Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii international Betway imewauma sana wakenya.
Simba inaungana na Arsenal FC, Chelsea FC, Manchester City FC, West Ham United, Brighton & Hove Albion, Atlético de Madrid

1753869842645.png
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
Si huwa mnasema hamtafuti kazi Uarabuni eti ooh hiyo ni slavery ooh sisi ni manamba ugaibuni. 🤣 🤣 🤣
If you find a Tanzanian criticizing a Kenyan for doing something, just him time. Once they get an opportunity to do exactly the same thing, they'll be boasting about it like they won the world cup. 🤣 🤣
 
Kiwanda cha kuchenjua Uranium radioactove kinakaaje kaka? Hebu nipe ufahamu kidogo!
Asante.
Uranium inakuwa iimechanganyika na vitu vingine kwenye udongo. Zamani walikuwa wanachukua udongo na kusafirisha kwenda nje kwaajili ya kusafisha ili kupata Pure Uranium.

Kwa sasa pure uranium itakuwa inasafishwa hapa Tanzania kisha kuweka kwenye Uranium yellow cake.
Inawekwa kwenye mapipa kwaajili ya Kusafirishwa kwaajili ya process zingine.

Uranium yellow cake inakadiliwa $71.25 per kg.
Yellow Cake inapitia Chemical Reaction na kupata uranium hexafluoride (UF6) hii inatumika kwaajili ya kuzalisha umeme. Inahitaji kiwanda maalum kwaajili ya kutengeneza fuel hiyo.

Kutoka kwenye uranium hexafluoride (UF6) unaweza kutengeneza vitu vingi ikiwamo Atomic Bomb nk.

Hayo ni maelezo kwa kifupi tu.
 
Kwani hii habari wakenya waimewauma kiasi hiki? Nchi zingine za jirani sijaona wanalia kiasi hiki,yaani ukiingia sasa hivi kwenye social media za kenya 🇰🇪 hii habari ndio inatrend

View: https://x.com/ntvkenya/status/1950474474069119349?t=DfYP_IEqv76rORm-rtsvYA&s=19


Hiyo habari imekuwa kubwa huko kunyaland kuliko hapa Bongo. Yani hapa wabongo hata hawana mjadala na ni wachache sana wanaojua kuhusu hiyo Sheria mpya.

Ila kunyaland ni front page kwa magazeti yote na social media zote ndio wanachojadili. Yani target alikuwa mchina ila nyang'au ndio anatoa milio kama mwehu.... Hii kweli kichekesho Cha Karne....Tambo zote na kelele za kujitapa kumbe hakuna kitu...

Sijui kama wataweza ku afford Bei ya unga hawa baada ya kupata kibano kwenye kilimo na mazao.
 
Back
Top Bottom