Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na yet bado munaagiza fortuner kwa wingi kutoka japan 😂😂😂😂

leta statistics mulizalisha fortuner ngap na kuuza ngap annually 😂😂😂

hao wana assemble by orders tu
You don't assemble a single passenger car in bongoslum. 🤣 🤣 🤣 Ile siku muta assemble hata IST kuja na hizo maswali zako za kipuzi.
 
Ebu tuambie ni gari hio haitengenezwi kwa assembly line tukucheke sahii. 🤣 🤣 🤣
Najua leo ndio umejua kuna vehicle parts manufactures kama Aisin, amabao wanatengeneza parts for many vehicle brands, which are sent to the assembly plants to produce a car. Eti unatuambia gari kila kitu inatengenezwa in one factory, eti parts haziundwi kando kama ndege. 🤣 🤣 Kwani huko bongolala kila mtu ni mshamba.

View attachment 3431584
AEIL Products - AISIN Illinois
Ona huyu nguruwe pori!
Tena ukatumia AI kama vile chanzo Cha taarifa.
Na ulivyo hujielewi,Aisin ni Japanese corporation.
Pia Toyota Ina manufacturing ya car components ndani ya Japan humo humo.
Pia nadhani maana ya assembly industry hujui uende ukajifunze.
 
Ona huyu nguruwe pori!
Tena ukatumia AI kama vile chanzo Cha taarifa.
Na ulivyo hujielewi,Aisin ni Japanese corporation.
Pia Toyota Ina manufacturing ya car components ndani ya Japan humo humo.
Pia nadhani maana ya assembly industry hujui uende ukajifunze.
Sio kila kitu AI we pumbavu, today I will school you by force.

 
Sio kila kitu AI we pumbavu, today I will school you by force.

Nikupe somo la mwisho mpuuzi wewe.
Hizo kampuni ulizoleta kwanza zingine ni za Japan. Pia Toyota Wanaunda car components wenyewe pia.
Moyo wa gari ni engine na chassis.
Hizo components zingine ni sawa na semi-raw materials za kulikamilisha gari.
Ilhali wewe Kenya Kila kitu unachukua kikiwa finished components unapachika kuunda gari.
 
You don't assemble a single passenger car in bongoslum. 🤣 🤣 🤣 Ile siku muta assemble hata IST kuja na hizo maswali zako za kipuzi.
leta statistics hapa mulishindwa ku assemble probox na ziko over 80% ya gari zote kenya 😂😂😂😂😂

CFAO hafanyi aseembling isipokua kwa order ni kama vile AVA anachofanya

haya tuambie so far wakenya wangap wanatoa orders hapo zaidi ya zile international companies na watu wachache sana, wote munakimbilia japan kununua used cars
 
Nikupe somo la mwisho mpuuzi wewe.
Hizo kampuni ulizoleta kwanza zingine ni za Japan. Pia Toyota Wanaunda car components wenyewe pia.
Moyo wa gari ni engine na chassis.
Hizo components zingine ni sawa na semi-raw materials za kulikamilisha gari.
Ilhali wewe Kenya Kila kitu unachukua kikiwa finished components unapachika kuunda gari.
Toyota is the largest automobile manufacturer by volume, watakosaje kampuni za kutengeneza car parts for their assembly plants. Si nilidhani ulituambia gari hazikui assembled zinatengenezwa kila kitu kwa factory moja kama peremende. Naona umeanza kuchanuka sasa hadi umejua kuna plants za kutengeneza engine na other components. 🤣 🤣 🤣
 
leta statistics hapa mulishindwa ku assemble probox na ziko over 80% ya gari zote kenya 😂😂😂😂😂

CFAO hafanyi aseembling isipokua kwa order ni kama vile AVA anachofanya

haya tuambie so far wakenya wangap wanatoa orders hapo zaidi ya zile international companies na watu wachache sana, wote munakimbilia japan kununua used cars
Muna assemble passenger car gani huko bongoslum?
 
Back
Top Bottom