Kinachokusumbua brother ni emotions zako. Gwajima na kanisa lake tangu miaka ya 2000s anatuambia atamfufua Amina Chifupa umewahi kuliongelea hilo?
Pili Sheria ipo ya usajili wa Taasisi za kidini chini ya wizara ya mambo ya ndani. Na mwenye mamlaka katika taasisi hizo ni waziri wa wizara ya mambo ya ndani.
Kama taasisi inaona imeonewa kwanza lazima okate rufaa kwenda kwa waziri. Kama hawataridhika na uamuzi huo wanatakiwa kufungua kesi mahakamani.
Brother nchi inaongozwa kwa kanuni na sheria siyo huruma.
Unatakiwa uwashauri viongozi wa kanisa la gwajima wafuate utaratibu siyo kuleta mashindano dhidi ya mamlaka. Always ukishindana na mamlaka utaumia.
HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA