Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni ATM card.)? 🤣🤣🤣🤣 can someone withdraw money with N-card…? Hujui hizo vitu bush boy. Stay on your lane.. vitu hizo utawahi Ona siku ukitoka hapo kunyarenda.
Msenge huyo hajui chochote kuhusu N-card, na apo ndipo utofauti wa maendeleo baina ya Kenya na Tz ulipo, mwambie hivi 👇👇
 
Unapajua hapo ni wapi!?
Hapo Kuna container depot huo upande opposite Kuna chuo Cha DUCE.
Hakuna slums hapo.
Huo upande barabara imeharibiwa kwasababu ya malori.
Ngojea nikuletee picha zake uone.
Utajichosha tu na huyo jamaa bingwa wa kukaza fuvu
 
Mtu anakaa bench utamtegemea aje? Niambie any game Jamaa ashaianza.
😂😂😂😂

1000133155.gif
 
Kama amahoro, viwanja vingi vipya vya ki Africa vipo hivyo, sijui kwnn, that's why tulikuja na design mpya ya Arusha ili tuwe na ladha tofauti na waafrika wengine.
Sure nimekiangalia Amohoro sasahivi na chenyewe kina design ya aina hiyohiyo
Ingawa Amohoro ni kizuri kuliko Talanta, na uwanja wa Arusha ukikamilika utakuwa mzuri sana
 
Yameshatokea! Tulivyo SEMA hapa kwamba Tanzania watatutia aibu na hii uLDC wait na slums kila kona. Sasa hii aibu Gani!!!!!!!
View attachment 3428664View attachment 3428665
We maku hii foleni ya uwanja wa mkapa,hapo ni mkapa stadium?tukiwaambia nyie malazy mnaishi kwa kukariri na amuijui dar mnabisha,ndio maana youtubers wenu wakifika dar wanabaki kushangaa,mkapa stadium akujawahi kuwa hivyo nyang'au,hasira zenu za kufukuzwa TZ mnamalizia kuokota vipicha maku nyie
 
Back
Top Bottom