Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwaka Kesho.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

kweli tanzania inawanyima usingizi
 
So hao wakenya ndio waliwafanya msijaze Stadium?
Tanzania ipo katika mkoroge wa kisiasa,kutokujaza uwanja haimaanishi Tanzania hatuna pesa ama ni vipi.
Bali sasa hivi Kila kitu raia tunakichukulia kisiasa.
Kama Tanzania tunaifuata timu ya klabu hadi Morocco na tunajazana sembuse hapa hapa uwanja wa Taifa?
Hivi unajua kuwa CAF imeipa tuzo Tanzania ya Kuwa na mashabiki Bora!?
 
Mbona hamjapewa finals basi? Kelele mingi na hamuezi lipa Ksh 50 kuenda kuwatch ball, sasa mkilipishwa Ksh 200 kama Kenya sio hiyo Hadi coach atakataa kukuja Stadium?πŸ˜‚πŸ˜‚
Tanzania ni maskini hadi wanalipishwa 50 kuingia uwanja πŸ˜…
Yani hadi CAF wanajua ni nchi gani maskini
 
Automated Teller Machine. Do you know what a teller is? A teller is someone who transact your finances, in the case of ATM it's automated. Ebu sasa niambie hiyo N-Card yenu Nani huwa anafanya transaction wa hizo payments?

Shida yako ni ufala na ujinga. Ungebaki Yemen isome vizuri hungekuwa unatuonyesha wako kwa nchi ya watu wengine.
Watu wapumbavu bhana. Unapigizana kelele na watumia N-card while wewe unajisifia kuijua kwa ku google definition, you will never use it in your entire life .. 🀣🀣🀣🀣.. huu ni uzuzu au ni utaahira, ooh Oky ni njaa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

kweli tanzania inawanyima usingizi
Usingizi ya kutojaza Stadium?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tanzania ipo katika mkoroge wa kisiasa,kutokujaza uwanja haimaanishi Tanzania hatuna pesa ama ni vipi.
Bali sasa hivi Kila kitu raia tunakichukulia kisiasa.
Kama Tanzania tunaifuata timu ya klabu hadi Morocco na tunajazana sembuse hapa hapa uwanja wa Taifa?
Hivi unajua kuwa CAF imeipa tuzo Tanzania ya Kuwa na mashabiki Bora!?
You are embarrassing AfricaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£


View: https://x.com/SirAlexas/status/1951685733577621701?t=xYHXBrEnQn9pw_uAw9h23Q&s=19
 
Back
Top Bottom