Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Si maanishi stesheni ya mkoloni bali ile karakana upande wa kulia, ukiwa unaelekea kisini (south bound).Haiendi popote mkuu, tena wameipaka hati bati rangu ya blue, ndio station ya MGR hiyo.
Si maanishi stesheni ya mkoloni bali ile karakana upande wa kulia, ukiwa unaelekea kisini (south bound).Haiendi popote mkuu, tena wameipaka hati bati rangu ya blue, ndio station ya MGR hiyo.
na yet bado munaagiza fortuner kwa wingi kutoka japan 😂😂😂😂
Kenya exports to Djibouti was worth 11 million USD, almost double what you exported to Ethiopia. To Ethiopia the export was worth 112 million USD. Wewe una wazimu.The trucks seen on the footage don't make up to 250. What are you talking about?
🤣 🤣 🤣 Woiyeeeeee
View: https://x.com/tpa_tz/status/1804618601657454682
Munasomeshwa number na Lamu port. 🤣 🤣
View: https://x.com/AbdishukriOsman/status/1950615312715722920
Ebu tuambie ni gari hio haitengenezwi kwa assembly line tukucheke sahii. 🤣 🤣 🤣Unaona unavyodhihirisha ujinga wako!?
Yes it is true not all cars are assembled.
So you want to tell me all cars are assembled!?
😂😂😂 Oneni hii nguruwe pori!
Kule juu ulisema kuwa gari zote huwa zinaundwa kwa mfumo wa assembly Yani parts zinachukuliwa sehemu tofauti na kuunda gari,nikakukatalia BIG NO.
Mfano Hilux imeundwa Japan na parts zote zimeundwa Japan kuanzia engine hadi body fibre.
Kenge hii mbugila tope mmoja.
Kwahiyo unataka kusema all cars are assembled!?
😂😂😂Jamani oneni hii mbugila tope.
You don't assemble a single passenger car in bongoslum. 🤣 🤣 🤣 Ile siku muta assemble hata IST kuja na hizo maswali zako za kipuzi.na yet bado munaagiza fortuner kwa wingi kutoka japan 😂😂😂😂
leta statistics mulizalisha fortuner ngap na kuuza ngap annually 😂😂😂
hao wana assemble by orders tu
Kama hufanyi car manufacturing hakuna haja ya kubishana.You don't assemble a single passenger car in bongoslum. 🤣 🤣 🤣 Ile siku muta assemble hata IST kuja na hizo maswali zako za kipuzi.
Ona huyu nguruwe pori!Ebu tuambie ni gari hio haitengenezwi kwa assembly line tukucheke sahii. 🤣 🤣 🤣
Najua leo ndio umejua kuna vehicle parts manufactures kama Aisin, amabao wanatengeneza parts for many vehicle brands, which are sent to the assembly plants to produce a car. Eti unatuambia gari kila kitu inatengenezwa in one factory, eti parts haziundwi kando kama ndege. 🤣 🤣 Kwani huko bongolala kila mtu ni mshamba.
View attachment 3431584![]()
Wacha hasira, leo lazima nikutoe ushamba. 🤣 🤣 Nilikuambia your knowledge of cars is very shallow.Ona huyu nguruwe pori!
Tena ukatumia AI kama vile chanzo Cha taarifa.
Sio kila kitu AI we pumbavu, today I will school you by force.Ona huyu nguruwe pori!
Tena ukatumia AI kama vile chanzo Cha taarifa.
Na ulivyo hujielewi,Aisin ni Japanese corporation.
Pia Toyota Ina manufacturing ya car components ndani ya Japan humo humo.
Pia nadhani maana ya assembly industry hujui uende ukajifunze.
www.aisinillinois.com
Unaona unavyodhihirisha umbugila wako!?Wacha hasira, leo lazima nikutoe ushamba. 🤣 🤣 Nilikuambia your knowledge of cars is very shallow.
Parts Article Business Division|SUBARU LOGISTICS CO.,LTD.
スバルロジスティクスの企業情報(ビジョン、トップからのメッセージ、企業概要)をご紹介します。www.subaru-logistics.co.jp
![]()
View attachment 3431595
Nikupe somo la mwisho mpuuzi wewe.Sio kila kitu AI we pumbavu, today I will school you by force.
AEIL Products - AISIN Illinois
AEIL produces many products for an ever-evolving technological societywww.aisinillinois.com
Eti ni gari gani hio haitengenezwi kwa assembly line? 🤣 🤣 🤣 Kama we ni mwanaume taja moja sahii tukucheke.Unaona unavyodhihirisha umbugila wako!?
Embu soma maana ya assembly industry na manufacturing industry.
View attachment 3431603
leta statistics hapa mulishindwa ku assemble probox na ziko over 80% ya gari zote kenya 😂😂😂😂😂You don't assemble a single passenger car in bongoslum. 🤣 🤣 🤣 Ile siku muta assemble hata IST kuja na hizo maswali zako za kipuzi.
Toyota is the largest automobile manufacturer by volume, watakosaje kampuni za kutengeneza car parts for their assembly plants. Si nilidhani ulituambia gari hazikui assembled zinatengenezwa kila kitu kwa factory moja kama peremende. Naona umeanza kuchanuka sasa hadi umejua kuna plants za kutengeneza engine na other components. 🤣 🤣 🤣Nikupe somo la mwisho mpuuzi wewe.
Hizo kampuni ulizoleta kwanza zingine ni za Japan. Pia Toyota Wanaunda car components wenyewe pia.
Moyo wa gari ni engine na chassis.
Hizo components zingine ni sawa na semi-raw materials za kulikamilisha gari.
Ilhali wewe Kenya Kila kitu unachukua kikiwa finished components unapachika kuunda gari.