Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni aibu kwa CAF kuchagua uwanja una pich mbovu hivi kuchezwa fainali shame shame
Caf wamechukua rushwa kwa ruto,jamaa anataka kutumia soka kutuliza hizo kunyan but hajui michuano yenyewe hii ni ya kupita tu,ruto ameikazia fuvu hii michuano kuliko rais yoyote ukanda huu akiamini TZ kumetulia eti sababu ya simba na Yanga 😃
 
Daily Dose
img_6829-jpeg.9704355
 
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂
Hata mimi nashangaa. Kuna Wahindi wengi sana Tanzania, waarabu, wachina, wakongo nk kwa nini Kenya pekee ndio wanalalamika? Wanajiona nani haswa hadi ban isiwahusu?
Inaonekana Kenya ilikuwa silently benefiting from Tanzania than we are benefiting from them.
 
Tupe spec ya hiyo gari.
Engine cc ngapi,maximum speed na ni engine cylinder ngapi?
Je ninyi ndio mmeunda engine ya hizo gari!?
Haitaki hasira, hata Egypt are assembling the same. Bongoslum muna assemble passenger vehicle gani? Show me just one.

First shipment of Proton Saga CKD parts bound for Egypt; to become North  African production hub | WapCar
 
Design ni mbovu kulingana na wivu wako. Hebu tueleze ni kigezo kipi kinatumika kurank design nzuru. Na usikuje na longolongo hapa
Mimi naangalia kwa macho tu then naona hii design ni mbaya
Design mbaya ni mbaya tu, hata huitaji nguvu kuijua. Hiyo Talanta ni stadium kubwa but the look is awful
 
Haitaki hasira, hata Egypt are assembling the same. Bongoslum muna assemble passenger vehicle gani? Show me just one.

First shipment of Proton Saga CKD parts bound for Egypt; to become North  African production hub | WapCar
Basi hamuna gari mnalotengeneza.
Hatutaki assembly industries hapa tunataka manufacturing industry kama mko nayo lete.
 
Mimi naangalia kwa macho tu then naona hii design ni mbaya
Design mbaya ni mbaya tu, hata huitaji nguvu kuijua. Hiyo Talanta ni stadium kubwa but the look is awful
Ni vizuri umesema ni maoni yako. Ila fact ni talanta design yake inakaribia allianz arena ambayo ni moja ya viwanja vizuri duniani
 
Back
Top Bottom