Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

leta statistics hapa mulishindwa ku assemble probox na ziko over 80% ya gari zote kenya 😂😂😂😂😂

CFAO hafanyi aseembling isipokua kwa order ni kama vile AVA anachofanya

haya tuambie so far wakenya wangap wanatoa orders hapo zaidi ya zile international companies na watu wachache sana, wote munakimbilia japan kununua used cars
Muna assemble passenger car gani huko bongoslum?
 
IMG_7585.jpeg
 
2.7million good numbers 2025 we will be around 3million plus

Now kuna flightlink na inazidi kukua precision kaongeza ndege so the domestic numbers will be up

Air Tanzania still growing it has added Kinshassa and likely Lagos and Kigali this year so international numbers will keep going up , need to add more routes and planes to make it a better hub

Btw how many pax did Mombasa get last year
Uko sahihi kaka, are you in aviation industry?
 
Yeah because the only important thing in Kenya ni Nairobi
Tanzania tuna Dar es Salaam, tuna Zanzibar, Arusha kote huko Airport zake zipo busy sana. Nyinyi bila Nairobi ni bure kabisa
Na bado ukiweka hizo zote pamoja hazifikii Nairobi.
 
Back
Top Bottom