.

Kenya anafanya biashara na wahuni wote, kuanzia M23, RSF ya Sudan.

Uganda hawana maelewano mazuri na Rwanda na wamewahi kufungiana mipaka.

Rwanda haelewani na DRC.

Rwanda haewelewani na Burundi.

Bila TZ hiyo EAC haipo.
 
Back
Top Bottom