Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unapinga na he has clearly said hizo nyumba kwa hii picha ni Fedha. Bongolala kama malaya kweli. Fedha yenyewe hata huijui na unaropokwa tu.

Picha ndio hii usiwe mjinga.

downloadfile-32.png
Leta video
 
MOMBASA ni zaidi ya Dar, city moja pekee ya kiukweli Tanzania nzima.,🤣🤣🤣
Mombasa city🔥🔥🔥
View attachment 3432704
View attachment 3432701
View attachment 3432706
View attachment 3432705
View attachment 3432719
Tazama 👇👇sehemu ya maana Dar es Salaam.., wataweka angles tofauti.., 🤣🤣🤣🤣🤣.., hakuna sehemu yeyote pale Dar imejengeka zaidi ya hapa👇👇🤣🤣🤣
View attachment 3432707
Ulienda huko upige picha watakuambia mbona hukuenda hii sehemu.😂😂
 
Kenya haina uwezo wa kupambana na TZ kidiplomasia, labba tuzembee au kupotezea wenyewe
waliunda COW ili wa-bypus Tanzania , wakapitisha vitu kadhaa kama single viza, matumizi ya I'd kwa Wana EAC ,ila mpaka leo hakuna walichofanikiwa , wanabaki kulalama eti mbona Uganda na kwingine tunaweza kwenda bila passport ila wanasahau wakati wanapitisha hivyo vitu wali - sideline Tanzania 🤣🤣🤣🤣.
Yanayotokea Leo ni matokeo ya COW
 
waliunda COW ili wa-bypus Tanzania , wakapitisha vitu kadhaa kama single viza, matumizi ya I'd kwa Wana EAC ,ila mpaka leo hakuna walichofanikiwa , wanabaki kulalama eti mbona Uganda na kwingine tunaweza kwenda bila passport ila wanasahau wakati wanapitisha hivyo vitu wali - sideline Tanzania 🤣🤣🤣🤣.
Yanayotokea Leo ni matokeo ya COW
Ukweli ni kuwa hakuna EAC bila TZ, ila Kenya huwa wanajifanya viongozi sisi tunatulia tu.

Program zao za COW zilikuwa ni:
  • Single visa ya utalii (Walipitisha) maana Uganda na Rwanda kwenye utalii hawana manufaa, ananufaikna Kenya. TZ tulikataa.
  • SGR (Wameishia kutapeliana tu)
  • Securitya and defence.

Bila TZ EAC haitakuwepo kwasababu Kenya yeye kipaumbele ni PESA na kunufaika yeye bila kujali wenzake.

Kenya anafanya biashara na wahuni wote, kuanzia M23, RSF ya Sudan.

Uganda hawana maelewano mazuri na Rwanda na wamewahi kufungiana mipaka.

Rwanda haelewani na DRC.

Rwanda haewelewani na Burundi.

Bila TZ hiyo EAC haipo.
 
Back
Top Bottom