Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya kutojaza Stadium tumeachia watanzania. 2 more hours to go and already Kasarani ishaanza kujaza.

1000037711.jpg
1000037712.jpg
 
Third world man ndio maana takataka kama hiyo hawawezi kuweka hata kwenye page yao achilia mbali kuiweka kwenye official dealership showroom 😂😂😂 hawawezi hata kuipa certificate approval
Tunajua wewe ni primary school dropout na hujui big international corporations usually operates via regions. Sasa ona vile unakaa mjinga ju Kenya ndio regional headquarters ya East Africa.
Kwa hivyo huko bongoslum munanunua vitu ambavyo havina certificate of approval.🤣 🤣


View: https://www.instagram.com/p/DLo23KQInKY/?igsh=OGYydzlsd29oY2t5
 

Unasifia bibi kizee aliepakwa poda? Kisarani bado ni uwanja wa kizamani kamwe usifananishe na uwanja wa kisasa alafu kwa sasa uwo uwanja uwekwa viti so capasity imepungua now unaingiza chini ya watu 55k ilikuwa 60k ilipokuwa haina seat watu wanakalia zege 😂😂

ilihali mkapa now imefanyiwa seat mpya inaingiza watu 6200 na wakimaliza itaingiza 63500+ Now mkapa ni league nyingine bro
 
Back
Top Bottom