Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nishakupa sababu pia unanijua siendekezi ubishani wa kifala.
Tanzania huu mwaka wa uchaguzi Kuna political unrest Kila kitu wanakichukulia kisiasa.
Ufunguzi wa CAF super cup uwanja ulijaa na watu walilipia pesa .
Narudia kukuelekeza huu mwaka wa uchaguzi Kuna political unrest.
political unrest zipi hizo? wacha kuongea mambo ya ajabuajabu ku-substantiate uwanja kutojaa!
 
Tukiweka picha kama hizi wakenya wanaumia sana.

1754214375842.png
 
Imagine mtu anaona N- Card anakaza fuvu na kusema ni ATM card, Mwingine anaona REA electricity accessibility anawaza nguzo inafika kijijini ila haiconnect households 😂😂😂😂. Kuwa mkundustan ni laana😂
😂😂😂 Laana kubwa, asichokijua pia REA kuunganisha umeme vijijini ni very cheap almost affordable kwa kila household around 27000/ tshs.. Kazi kupiga kelele kwa wasiyo yajua

NB: Minachokiona Battle ilishaisha kitambo zaidi tunawafariji majirani
 
Back
Top Bottom