Ndio ujue mtanzania ni kilaza.., ingia google earth utazame
Ruai (Ruai!!! kama ni slum, basi Tanzania yote ni slum)..,
Uthiru
Riruta
Kawangware
Githurai..,
Tazama kwa urefu na upana wa kila eneo, ujionee.., hatufanani
kisha screenshot tuone kama utaona Ukibera pale.., hakuna uswazi iko level ya hizi sehemu kiukweli.., mko hovyo, poor dirt slums are segmented sehemu, ndio maana Ruto anaziondoa kirahisi.., pale Dar pengine mjenge jiji lingine., uswazi unazidi kutapakaa,kwa vile jiji ya kutafuta hela ni moja Tanzania., sasa mafukara wote kutoka vijijini wanakimbilia Dar kutafuta wakikosa utawapata Mombasa, Nairobi, Nakuru., hadi Migori, na wasio fanikiwa wanaishia kukuwa omba omba