Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma ilianza juzi tu. Sahii inapiga vimji vyote vya kunya vinavyoitwa cities πŸ˜† Njedengwa. πŸ‘‡πŸΎ
IMG_0272.jpeg
IMG_0276.jpeg
 
Uhalisia wa mashabiki unaonekana kwenye makusanyo ya getini.
Unaweza kutuletea mechi yoyote iliyofanyika Kenya mkafikisha hata ksh 10mil for the past 20 years?
Yearly gate revenue ya Shabana is bigger than ya Simba na Yanga. Yanga collects an average of Ksh 700,000 per home game while Shabana does more than Ksh1.5M week in week out.
 
Yan huyo atabisha hata kwa kuleta picha za miaka 50 iliyopita ili aifurahishe nafsi yake tu,ila kimoyo moyo ukweli anaujua,then asituchanganye naislum,slum si pipeline tu
Eti pipeline ni slum? What then will we call Mburahati, Kigogo, Chang'ombe na maeneno mengine mengi?
 
Dodoma is as old as his great-grandfather na hapa tunaambiwa ni ya juzi!
Hawa majamaa buana. Kuna mwengine alisema Dar imeanza tu juzi saahii inatoa Nairobi povu kwa magorofa. Yaani Dar mji wa 19th Century mtu anakwambia umeanza tu juzi. 🀣 🀣
 
Back
Top Bottom