Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha tushawazoea si unaona kapotea mazima
Kaka umemkimbiza yule fala Don YF ,alikua active humu ila ulipoweka ukweli wa alichokua anadanganya humu,ghafla kapotea,ile sasa ndio tabia ya kikenya kupretend humu mitandaoni if wana maisha mazuri in contrary wana umaskini wa kutisha
 
Yet zingekuwa Namanga mngesema mnatulisha sivyo?
Have you noted a trend, kuwa tunafanya tunavyotaka na kuimpliment any polocy as we see it fit na hamna la kufanya, na kila mnalofanya tunarisiprokeit, kama kuzuia ndege zote, na mnaufyata always.

Huo ndio uhalisia wa uchumi mkubwa regionally, dictating the terms of trade and so forth.
 
Have you noted a trend, kuwa tunafanya tunavyotaka na kuimpliment any polocy as we see it fit na hamna la kufanya, na kila mnalofanya tunarisiprokeit, kama kuzuia ndege zote, na mnaufyata always.

Huo ndio uhalisia wa uchumi mkubwa regionally, dictating the terms of trade and so forth.
Mimi nasubiria waanze kufukuza wabongo mpaka leo sijaona ila sisi tushaanza kuwanyorosha kama kawaida na hawana Cha kutufanya
 
MAMBASA

Screenshot 2025-08-05 202033.png
 
Back
Top Bottom