Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna project ya PPP inapita hapo, toll road.

Kibaha to Dodoma.
Sisi wa kusimamisha JNHPP ndio wa kufanya PPP hiyo route ya 1bn?

Ndio yale yale Kigamboni bridge ulipie, Tanzanite bure, Busisi Bridge bure na yana thamani kuliko la PPP toll kule Kigamboni.

Tuwe seriously bana, PPP iwe huko kwenye hard project kama Gas na madini adimu sasa.

Sipingi ila ikiwa unaonekana unaweza why usifanye,

Sababu hiyo Road ya Kibaha - Dodoma haikamiliki mwaka inachukua hata 9, 10 years, na ikiwa kila mwezi serikali inakusanya $13bn kwa mwaka mmoja wa fedha via TRA, almost Trillions 32 Tsh, mwaka mmoja wa fedha.

Road inajengwa miaka 10 estimate amount ni $1bn to $2bn.

Hivyo kwa mwaka mmoja unaweza Tenga 100m kulipia miaka 10, barabara hii hapa Full funded by Government, ndio hiyo model ilifanya kazi JNHPP bwawa tupo nalo tunatamba nalo.

At the same time unaweza kuza mapato kupitia SGR, TPDC (CNG), Madini (STAMICO), Exports ya kilimo.

Yaani KUMAMAKE DAMN
 
Ila hao watu wa serikali wana matatizo sometimes, tatizo kuu ni.kuona sifa kupitia changamoto.

Hivi vitu ni opportunity kubwa sana.
Mfano mmoja hizo nchi zinazotuzunguka wanaotumia bandari ya Dar watajisikiaje siku wakijua tumepunguza muda wa usafirishaji mizigo yao kutoka siku sijui 2 hadi masaa 10? Si watakuja wengi wengi kupelekea mapato kuwa mengi, kuongeza soft influence in this region, ambayo inaweza fungua madili zaidi kama ya EACOP.
Kiukweli sasa hivi bandari Inaweza kuwa fursa kwetu kwa kuangalia TU yanayoendelea afrika kusini na Mozambique tunaweza vutia watu wengi sana kutumia bandari yetu mpaka tukasahau kabisa masuala ya madeni .
Vurugu za afrika kusini kwetu ni neema sababu tukiimarisha bandari yetu na kupunguza kero zote za barabarani Inaweza kuwa fursa kubwa sana
Plus hizo nchi zote kila kukicha zinatafuta investors wa uchumi wao na investors anaangalia logistics pia, ikiwa sisi tumeonekana tupo seriously we double mapato na mizigo ya investors.

Yaani unapata hasira, kuna mipesa kila sehemu hata utalii cha mtoto ambayo effects ni kubwa sana.

Ila kwa kua sifa ipo wakiona eti imejaa wanaanza jisifu mwisho hiyo jaa inakua kero watu wanakimbia tunarudi nyuma.

SGR imefika Dodoma yes, ni jambo safi ya mizigo imeanza ni kheri, kwa kua hawataki heavy Cargo, wangeanza na soft cargo kwenye palletes, watu wanazichukulia Dodoma or Pugu.
Kiukweli kwala ilipaswa iwe kwa ajili ya mizigo ya Zambia, Malawi na Lubumbashi na nchi zote za uelekeo huo.
Ila kwa mizigo ya Rwanda Burundi ,Uganda na eastern congo ,hawa wangekuwa Wanachukulia Dodoma tu , hata kama tungewashawishi kwa kuweka bei ndogo sana ambayo itawashawishi matajiri kuona ni kero kupeleka lorri dar.
Mfano tunaweza kuweka charge ya 20ft container dar Dom ikawa hata 350 kwa treni ya behewa 50 Inaweza beba hata container 100 , pia na mzigo wa return ukawa hivyo, naamini hata wale wenye macontainer ya copper wataenda shusha Dodoma ili wabebe mzigo mwingine kurudi Kongo kuliko kuchoma mafuta mpaka dar
Ila ndio hivyo sijui hata wanaona.


MAMBO YA KUCHUKULIA VITU VIKIJAA KAMA SIFA KUA MRADI UNAFANYA KAZI, MWISHOWE HIYO JAA INAGEUKA KERO TUACHE. BADALA YAKE TUENDELEZE NAMNA YA KUTUMIA FURSA HIYO YA KUJAA KUWA MORE CONVENIENCE.

