Dar is a slum the most unplanned city on earth hali ni mbaya sana. 🤣 🤣
View: https://x.com/Rydx_017/status/1928676572007117100
View: https://x.com/Rydx_017/status/1928676572007117100
Video iko wapi?Niliziona mbaya sana.
Wakundustan kwenye comments wenyewe wanashangaa watanzania wasivyo na ufukara kama wao.
View: https://vm.tiktok.com/ZMScYk4nJ/
Damn this thing is cooked! Yaani huku ndipo final itachezwa?
View: https://youtu.be/8LlP39ZT4ZM?si=QEPR4pDFNxHI2OwO
View: https://youtu.be/OTzCXd1AbB0?si=xW8qnMm_C0TTmY_f
Bora anaeexport omba omba kuliko slavesKuna watu fukara kama nyinyi kweli? sijaona nchi inexport omba omba wengi kama nyinyi, hadi burundi wana nafuu
Influx ya malori ni kubwa bandari ya Dar ipo busy mara 1000 ya Mombasa, Mombasa port bila kufake numbers haitoboi
View: https://youtu.be/N3nSRVxxZkA?si=Hj1QIZ1MuSf5n_UK
Kuna ufukara zaidi ya omba omba?? Eti Tanzania hatuna ufukara kama......wazee wa kujiliwazaBora anaeexport omba omba kuliko slaves View attachment 3420920
Kila mahali tunawashinda inakua "kwenye makaratasi". Typical bongolalaToo busy ya kwenye makaratasi,njoo dar uone wingi trucks na gari ndogo za IT,kama hujafunga mdomo wako
Kama uliweza tudanganya kwa nyumba za kupangishwa za Karen za Nairobi kwanini tusiamini kuwa hao ni ombaomba wenu mnashindwa kuwatoa, Tanzania if your illegal utatoka tu. Inaonesha system zenu zilivyoweakKuna watu fukara kama nyinyi kweli? sijaona nchi inexport omba omba wengi kama nyinyi, hadi burundi wana nafuu