Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I wanted to say the same nikajua lazima Kuna mtu ataelimisha mbilikimo.😂
Yani watanzania ni wajinga hata hawajui ATM Card ni nini. Hao wanadhani hile ya kutoa pesa kwa booths pekee ndio ATM card😂😂🤣
 
To control the crowd. Kenyans will go to Kasarani in their numbers. Dunia yote itaelewa Leo why Kenya will host both Opening and Closing matches of AFCON.
uhehehe dar inajaza 62k pale mkapa na hakuna barabara inafungwa mjinga wewe ndio maana mkiambiwa nairobu ni ndogo sana imejikusanya sehem ndogo sana 690km sq alaf kuna over 5.5m people 😂😂😂😂😂
 
So CAF ndio waliwaambia msijaze Stadium?🤣🤣🤣😂
tanzania ndio inayoaminikana na CAF so far sio nyinyi mulotuaibisha mpaka CHAN ikasogezwa mbele 6 months ahead kisa hamujamaliza ku renovate uwanja wa kasarani 😂😂😂😂😂 kama renovation tu inawatoa kamasi nini mutaweza nyinyi eti mumefunika running track iliooza kutumia carpet even ku renovate running track pia ni shida kwenu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
 
uhehehe dar inajaza 62k pale mkapa na hakuna barabara inafungwa mjinga wewe ndio maana mkiambiwa nairobu ni ndogo sana imejikusanya sehem ndogo sana 690km sq alaf kuna over 5.5m people 😂😂😂😂😂
Mbona wafunge Barbara yet walijua hamtajaza stadium. Tofauti ya Tanzania na Kenya ni kwamba in Kenya crowds are controlled by blocking roads while in Tanzania crowds are controlled by charging stadium entry. So nyinyi kizuio chenu ilikuwa kulipisha game 😂😂😂.
 
tanzania ndio inayoaminikana na CAF so far sio nyinyi mulotuaibisha mpaka CHAN ikasogezwa mbele 6 months ahead kisa hamujamaliza ku renovate uwanja wa kasarani 😂😂😂😂😂 kama renovation tu inawatoa kamasi nini mutaweza nyinyi eti mumefunika running track iliooza kutumia carpet even ku renovate running track pia ni shida kwenu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
So CAF iliwaamini kwamba hamtajaza Stadium?😂😂🤣😂.

Ingine mnaaminika mngepewa Finals muandae. But because they knew you won't fill the stadium, walileta Finals Kenya😂😂
 
Mbona wafunge Barbara yet walijua hamtajaza stadium. Tofauti ya Tanzania na Kenya ni kwamba in Kenya crowds are controlled by blocking roads while in Tanzania crowds are controlled by charging stadium entry. So nyinyi kizuio chenu ilikuwa kulipsha game 😂😂😂
siku zote simba na yanga zinacheza na uwanja unatapika sijawah kuona barabra yoyote imefungwa 😂😂😂😂

na hiii ndio dalili mukiambiwa nairobi ni ndogo sana mara tatu ya dar muwe munaelewa tunachowaambia

akili kichwani mwako
 
siku zote simba na yanga zinacheza na uwanja unatapika sijawah kuona barabra yoyote imefungwa 😂😂😂😂
Siku zote watu wamekuwa wakiingia bure hapo. Jana mliambiwa mlipe mkakataa kukuja Stadium 🤣🤣😂
 
So CAF iliwaamini kwamba hamtajaza Stadium?😂😂🤣😂.

Ingine mnaaminika mngepewa Finals muandae. But because they knew you won't fill the stadium, walileta Finals Kenya😂😂
tanzania ndio mkereketwa wa mpira kwa jumuiya hii ukubali ukatae bila tanzania kenya isingeambulia chochote 😂😂😂

sisi tuna GDP kubwa mbona hamujazuia ban yoyote baada ya ile ya kwetu mulivolia mukatoa mpaka kamasi
 
Siku zote watu wamekuwa wakiingia bure hapo. Jana mliambiwa mlipe mkakataa kukuja Stadium 🤣🤣😂
eti bure manina just simba na yanga wanajaza huo uwanja tena separetely na kiingilio kikubwa watu wanalipa 😂😂😂
 
tanzania ndio mkereketwa wa mpira kwa jumuiya hii ukubali ukatae bila tanzania kenya isingeambulia chochote 😂😂😂
Mbona hamjapewa finals basi? Kelele mingi na hamuezi lipa Ksh 50 kuenda kuwatch ball, sasa mkilipishwa Ksh 200 kama Kenya sio hiyo Hadi coach atakataa kukuja Stadium?😂😂
 
Back
Top Bottom