Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,302
- 33,631
Kaka umemkimbiza yule fala Don YF ,alikua active humu ila ulipoweka ukweli wa alichokua anadanganya humu,ghafla kapotea,ile sasa ndio tabia ya kikenya kupretend humu mitandaoni if wana maisha mazuri in contrary wana umaskini wa kutishaHahaha tushawazoea si unaona kapotea mazima