President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,005
- 93,351
Hapa ni katika ufunguzi. Wakenya wataumiza kichwa sana kufikia hii. Hii ni nona. Wakenya wanaandamana na kuitukana Tanzania na mengi
Kutoka kwa nyang'au wenzako sio?I didn't watch the game but from the comments I can conclude that it was very very boring.
View attachment 3428855
Why are you crying?Remember most games zenye huwa zinafinyika kwa Makwapa huwa no bure na ndio maana huwa wanakaa stadium, lakini ilikuwa ni ya kulipa hawakuji😂😂
Kaka mtu mwenye njaa hana aibu.Bado wanalia?
Ivi kwa maneno waliokua wanajitambia humu hawaoni wanajiaibisha kulia kisa Tanzania imezuia barbershop?
Leo harambee stars anapigwa 5Kaka mtu mwenye njaa hana aibu.
Kama masikini why nchi yenu inalia nchi nzima kisa kuzuiwa kufanya kazi za masikini ndugu matajiri.Tanzania ni maskini hadi wanalipishwa 50 kuingia uwanja 😅
Yani hadi CAF wanajua ni nchi gani maskini
Kumbe kila mtu aliona vile Makwapa was empty yesterday 😂😂😂
View: https://x.com/gabrieloguda/status/1951875425937887588?t=hkK7TrVP0fycotDdTR3Pmg&s=19
Bado wanalia?
Ivi kwa maneno waliokua wanajitambia humu hawaoni wanajiaibisha kulia kisa Tanzania imezuia barbershop?
The most boring match, that's why this tournament is for local amateurs,Sabath shalom,maku mwaiofhawaii njoo tel aviv hapa nikutie mimbaView attachment 3428843
Uliangalia huo mpira we maku.? Unaijua squad ya Tz ya 2020.? Can you fool post it.?The most boring match, that's why this tournament is for local amateurs,
And mbona squad yenu ni watu wale wale since 2020!
Inaaashiria hamna new talents
Kwanza tuone new talents zenu zinavyopigwa 5The most boring match, that's why this tournament is for local amateurs,
And mbona squad yenu ni watu wale wale since 2020!
Inaaashiria hamna new talents
political unrest zipi hizo? wacha kuongea mambo ya ajabuajabu ku-substantiate uwanja kutojaa!Nishakupa sababu pia unanijua siendekezi ubishani wa kifala.
Tanzania huu mwaka wa uchaguzi Kuna political unrest Kila kitu wanakichukulia kisiasa.
Ufunguzi wa CAF super cup uwanja ulijaa na watu walilipia pesa .
Narudia kukuelekeza huu mwaka wa uchaguzi Kuna political unrest.
Kuna watu wajinga sana kaka. Hivi anazijua nchi zilizo na political unrest. Siku chache chache watanzania wawe wanatembelea nchi tofauti tofautipolitical unrest zipi hizo? wacha kuongea mambo ya ajabuajabu ku-substantiate uwanja kutojaa!
Hujaweka hizi off grid megawatts through natural gas zinazozalishwa individually na viwanda.Demand yenu bado ni 1300MW.
Squard ile ile utakua chizi ww,mzize,nado n.k uliwaona hiyo 2020?The most boring match, that's why this tournament is for local amateurs,
And mbona squad yenu ni watu wale wale since 2020!
Inaaashiria hamna new talents