Mwendokasi ilianza kwa kujaa Makofi mengi watu wakasema mradi bomba ila naona nyie wote ni mashahidi hiyo jaa imekua kero.

Vivuko hivyo hivyo.

Barabara hivyo hivyo

Now tupo Huko SGR wasipoamka inaweza kua kero na kero mara nyingi inapelekea kuharibika hatua zisipochukuliwa.


Mtu atoke nje kuja kuexperince SGR akute 3 days Full inakuaje hapo.
 
Sisi wa kusimamisha JNHPP ndio wa kufanya PPP hiyo route ya 1bn?
1b ni lami kilometa moja. Nadhani hofu yao ni kufikia stage kama ya Kenya, ya madeni makubwa.

Ujue SGR, Nyerere bridge, Mtumba, Outering Dodoma zimetafuna sana pesa.

Ethiopia wanazo mbili za kulipia.

Barabara za kulipia zitakuwepo na nyingine za kawaida kama kawaida.
Ndio yale yale Kigamboni bridge ulipie,
Kigamboni kuna pesa za NSSF wanataka kurudisha pesa za wastaafu.
Tanzanite bure, Busisi Bridge bure na yana thamani kuliko la PPP toll kule Kigamboni.

Tuwe seriously bana, PPP iwe huko kwenye hard project kama Gas na madini adimu sasa.

Sipingi ila ikiwa unaonekana unaweza why usifanye,

Sababu hiyo Road ya Kibaha - Dodoma haikamiliki mwaka inachukua hata 9, 10 years, na ikiwa kila mwezi serikali inakusanya $13bn kwa mwaka mmoja wa fedha via TRA, almost Trillions 32 Tsh, mwaka mmoja wa fedha.

Road inajengwa miaka 10 estimate amount ni $1bn to $2bn.

Hivyo kwa mwaka mmoja unaweza Tenga 100m kulipia miaka 10, barabara hii hapa Full funded by Government, ndio hiyo model ilifanya kazi JNHPP bwawa tupo nalo tunatamba nalo.

At the same time unaweza kuza mapato kupitia SGR, TPDC (CNG), Madini (STAMICO), Exports ya kilimo.

Yaani KUMAMAKE DAMN
Una wazo kama langu. Tusie dekeze sana PPP kwenye barabara.

Huko ndio kama hatuna pesa tukope tu.

Miradi kama kujenga arena za burudani na miradi mikubwa kama ya madini ndio kunatakiwa PPP
 
Of course hamna bypasses za kupunguza traffic incase of disruptions, this is very much expected.
Unajengaje bypass wakati yote hayo yanatokea bandarini kuelekea ubungo ambako kuna four lens then ndo zitoke mjini.
Mind you kuna malori zaid ya 1000 yanaingiza maka ya mawe tu bila mizigo mingine on all directions, nikimaanisha kuna yanayopitia njia ya mtwara na yanayopitia njia ya kibaha tofauti na hiyo Nairobi au Mombasa ambayo haina hata mzigo wa kutoka hinterland
 
Unajengaje bypass wakati yote hayo yanatokea bandarini kuelekea ubungo ambako kuna four lens then ndo zitoke mjini.
Mind you kuna malori zaid ya 1000 yanaingiza maka ya mawe tu bila mizigo mingine on all directions, nikimaanisha kuna yanayopitia njia ya mtwara na yanayopitia njia ya kibaha tofauti na hiyo Nairobi au Mombasa ambayo haina hata mzigo wa kutoka hinterland
Our major ports in Nairobi and Mombasa have special access roads for trucks to prevent traffic disruptions. Sisi sio bongolala kama nyinyi.
 
Mkoa wa pwani pekee yake upo na viwanda 1,535. vikiwemo viwanda 122 vikubwa, 120 vya kati, 276 vidogo na 1,017 vidogo sana (micro).
Wakenya wanaogopa sana.
 

Attachments

Aisee hii ingetokea Kenya wallahi watu wangekufa wanagombania hiyo mitungi, tofauti ya maisha na maadili baina ya Tanzania na Kenya ni kubwa sanaaaa, video nyingi tume share humu za ajali baina ya hizi nchi mbili na tumeona walivyo na njaa isiyo na kipimo. Kenya ni mavi.
Njaa na maadili ni vitu visivyoishi nyumba moja. Palipo na njaa maadili hutoweka na palipona maadili hakuna njaa.
 
Hehehe kumbe ndiyo mana walikimbia, walijua tungewa.tomba🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250727_181224_Google.jpg
 
Back
Top Bottom