Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 1,722
- 4,602
Watu wapumbavu bhana. Unapigizana kelele na watumia N-card while wewe unajisifia kuijua kwa ku google definition, you will never use it in your entire life .. 🤣🤣🤣🤣.. huu ni uzuzu au ni utaahira, ooh Oky ni njaa.Automated Teller Machine. Do you know what a teller is? A teller is someone who transact your finances, in the case of ATM it's automated. Ebu sasa niambie hiyo N-Card yenu Nani huwa anafanya transaction wa hizo payments?
Shida yako ni ufala na ujinga. Ungebaki Yemen isome vizuri hungekuwa unatuonyesha wako kwa nchi ya watu wengine.