Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,033
- 33,247
Mbona wafunge Barbara yet walijua hamtajaza stadium. Tofauti ya Tanzania na Kenya ni kwamba in Kenya crowds are controlled by blocking roads while in Tanzania crowds are controlled by charging stadium entry. So nyinyi kizuio chenu ilikuwa kulipisha game ๐๐๐.uhehehe dar inajaza 62k pale mkapa na hakuna barabara inafungwa mjinga wewe ndio maana mkiambiwa nairobu ni ndogo sana imejikusanya sehem ndogo sana 690km sq alaf kuna over 5.5m people ๐๐๐๐๐