Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Read to understand not to reply, I clearly said SKD assembly is the process while SKD Unit is the product.

Why waste your time telling me what I already stated.
Daah aisee leo hii unakana maneno yako?
Si ulisema skd as skd ni assembly process?
Ukaona uongezee skd assembly!?
😂😂😂
 
Hao wafanyakazi unavyowaangalia wanakaa watu hawajalindwa?
Kwenye assembly line screw kuruka ni kawaida, hivyo ni lazima uwe umevaa miwani, ku protect macho.

Kama kuna kelele za press machine au hata screw guns lazima uvae earplugs la sivyo baada ya muda eardrums zitaharibika.
 
Ulisema tutumie google maana maelezo yetu hukuyaelewa.
Still tumekuletea majibu toka google bado unapinga!?
😂😂Dah aisee mkuu usizalishe mtoto atakua hasara ya taifa.
Semi knocked down ni bidhaa ambayo imeundwa nusu ama bidhaa nzima iliyovunjwa vunjwa kwaajili ya kusafirisha na kwenda kuungwa nzima nchi husika.
Skd sio process ya assembly kama unavyodai.
Na huu mtindo makampuni mengi hususan ya magari hutumia.
Unakuta chassis, gearbox na body ya gari vimesafirishwa Kila kimoja kivyake vyake Kesha vinakuja kuwa assembled Tanzania ama else where.
Kijana una shida gani kifikra!?
Elimu ndogo muonee huruma
 
Chief achana nae utabishana vipi na mtu anayeita umeme steamer 😁 maana bado atakuambia umeme ni steamer hata mkibishana miaka 100🤣🤣🤣
Hawa Kuna muda unaamua kuwaacha tu.
Mwingine huyo huko anakwambia China is a capitalist nation.
Huku skd is assembly process.
Huyo mbugila vumbi N-card is ATM card.
Dooh! Kweli acha watu wazae watoe uvimbe tumboni😂😂😂😂
 
Kwenye assembly line screw kuruka ni kawaida, hivyo ni lazima uwe umevaa miwani, ku protect macho.

Kama kuna kelele za press machine au hata screw guns lazima uvae earplug la sivyo baada ya muda eardrum zitaharibika.
Haya, nenda kafungue assembly line yako Vumbistan uwavalishe miwani.
 
Wacha kudanganyia typo buuda. Yaani umefuatanisha vizuuri South A, B, C hadi umeweka koma alafu unasema typo? Wavumbistan wanadhani kila mtu ni vumbistan. 🤣 🤣
Somali regime.

South B, South C, Nairobi West, Eastleigh.

Utafanya sana kazi za Mjengo, Somalis are busy building
 
Mo Dewji hajawai kua mbunge?
Mo dewji anakua mbunge tayari alishakua billionaire wa net worth $ 1.2 billions.
Utasema huyo alitajirika kwa ubunge ama alitajirika kwa siasa!?
Labda useme kina Kikwete huko ndio nitakuelewa hao kweli wametajirika kisiasa kaka.
 
Hawa Kuna muda unaamua kuwaacha tu.
Mwingine huyo huko anakwambia China is a capitalist nation.
Huku skd is assembly process.
Huyo mbugila vumbi N-card is ATM card.
Dooh! Kweli acha watu wazae watoe uvimbe tumboni😂😂😂😂
Sasa ndo tunaanza pata picha ya elimu yao haswa , fikiria kama mtu anakuambia skd ni process 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Medical Checks up are free in Kenya. So please tell, how is kidney disease is related with wealth of a person? How many wealthy people have been diagnosed with kidney problems? Ama hao pia maskini? You are just foolish.
Upo related pia na umaskin usijisahaulishe.
 
Sasa ndo tunaanza pata picha ya elimu yao haswa , fikiria kama mtu anakuambia skd ni process 🤣🤣🤣🤣🤣
Elimu ya Kenya ni vichekesho.
😂😂😂😂 Kuna wengine hukutana nao huko Fb unaweza Cheka.
Halafu mtu anajipa jina kubwa "civilized iconic content creator".
Hizo content zake sasa😂😂😂.
Ukimuwashia moto anakwambia una childish unnecessary competition or arguments.
Aisee pia wanakimbilia matusi juu.
Ngoja nikuletee kichekesho kimoja hapa ucheke.😂
 
Hahaa records huwa zinatunzwa

View attachment 3432232
This

Screenshot_20250805-145348.jpg
 
Elimu ya Kenya ni vichekesho.
😂😂😂😂 Kuna wengine hukutana nao huko Fb unaweza Cheka.
Halafu mtu anajipa jina kubwa "civilized iconic content creator".
Hizo content zake sasa😂😂😂.
Ukimuwashia moto anakwambia una childish unnecessary competition or arguments.
Aisee pia wanakimbilia matusi juu.
Ngoja nikuletee kichekesho kimoja hapa ucheke.😂
Hawa watu ni wa kuwaonea huruma, wachache wanaojitambua wako kimya sana
 
Back
Top Bottom