buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Sisi wa kusimamisha JNHPP ndio wa kufanya PPP hiyo route ya 1bn?Kuna project ya PPP inapita hapo, toll road.
Kibaha to Dodoma.
Ndio yale yale Kigamboni bridge ulipie, Tanzanite bure, Busisi Bridge bure na yana thamani kuliko la PPP toll kule Kigamboni.
Tuwe seriously bana, PPP iwe huko kwenye hard project kama Gas na madini adimu sasa.
Sipingi ila ikiwa unaonekana unaweza why usifanye,
Sababu hiyo Road ya Kibaha - Dodoma haikamiliki mwaka inachukua hata 9, 10 years, na ikiwa kila mwezi serikali inakusanya $13bn kwa mwaka mmoja wa fedha via TRA, almost Trillions 32 Tsh, mwaka mmoja wa fedha.
Road inajengwa miaka 10 estimate amount ni $1bn to $2bn.
Hivyo kwa mwaka mmoja unaweza Tenga 100m kulipia miaka 10, barabara hii hapa Full funded by Government, ndio hiyo model ilifanya kazi JNHPP bwawa tupo nalo tunatamba nalo.
At the same time unaweza kuza mapato kupitia SGR, TPDC (CNG), Madini (STAMICO), Exports ya kilimo.
Yaani KUMAMAKE DAMN