Filaria
JF-Expert Member
- Jun 28, 2021
- 756
- 2,097
Yan hawa wakenya wetu sijui Wana shida gan, tuna waletea ushahid wote kutoka Twitter, YouTube, sites mbalimbali kuonyesha tunajua kilichotokea kwenye mechi yao dhidi ya Drc lakn wanavyojifanya hawaelewi kama vile hawakuwepo kwenye malori ya bureš®