Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

GDP kubwa

20250804_174324.jpg
20250804_174326.jpg
 
Kile kipindi cha dark days kila kitu tulicho kuwa tunauza nje ya Africa kilipitia kwao wakajua maisha yatakuwa hivyo siku zote na wanasahau kuwa tulipitia kwao kama middle man sababu mabwana zao hatukukubaliana nao na sasa mambo yamekaa sawa wanaanza kulialia kisa sheria za Tanzania
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂
 
Ni aibu kwa CAF kuchagua uwanja una pich mbovu hivi kuchezwa fainali shame shame
Caf wamechukua rushwa kwa ruto,jamaa anataka kutumia soka kutuliza hizo kunyan but hajui michuano yenyewe hii ni ya kupita tu,ruto ameikazia fuvu hii michuano kuliko rais yoyote ukanda huu akiamini TZ kumetulia eti sababu ya simba na Yanga 😃
 
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂
Hata mimi nashangaa. Kuna Wahindi wengi sana Tanzania, waarabu, wachina, wakongo nk kwa nini Kenya pekee ndio wanalalamika? Wanajiona nani haswa hadi ban isiwahusu?
Inaonekana Kenya ilikuwa silently benefiting from Tanzania than we are benefiting from them.
 
Tupe spec ya hiyo gari.
Engine cc ngapi,maximum speed na ni engine cylinder ngapi?
Je ninyi ndio mmeunda engine ya hizo gari!?
Haitaki hasira, hata Egypt are assembling the same. Bongoslum muna assemble passenger vehicle gani? Show me just one.

First shipment of Proton Saga CKD parts bound for Egypt; to become North  African production hub | WapCar
 
Back
Top Bottom