Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pesa ambazo team ya kenya imepata baada ya game moja pekee ndo pesa serikali ya Tanzania imeahidi timu yao ikishinda chan
1000059730.jpg

Levels
 
Design ni mbovu kulingana na wivu wako. Hebu tueleze ni kigezo kipi kinatumika kurank design nzuru. Na usikuje na longolongo hapa
Mimi naangalia kwa macho tu then naona hii design ni mbaya
Design mbaya ni mbaya tu, hata huitaji nguvu kuijua. Hiyo Talanta ni stadium kubwa but the look is awful
 
Haitaki hasira, hata Egypt are assembling the same. Bongoslum muna assemble passenger vehicle gani? Show me just one.

First shipment of Proton Saga CKD parts bound for Egypt; to become North  African production hub | WapCar
Basi hamuna gari mnalotengeneza.
Hatutaki assembly industries hapa tunataka manufacturing industry kama mko nayo lete.
 
Mimi naangalia kwa macho tu then naona hii design ni mbaya
Design mbaya ni mbaya tu, hata huitaji nguvu kuijua. Hiyo Talanta ni stadium kubwa but the look is awful
Ni vizuri umesema ni maoni yako. Ila fact ni talanta design yake inakaribia allianz arena ambayo ni moja ya viwanja vizuri duniani
 
Basi hamuna gari mnalotengeneza.
Hatutaki assembly industries hapa tunataka manufacturing industry kama mko nayo lete.
All cars are assembled from parts manufactured at different car factories, usiwe mjinga.
 
Back
Top Bottom