Imagine, you can't deport even Lames and beggers.Looks like Geography is not your forte.
twat heheEmbu Wacha nijadili mambo ya maana.
Baki na ukichaa wako unanipotezea muda hapa.
Nasikia kulikuwa na majadiliano kuwa Yutong nao wajenge kiwanda cha mabasi, sijui ilifikia wapi? Kama unajua ChoiceVariable au ndo roumers za uongo 2wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂
hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units
View attachment 3430991View attachment 3430994View attachment 3430995View attachment 3430997View attachment 3430998View attachment 3431000View attachment 3431001View attachment 3431003View attachment 3431004
Sure, tupate na cha mabasi piaInatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.
We jamaa hivi vinini unapost 😆😆Affordable housing in Mombasa. We are clearing all the shacks in Kenya.
![]()
![]()
Mtu akibarikiwa na IST ndio huyo huyo wa kwanza kumtusi yule ako na V8.Samia Suluhu Stadium, Arusha 🇹🇿
Hii ikikamilika itakuwa na design nzuri kuliko hiyo Talanta Stadium which is big for nothing View attachment 3430933
Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣Inatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.
Kumbe tall buildings, nilidhani in terms of developmentOutside Dar there is no City in Tanzania that can come close to kisumuin terms of tall buildings.
View attachment 3430763
Soko la magari madogo hasa hiace linaenda kupotea, inatakiwa tupate magari ya binafsiInatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.
Nilimaanisha magari binafsi, Coaster, Canter na Pikipiki.Soko la magari madogo hasa hiace linaenda kupotea, inatakiwa tupate magari ya binafsi
Kenya mnatengeneza magari gani binafsi?Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
Ulisikia wapi?😎Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
Hiyo Talanta ndio unaita V8? Nini husumbua Wakenya lakiniMtu akibarikiwa na IST ndio huyo huyo wa kwanza kumtusi yule ako na V8.
Hatutamani kuwa kama Kenya. Tunatamani kuwa na Assembly plant ya magari ya kawaida.Munatamani kukua kama Kenya. 🤣 🤣 🤣
mbona sisikii uganda wakilalamila, sioni rwanda au burundi wakilalamila kwann ni hawa mbwa peke yao 😂😂😂😂