Huwezi kupoteza muda kucheck game ya Mauritania vs Madagascar.Nyinyi ni maskini hata ticketi ya 50 bob inawalemea. Hadi waganda wanawashinda View attachment 3431364View attachment 3431366
Huwezi kupoteza muda kucheck game ya Mauritania vs Madagascar.Nyinyi ni maskini hata ticketi ya 50 bob inawalemea. Hadi waganda wanawashinda View attachment 3431364View attachment 3431366
Unadhihirisha ushamba wako.Enyewe pumbavu ni pumbavu tu hawezi kusaidika. Gari zote hua zinatengenezwa kwa kitu inaitwa an assembly line. Kama hukuwai jua, basi umejua leo. Hizo parts unataja, chassis, engine, body frame, hua zinakusanywa zote from diferent car parts manufactures alafu zinaletwa kwa an assembly line line. Hapo ndio zinaunganishwa inakua gari. Haijalishi kama assembly line inatumia robots ama watu, the process remains the same.
Gari kama Toyota Supra 5, engine inakua designed by BMW lakini manufacturing na assembly inafanywa na Magna Steyr, ambao wamespecialize kutengeneza different car parts na bado wanafanya full assembly on behalf of established car brands kama Toyota.
Kwa hivyo usidhani Toyota hawezi kuagiza parts from other car brands ama third party manufacturer, Toyota ni kampuni kubwa sana na hawawezi tengeneza magari zao zote in house. Kuna zile wanaunda wenyewe, zingine wanapea third party manufacturers kama Magna Steyr na zingine wanasource parts wenyewe alafu wanapea CKD assemblers kama AVA.
I be placed on bewilderment,Why do Bongolalas act as if they own China?
Kwamba ukiwa mpenzi wa mpira ni lazima ukaangalie kila mechi, huo utakuwa ukosefu wa shughuli ya kufanya sasa. 😂😂😂Huwezi kupoteza muda kucheck game ya Mauritania vs Madagascar.
How will you even know there exists something called an observation deck when you live in a glorified fishing village?Sijawahi ona tangu zunia iumbwe
Haitwi collabo, collabo ni ya musicians, kwa car industry inaitwa joint venture. Toyota outsources most car parts from Denso and Aisin who also supply parts to other manufacturers such as Honda, Nissan, GM, Mitsubishi, Subaru etc. Mimi huwezi nifunza chochote kuhusu magari, the moment ulisema not all cars are assembled ndio nilijua we ni fala, your car knowledge is too shallow.Unadhihirisha ushamba wako.
Kuna magari kama Toyota supra na Toyota c-hr haya magari yameundwa na kama collabo naweza sema.
Kwasababu supra inatumia engine za BMW Z-4,na Toyota pamoja na BMW wana association kwenye hilo,ndio maana supra inaitwa mtoto wa BMW kwasababu inatumia engine ya Bmw Z4.
Ila magari mama yanayoundwa na Toyota pasi na association yeyote Ile mathalan Hilux, Camry,harrier kuanzia from scratch Kila kitu kinaundiwa pale.
Nenda kajifunze kuhusu magari ndio urudi hapa.
Hamna uwezo wa kujaza uwanja bna nyiny kenge😂
Huyo ni trillionaire huko bongoslum. 🤣 🤣How much is 400,000,000 kwa pesa za madafu!?
View attachment 3431438
Ona huyu mbuzi anavyoshangaza!Haitwi collabo, collabo ni ya musicians, kwa car industry inaitwa joint venture. Toyota mostly outsources most car parts from Denso and Aisin who also supply parts to other manufacturers such as Honda, Nissan, GM, Mitsubishi, Subaru etc. Mimi huwezi nifunza chochote kuhusu magari, the moment ulisema not all cars are assembled ndio nilijua we ni fala, your car knowledge is too shallow.
Huwezi niambia kitu, si ulisema not all cars are assembled. 🤣 🤣 🤣Ona huyu mbuzi anavyoshangaza!
Nenda kajifunze kuhusu car assembly and car manufacturing.
Toyota na hizo kampuni zingine huwa zinaunda kila kitu from scratch ila kama gari ikiwa ni ya kuchangia ndio Kuna kuagiza vifaa.
Na mind you kiini Cha gari ni engine na chassis. Ukishaunda hivyo tayari umeshaunda gari.
Sasa wewe unakuja kutueleza nini hapa!?
Nenda kapeleke ujinga wako Kibera.
Show us the plate numbers of those trucks.You wish. 🤣 🤣
Chinese aid .Daily Dose
![]()
Nyang'au kipchirchir arap Teargass tumbo joto akiona hivi😂Kunyans, do you see your mates , uganda?
This is what Moroccans gonna do to hara mbee starters.
Una act kama vile hauishi kibera! wenzako wamepakiwa kwenye malori wewe hapa unajifanya hujui chochote.
Inawezekana kabisa ila vyama upinzani lazima vijijenge, visiwe vyama vya mtu mmoja. Ona CUF, alipokufa Maalim na Lipumba kuzeeka, ni kama chama hakipo.😂😂😂Inamaana mkuu hauamini mikono mingine nje ya CCM?