Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
Wao wengi wanadeki Vyoo vya Airport 😂
 
Hii international Betway imewauma sana wakenya.
Simba inaungana na Arsenal FC, Chelsea FC, Manchester City FC, West Ham United, Brighton & Hove Albion, Atlético de Madrid

1753869842645.png
 
Mnakumbuka wakenya wanacheka Tz ati Madereva 75 wamekosa ajira Qatar. Wakaenda mbali na kusema tatizo ni english. Ona sasa

Dawa ya mtu mjinga na muongeaji ni kukaa kimya na kumjibu kwa vitendo,

Halafu nimekuja kugundua media za kenya zinapotosha sana habari kuhusu Tz ili kupata engagement na kuchochea battle. One time zitawaponza.
View attachment 3424325
Si huwa mnasema hamtafuti kazi Uarabuni eti ooh hiyo ni slavery ooh sisi ni manamba ugaibuni. 🤣 🤣 🤣
If you find a Tanzanian criticizing a Kenyan for doing something, just him time. Once they get an opportunity to do exactly the same thing, they'll be boasting about it like they won the world cup. 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom