Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1b ni lami kilometa moja. Nadhani hofu yao ni kufikia stage kama ya Kenya, ya madeni makubwa.

Ujue SGR, Nyerere bridge, Mtumba, Outering Dodoma zimetafuna sana pesa.

Ethiopia wanazo mbili za kulipia.

Barabara za kulipia zitakuwepo na nyingine za kawaida kama kawaida.

Kigamboni kuna pesa za NSSF wanataka kurudisha pesa za wastaafu.

Una wazo kama langu. Tusie dekeze sana PPP kwenye barabara.

Huko ndio kama hatuna pesa tukope tu.

Miradi kama kujenga arena za burudani na miradi mikubwa kama ya madini ndio kunatakiwa PPP
1bn nilimaanisha USD sio Tsh
 
Special ebu post hizo special trucks .
Na siku nyingine usiwe unakurupuka Nairobi na Mombasa malori mengi yanatoka ili kupeleka mizigo hinterland kuna malori machache sana yanayokuja na mizigo hinterland, kwahiyo sio rahisi kuwepo na foleni ya kushusha mizigo popote zaid ya bandarini na kwenye icds. Dar es salaam kuna mizigo ya copper na makaa ya mawe ambayo ukichukua hiyo ndo inaleta jam kwa barabara zote ndani ya dar es salaam.
Inshort dar es salaam inashambuliwa kwa kuleta mizigo Toka pande zote za mtwar collidor makaa ya mawe , mawe, viwanda vilivyoko mkuranga , tukija tu kwenye makaa ya mawe fleet ya kampuni ya mighty ni zaid ya 1000trucks per day hiyo ni mtwara collidor na hizo zote ni zinaenda bandarini na viwandani ukija kibaha road kuna copper na makaa ya mawe pia hata ijenge 6 lanes kwa sasa bado huwez himili mzigo wa dar
Ni wapi nimesema special trucks? Learn to focus. Mombasa port is two times busier than your port. Mombasa port is efficient and has less traffic disruptions due to proper infrastructure and planning. Mombasa port is connected to A109 and A14 via the Dongo Kundu Bypass/Southern Bypass, which has an access road into the port. Unatuambia maneno mengi na barabara zenu zimejaa bottlenecks, karibu kila pahali ni zebra crossing. 🤣 🤣 🤣

New Mombasa highway to assist tourists | Southern & East African Tourism  Update
Dongo Kundu bypass gets Sh8.4b share of budget allocation - People Daily
 
Ni wapi nimesema special trucks? Learn to focus. Mombasa port is two times busier than your port. Mombasa port is efficient and has less traffic disruptions due to proper infrastructure and planning. Mombasa port is connected to A109 and A14 via the Dongo Kundu Bypass/Southern Bypass, which has an access road into the port. Unatuambia maneno mengi na barabara zenu zimejaa bottlenecks, karibu kila pahali ni zebra crossing. 🤣 🤣 🤣

New Mombasa highway to assist tourists | Southern & East African Tourism  Update
Dongo Kundu bypass gets Sh8.4b share of budget allocation - People Daily
Too busy ya kwenye makaratasi,njoo dar uone wingi trucks na gari ndogo za IT,kama hujafunga mdomo wako
 
Ni wapi nimesema special trucks? Learn to focus. Mombasa port is two times busier than your port. Mombasa port is efficient and has less traffic disruptions due to proper infrastructure and planning. Mombasa port is connected to A109 and A14 via the Dongo Kundu Bypass/Southern Bypass, which has an access road into the port. Unatuambia maneno mengi na barabara zenu zimejaa bottlenecks, karibu kila pahali ni zebra crossing. 🤣 🤣 🤣

New Mombasa highway to assist tourists | Southern & East African Tourism  Update
Dongo Kundu bypass gets Sh8.4b share of budget allocation - People Daily
Too busy ya kwenye karatasi budaa 🤣🤣. 👇🏾 Hii Ndio barabara ya kuingia na kutoka bandarini.
IMG_8810.jpeg
Bandari ya DSM is the busiest in the region. Nyie endeleeni kupika number. 🤣🤣🤣 kuna njia mbili kubwa za kutokea DSM port.
 
Dar haipiti 1 second hujaona truck barabarani, yaani trucks ni nyingi kuliko normal vehicles lakini Mombasa huoni chochote trucks ni chache kama idadi ya ndege

Waangalie wakundustan wenzio wanavyolalamika mlundikano wa trucks Tanzania


View: https://youtu.be/WMlEf2zkUHg?si=8tYWfuf5KbuXmqnZ


View: https://youtu.be/alhqlSbTrXs?si=IaCf8o8kxWuQDfMN

Kama hivi ndio munajenga intersections mbona kusikue na mrundikano.

Image


Hatuko level moja na nyinyi wanyonge hamjui kutengeneza interchanges.

Image
 
Back
Top Bottom