Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ndio maana nasema you need to understand stuff,copy pasting is not enough. Sasa ona unauliza swali la kipuzi ju you don't understand the whole thing. 🤣🤣 Bila kulewa kitu kwa undani hata Google haiwezi kusaidia.
Kwahiyo nyinyi mnafanya skd au mnapokea skd's kwa ajili ya kufanya assembling.
Nganya mnapokea skd then mnafanya assembling?
 
Acha ujinga wewe SKD maana yake ni semi knocked down parts ambazo huunganishwa na parts nyingine kwenye assembly line kutengeneza a product while CKD ni complete knocked down parts zote zina tozwa kodi tofauti wakati wa uingizwaji nchini.
Read to understand not to reply, I clearly said SKD assembly is the process while SKD Unit is the product.

Why waste your time telling me what I already stated.
 
Umekosa jibu ya maana, kama una akili counter my point with facts.
Bila Google hamana akili, na hata Google yenye munaquote hamuielewi. 🤣🤣
Ulisema tutumie google maana maelezo yetu hukuyaelewa.
Still tumekuletea majibu toka google bado unapinga!?
😂😂Dah aisee mkuu usizalishe mtoto atakua hasara ya taifa.
Semi knocked down ni bidhaa ambayo imeundwa nusu ama bidhaa nzima iliyovunjwa vunjwa kwaajili ya kusafirisha na kwenda kuungwa nzima nchi husika.
Skd sio process ya assembly kama unavyodai.
Na huu mtindo makampuni mengi hususan ya magari hutumia.
Unakuta chassis, gearbox na body ya gari vimesafirishwa Kila kimoja kivyake vyake Kesha vinakuja kuwa assembled Tanzania ama else where.
Kijana una shida gani kifikra!?
 
Read to understand not to reply, I clearly said SKD assembly is the process while SKD Unit is the product.

Why waste your time telling me what I already stated.

Hahaa records huwa zinatunzwa

chrome_screenshot_Aug 5, 2025 2_42_33 PM GMT+03_00.png
 
Mombasa inaizidi Dar wacha kutaja vijiji chakavu humu..., ndio maana omba omba, vijakazi kutoka Tanzania wamejazana huku.., kuna hela, middle class population ni kubwa.., Tanzania Dar ndio jiji pekee la watu kukimbilia kutafuta..,

CFAO Assembly line, Mombasa
View attachment 3432035

View attachment 3432036
View attachment 3432038

AVA Assembly line Mombasa
View attachment 3432040
View attachment 3432041
View attachment 3432043

Mombasa fixing Tanzanian boats.., among others..
View attachment 3432062

Mombasa
View attachment 3432063
View attachment 3432064
View attachment 3432071
View attachment 3432073
Kuna kichaa alisikika akisema humu eti CFAO haipo tena East Africa. 🤣 🤣
 
Ulisema tutumie google maana maelezo yetu hukuyaelewa.
Still tumekuletea majibu toka google bado unapinga!?
😂😂Dah aisee mkuu usizalishe mtoto atakua hasara ya taifa.
Semi knocked down ni bidhaa ambayo imeundwa nusu ama bidhaa nzima iliyovunjwa
chrome_screenshot_Aug 5, 2025 2_42_33 PM GMT+03_00.png
vunjwa kwaajili ya kusafirisha na kwenda kuungwa nzima nchi husika.
Skd sio process ya assembly kama unavyodai.
Na huu mtindo makampuni mengi hususan ya magari hutumia.
Unakuta chassis, gearbox na body ya gari vimesafirishwa Kila kimoja kivyake vyake Kesha vinakuja kuwa assembled Tanzania ama else where.
Kijana una shida gani kifikra!?

Skd ni process buana🤣🤣🤣🤣🤣🌽
Sio product
chrome_screenshot_Aug 5, 2025 2_42_33 PM GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom