Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kinachokusumbua brother ni emotions zako. Gwajima na kanisa lake tangu miaka ya 2000s anatuambia atamfufua Amina Chifupa umewahi kuliongelea hilo?

Pili Sheria ipo ya usajili wa Taasisi za kidini chini ya wizara ya mambo ya ndani. Na mwenye mamlaka katika taasisi hizo ni waziri wa wizara ya mambo ya ndani.

Kama taasisi inaona imeonewa kwanza lazima okate rufaa kwenda kwa waziri. Kama hawataridhika na uamuzi huo wanatakiwa kufungua kesi mahakamani.

Brother nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria siyo huruma.

Unatakiwa uwashauri viongozi wa kanisa la gwajima wafuate utaratibu siyo kuleta mashindano dhidi ya mamlaka. Always ukishindana na mamlaka utaumia.


HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA
Katiba inatoa uhuru wa kuabudu, sasa kwa nini wananchi wanazuiwa kuabudu? Wanamkwaza nani?
 
Hapana aisee kutakua na congestion kubwa sana ikiwa hivyo.
Msamvu Wacha ibaki kuwa stendi ya mkoa hii Wacha iwe stendi ya daladala na magari yaendayo Dodoma road na kwingineko.
Ukishuka hapo SGR aisee wengine tunaoenda Dumila tunateseka kwa usafiri.
Kuna watu hawaoni hilo! Hiyo terminal itaenda kuwa link kati ya SGR na Msavu Terminal Na pia departure kwa mabasi ya mikoa yanayoanzia Morogoro na mabasi ya ndani ya mkoa wa Morogoro! Sioni zaidi ya hilo! Pia malori yatapata nafasi ya kuchukua na kupeleka mizigo!
 
Kweli Mkutano mkuu una mamlaka ya mwisho kuteua mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Ila kabla ya mkutano mkuu kukaa huwa kuna vikao halali vya chama hukaa kwanza kuchakata majina ya wagombea urais kupitia mchakato ulioainishwa kwenye katiba ya CCM. Wagombea kuchukua fomu za urais na kutimiza matakwa kabla ya kurudisha fomu then vikao halali vya chama hukaa kupitia majina na kuchakata kisha majina kupelekwa kwenye mkutano mkuu kwa kupigiwa kura.
kiufupi mkutano mkuu hupelekewa agenda ya mchakato wa uchaguzi wa wagombea uraisi ila kilichofanyika ni usurping of mandates ya vikao halali vya chini katika mchakato mzima.
Brother vikao halali vinavyotakiwa kukaa ni vikao gani?

Hebu taja kifungu chochote cha katiba ya CCM inasema hivyo. Au eleza kanuni ipi inaongelea hicho.

Mkutano mkuu ndio mamlaka ya juu ya mwisho ya CCM. Hakuna mamlaka mengine juu ha hapo.

Ndio maana baada ya mapendekezo yalipotolewa na mkutano mkuu, mkutano mkuu uliielekeza NEC kukaa na kuandaa utaratibu.
NEC ilitekeleza maelekezo ya Mkutano mkuu.

Someni mjifunze Organization za vyama zinavyofanya kazi.

CC ipo juu na Sekretarieti, NEC ipo juu ya CC na Mkutano mkuu upo juu ya NEC.

Someni vitu muache kuonesha kutokuelewa kwenu kwenye public na mnalazimisha kuwa ni sahihi while not true. Mnajibu kwa hisia kuliko facts.
 
Kweli Mkutano mkuu una mamlaka ya mwisho kuteua mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM. Ila kabla ya mkutano mkuu kukaa huwa kuna vikao halali vya chama hukaa kwanza kuchakata majina ya wagombea urais kupitia mchakato ulioainishwa kwenye katiba ya CCM. Wagombea kuchukua fomu za urais na kutimiza matakwa kabla ya kurudisha fomu then vikao halali vya chama hukaa kupitia majina na kuchakata kisha majina kupelekwa kwenye mkutano mkuu kwa kupigiwa kura.
kiufupi mkutano mkuu hupelekewa agenda ya mchakato wa uchaguzi wa wagombea uraisi ila kilichofanyika ni usurping of mandates ya vikao halali vya chini katika mchakato mzima.
Soma katiba ya CCM hapa:

Soma kifungu cha 100(1) inaelezea majukumu ya mkutano mkuu 100(2)
Hii hapa:
1753774343100.png
 
Kinachokusumbua brother ni emotions zako. Gwajima na kanisa lake tangu miaka ya 2000s anatuambia atamfufua Amina Chifupa umewahi kuliongelea hilo?

Pili Sheria ipo ya usajili wa Taasisi za kidini chini ya wizara ya mambo ya ndani. Na mwenye mamlaka katika taasisi hizo ni waziri wa wizara ya mambo ya ndani.

Kama taasisi inaona imeonewa kwanza lazima okate rufaa kwenda kwa waziri. Kama hawataridhika na uamuzi huo wanatakiwa kufungua kesi mahakamani.

Brother nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria siyo huruma.

Unatakiwa uwashauri viongozi wa kanisa la gwajima wafuate utaratibu siyo kuleta mashindano dhidi ya mamlaka. Always ukishindana na mamlaka utaumia.


HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA
Ni umeamua tu kubishana ila deep down unafahamu ukweli kuwa kuna tatizo mahali. 😂😂😂
 
Wewe wa kule nn mbona una-jam thread na hii habari? Rwanda ni kanchi kadogo chenye wivu! Hakawezi kuachwa kuharibu biashara yetu na DRC! Inshort kako irrelevant na kanajititimua kuonekana!
Rwanda hana uwezo wa kuharibu kitu chochote cha Tanzania, ni woga wako tu brother.
 
Ni umeamua tu kubishana ila deep down unafahamu ukweli kuwa kuna tatizo mahali. 😂😂😂
Sasa brother hapa tunajadiliana, wewe weka mawazo yako. Hatuwezi watu wote kuwa na mawazo yanayofanana. Ndio maana kuna mambo unayapenda mimi siyapendi vilevile kuna mambo unayajua mimi siyajui na mimi nayajua wewe huyajui.

Huu ni mjadala ambao upo wazi tujadiliane kwa heshima na references.
 
Zambia Watapata Mafuta directly kutoka Angola na baadae Namibia Kwa njia ya mabomba.

Sisi tutatoa wapi? Uganda wanajenga refinery tutanunua ya kwao Kwa bei nafuu kuliko ya kutoka huko Arabuni.
Mafuta ghafi ya Uganda yatakuja TZ Tanga then tutaunga bomba hilo na Tazama pipeline kwenda Zambia kwakuwa watakuwa na refinery watasafishia hukohuko kwao.
 
Back
Top Bottom