Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Show the way by not attending matches?
Like this one nah, yet you claim you filled the tiny 45k stadium.
20250804_231817.jpg
20250804_231839.jpg
 
Huwezi niambia kitu, si ulisema not all cars are assembled. ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
Unaona unavyodhihirisha ujinga wako!?
Yes it is true not all cars are assembled.
So you want to tell me all cars are assembled!?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Oneni hii nguruwe pori!
Kule juu ulisema kuwa gari zote huwa zinaundwa kwa mfumo wa assembly Yani parts zinachukuliwa sehemu tofauti na kuunda gari,nikakukatalia BIG NO.
Mfano Hilux imeundwa Japan na parts zote zimeundwa Japan kuanzia engine hadi body fibre.
Kenge hii mbugila tope mmoja.
Kwahiyo unataka kusema all cars are assembled!?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Jamani oneni hii mbugila tope.
 
2.7million good numbers 2025 we will be around 3million plus

Now kuna flightlink na inazidi kukua precision kaongeza ndege so the domestic numbers will be up

Air Tanzania still growing it has added Kinshassa and likely Lagos and Kigali this year so international numbers will keep going up , need to add more routes and planes to make it a better hub

Btw how many pax did Mombasa get last year
Nenda upingane na Serikali yako. This si their data and they are saying Manbati rolling Mill only did 2M passengers in 2024. Yani JNIA ni level ya Kisumu airport kabisaa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

View attachment 3431507
 
Inawezekana kabisa ila vyama upinzani lazima vijijenge, visiwe vyama vya mtu mmoja. Ona CUF, alipokufa Maalim na Lipumba kuzeeka, ni kama chama hakipo.
Uko sahihi hata Chadema nako Tundu Lissu kuwekwa tu ndani makali hakuna tena na uchaguzi wamesusia.
 
Shukran.

Siyo sawa znz wamezidi kubebwa, mfano hii ya makamu lazima awe Mzanzibar, haikiwepo kipindi cha Mwinyi kirudi nyuma.

Rasimu ya Warioba inaondoa kero zote hizi kwa kuweka serikali tatu.
Basi kero zimezidi zaidi alipoingia huyu mama kwa mujibu wa wadau.
Inaonekana kama amezidi kui favor zaidi Znz kuliko bara.
 
Nasikia kulikuwa na majadiliano kuwa Yutong nao wajenge kiwanda cha mabasi, sijui ilifikia wapi? Kama unajua ChoiceVariable au ndo roumers za uongo 2

Ila hio ni hatua nzuri ya uwekezaji sasa hawa nyumbu wasituletee sijui kiwanda cha Matatu, tutawatimua sasahivi ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
sisi bado pia tuna shida kwenye sera ya uwekezaji japo tunajitahidi
 
Hata mimi nashangaa. Kuna Wahindi wengi sana Tanzania, waarabu, wachina, wakongo nk kwa nini Kenya pekee ndio wanalalamika? Wanajiona nani haswa hadi ban isiwahusu?
Inaonekana Kenya ilikuwa silently benefiting from Tanzania than we are benefiting from them.
licha ya kua walikua wana benefit sana ila hawa jamaa wanaiogopa sana tanzania yani wanaihofia sana hasa kiuchumi na kimaendeleo hawana amani kabisa ๐Ÿ˜‚

yani tungepata rais kama magu hvi akakimbiza miradi na kua mkali hasa kwenye mali za umma bro tungekua mbali sana
 
Back
Top Bottom