Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani mtu ni tajiri kwanza sasa anataka kukua mwanasiasa.., yaani ukilaza ni laana walai., jamaa kesha tengeneza pesa, sasa ni power ndio anatafuta, sio kama Tanzania mtu anaingia siasa kama ni fukara kisha anajitajirisha kupitia ushuru za mafukara.., soma tena what u posted hehehehe.., ulichanganyikiwa kitambooo!
ndivo alivokudanganya ww au ww unajua source ya utajiri wake au unajua pale kawekwa na mwanasiasa gani agombee ndio maana akili zenu ni kama kondoo, yani huyu hawez kugombania unlesa nyuma yake kuna big fish anaemtuma ndio anampa everything 😂😂😂😂😂😂
 
Electric buses really? Na mbona si LNG? Tunaigaiga bila kuangalia ni kipi kinatufaa zaidi based on our environment?
tulia mzee watu wanataka kupiga pesa subiri pesa ziliwe alaf utauliza baadae😂
awamu hii unatakiwa uwe mpole
 
Problem is not the domestic flight. Shida ni kwamba watanzania hawana pesa ya kupanda ndege. JNIA served 1.4M domestic passengers last year, that's lower than what Kisumu airport did last year at 1.6M with only two destinations (Nairobi & Mombasa)
Mnuka mkundu unajitia vidole unanusa unacheka. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom