Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unadhihirisha ushamba wako.
Kuna magari kama Toyota supra na Toyota c-hr haya magari yameundwa na kama collabo naweza sema.
Kwasababu supra inatumia engine za BMW Z-4,na Toyota pamoja na BMW wana association kwenye hilo,ndio maana supra inaitwa mtoto wa BMW kwasababu inatumia engine ya Bmw Z4.
Ila magari mama yanayoundwa na Toyota pasi na association yeyote Ile mathalan Hilux, Camry,harrier kuanzia from scratch Kila kitu kinaundiwa pale.
Nenda kajifunze kuhusu magari ndio urudi hapa.
Haitwi collabo, collabo ni ya musicians, kwa car industry inaitwa joint venture. Toyota outsources most car parts from Denso and Aisin who also supply parts to other manufacturers such as Honda, Nissan, GM, Mitsubishi, Subaru etc. Mimi huwezi nifunza chochote kuhusu magari, the moment ulisema not all cars are assembled ndio nilijua we ni fala, your car knowledge is too shallow.
 
Hamna uwezo wa kujaza uwanja bna nyiny kenge😂
GxbPZ9wWIAADaXr.jpg
 
Haitwi collabo, collabo ni ya musicians, kwa car industry inaitwa joint venture. Toyota mostly outsources most car parts from Denso and Aisin who also supply parts to other manufacturers such as Honda, Nissan, GM, Mitsubishi, Subaru etc. Mimi huwezi nifunza chochote kuhusu magari, the moment ulisema not all cars are assembled ndio nilijua we ni fala, your car knowledge is too shallow.
Ona huyu mbuzi anavyoshangaza!
Nenda kajifunze kuhusu car assembly and car manufacturing.
Toyota na hizo kampuni zingine huwa zinaunda kila kitu from scratch ila kama gari ikiwa ni ya kuchangia ndio Kuna kuagiza vifaa.
Na mind you kiini Cha gari ni engine na chassis. Ukishaunda hivyo tayari umeshaunda gari.
Sasa wewe unakuja kutueleza nini hapa!?
Nenda kapeleke ujinga wako Kibera.
 
Ona huyu mbuzi anavyoshangaza!
Nenda kajifunze kuhusu car assembly and car manufacturing.
Toyota na hizo kampuni zingine huwa zinaunda kila kitu from scratch ila kama gari ikiwa ni ya kuchangia ndio Kuna kuagiza vifaa.
Na mind you kiini Cha gari ni engine na chassis. Ukishaunda hivyo tayari umeshaunda gari.
Sasa wewe unakuja kutueleza nini hapa!?
Nenda kapeleke ujinga wako Kibera.
Huwezi niambia kitu, si ulisema not all cars are assembled. 🤣 🤣 🤣
 
Sera zake nitaleta soft copy yake na kumwaga humu uzione mkuu.
Ni sera nzuri tu na jengefu.
Shukran.
Kuhusu umiliki wa ardhi sijajua kama hiyo ilikua ni ya zamani sana shukran umenifahamisha.
Ila hivi wewe unaona ni sawa mpemba aishi Bara pasi na vikwazo ila Mbara akienda visiwani awekewe vikwazo hasa hilo la ardhi!?
Siyo sawa znz wamezidi kubebwa, mfano hii ya makamu lazima awe Mzanzibar, haikiwepo kipindi cha Mwinyi kirudi nyuma.

Rasimu ya Warioba inaondoa kero zote hizi kwa kuweka serikali tatu.
 
Back
Top Bottom