Kenya mnatengeneza magari gani binafsi?Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
Ulisikia wapi?😎Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
Hiyo Talanta ndio unaita V8? Nini husumbua Wakenya lakiniMtu akibarikiwa na IST ndio huyo huyo wa kwanza kumtusi yule ako na V8.
Hatutamani kuwa kama Kenya. Tunatamani kuwa na Assembly plant ya magari ya kawaida.Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂
Caf wamechukua rushwa kwa ruto,jamaa anataka kutumia soka kutuliza hizo kunyan but hajui michuano yenyewe hii ni ya kupita tu,ruto ameikazia fuvu hii michuano kuliko rais yoyote ukanda huu akiamini TZ kumetulia eti sababu ya simba na Yanga 😃Ni aibu kwa CAF kuchagua uwanja una pich mbovu hivi kuchezwa fainali shame shame
Leta sourcePort si ni ya Mwarabu? Dar Port haimilikiwi na Tanzania.
UGLY DESIGNDaily Dose
![]()
Nyinyi tosheka na designs ya IST yenu tuko sawa kabisa na V8 yetu. Mwisho wa siku tuko na stadium sisi wote kama jumuiya.Hiyo Talanta ndio unaita V8? Nini husumbua Wakenya lakini
Hata mimi nashangaa. Kuna Wahindi wengi sana Tanzania, waarabu, wachina, wakongo nk kwa nini Kenya pekee ndio wanalalamika? Wanajiona nani haswa hadi ban isiwahusu?mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂
Sasa ndo mjenge stadium inakaa water tankNyinyi tosheka na designs ya IST yenu tuko sawa kabisa na V8 yetu. Mwisho wa siku tuko na stadium sisi wote kama jumuiya.
Kenya mnatengeneza magari gani binafsi?
Tupe spec ya hiyo gari.
Ata tukitaka unakaa birika ya chai sisi tuko sawa. Cha muhimu ni uwanja uko specifically for Football & Rugby.Sasa ndo mjenge stadium inakaa water tank
Haitaki hasira, hata Egypt are assembling the same. Bongoslum muna assemble passenger vehicle gani? Show me just one.Tupe spec ya hiyo gari.
Engine cc ngapi,maximum speed na ni engine cylinder ngapi?
Je ninyi ndio mmeunda engine ya hizo gari!?
Kumbe mnataka wenyewe. Sasa usilalamike tukisema design mbovu 😆😆Ata tukitaka unakaa birika ya chai sisi tuko sawa. Cha muhimu ni uwanja uko specifically for Football & Rugby.
Ni Kunyaland sio EA299 meters ship at Lamu port. No other port in East Africa except the Port of Mombasa has ever received a bigger ship than this.
![]()