Narudia kukufundisha,ATM card ni Kadi inayojumlisha huduma za kifedha kutoka akaunti ya benki ya muhusika.Sasa wewe quack utajua wapi maana ya ATM card? Nyinyi ndio wale wanaamini ATM card ni ya withdrawal pekee. Fala sana.
N-card ni kadi iliyounganishwa kimtandao kwaajili ya huduma aina fulani.N-card haihitaji rununu ila HUWEZI kutumia ATM card bila rununu.
ATM card ni Kadi ambayo ipo more personal ila N-card anaweza kutumia yeyote tu kwaajili ya kurahisisha malipo ya huduma husika.
Mfano mie naweza kukupa N-card yangu kama Ina Salio uka swipe tu kwenda kuingia kwenye kivuko ama mwendokasi.
Ila ATM card yangu HUWEZI kutumia pasi ya mm kukupa rununu/password.