Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo hapo kimoja kimoja ni assembling kingine ni complete manufacture?🤣🤣🤣🤣
Hii ndio maana nasema you need to understand stuff,copy pasting is not enough. Sasa ona unauliza swali la kipuzi ju you don't understand the whole thing. 🤣🤣 Bila kulewa kitu kwa undani hata Google haiwezi kusaidia.
 
Ona hii jamaa anaanza kudanganya watu.
China haijawahi kuacha communism maisha yake yote hadi sasa.
Alichofanya huyo jamaa ni mabadiliko ya sera zilizopo kwenye communism.
China haikuwahi kuwa capitalist nation hata mwaka mmoja.
At this point, I'll letave you to wallow in your ignorance. 🚮 🚮 🚮
 
Nakumbuka akisema ati tunabebwa ufala na Ruto na hakuna Stadium inaezajengwa within 18 months🤣😂😂.

Siku hizi acceptance inawaingia with a speed they didn't expect 😂
Lakini imeingia faster than I expected especially to inveterate haters like game over 😂
 
Hii ndio maana nasema you need to understand stuff,copy pasting is not enough. Sasa ona unauliza swali la kipuzi ju you don't understand the whole thing. 🤣🤣 Bila kulewa kitu kwa undani hata Google haiwezi kusaidia.
Kwahiyo nyinyi mnafanya skd au mnapokea skd's kwa ajili ya kufanya assembling.
Nganya mnapokea skd then mnafanya assembling?
 
Acha ujinga wewe SKD maana yake ni semi knocked down parts ambazo huunganishwa na parts nyingine kwenye assembly line kutengeneza a product while CKD ni complete knocked down parts zote zina tozwa kodi tofauti wakati wa uingizwaji nchini.
Read to understand not to reply, I clearly said SKD assembly is the process while SKD Unit is the product.

Why waste your time telling me what I already stated.
 
Back
Top Bottom