Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni ATM card.)? 🤣🤣🤣🤣 can someone withdraw money with N-card…? Hujui hizo vitu bush boy. Stay on your lane.. vitu hizo utawahi Ona siku ukitoka hapo kunyarenda.
Did you miss the part I said that any card being used for payments which is your N-Card is still considered ATM? Ama wewe ATM ni ya withdrawal tu?
 
Any card being used for payment is called an ATM card. Yani watanzania ni wajinga ama?
Ficha UFALA wako unazidi kujiaibisha.
ATM card -Automatic teller machines zinahusisha uunganishwaji wa akaunti ya fedha na matumizi ya muhusika kutoka kwenye akaunti yake ya fedha ya kibenki.
N-card ni card zilizounganishwa kimtandao kwaajili ya specific payment.N-card matumizi yake yapo specific,na N-card ni lazima uilipie kwa kuingiza kiasi cha huduma husika ndio upate huduma.

Unajiaibisha Wacha kuongea .
 
Sasa wewe quack utajua wapi maana ya ATM card? Nyinyi ndio wale wanaamini ATM card ni ya withdrawal pekee. Fala sana.
Narudia kukufundisha,ATM card ni Kadi inayojumlisha huduma za kifedha kutoka akaunti ya benki ya muhusika.
N-card ni kadi iliyounganishwa kimtandao kwaajili ya huduma aina fulani.N-card haihitaji rununu ila HUWEZI kutumia ATM card bila rununu.
ATM card ni Kadi ambayo ipo more personal ila N-card anaweza kutumia yeyote tu kwaajili ya kurahisisha malipo ya huduma husika.
Mfano mie naweza kukupa N-card yangu kama Ina Salio uka swipe tu kwenda kuingia kwenye kivuko ama mwendokasi.
Ila ATM card yangu HUWEZI kutumia pasi ya mm kukupa rununu/password.
 
Wacha kujipa umuhimu mkundurenda mpumbavu, no one knows you. We kaoshe vyombo sijui ubebe box šŸ“¦ za wenyewe huko. Unajipa umuhimu kwa Diamond.? 🤣🤣🤣🤣 kuna wasenge wengine bhana. Diamond anaweza kukuajiri ukate majani pale nje kwake.
Actually I am well known in my neck of the woods .. but for you Mr. Rebrand, you always be a baboon to us..😁😁
 
Back
Top Bottom