Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,919
- 33,197
KQ makes profit, what about your dead debt ridden airline?Toka lini Tanzania Iko na equity, unajua madeni ya atcl chanzo chake ni kipi? Kwahiyo revenue ndo faida 🤣🤣🤣
KQ makes profit, what about your dead debt ridden airline?Toka lini Tanzania Iko na equity, unajua madeni ya atcl chanzo chake ni kipi? Kwahiyo revenue ndo faida 🤣🤣🤣
Nimeona wamesign MOU na KQ hili iwasaidie kuingia Europe. Of all the airlines in Africa wameona ni KQ Tu ndio inaweza kuwasaidia.Walease ndege wapeleke wapi na hata Europe waliambiwa wasijaribu kuingia huko.
Ndege zenu si hua zinafanyiwa overhaul abroad ju hamna proper facilities. You still have a long way to go.In terms of shares only buana nothing , mind you hata mkiwa mnalease it's reported in the books of accounts .
Imagine if we could be leasing , ndege ngapi tungekuwa tunamilikb. Mind b787 ni 224mil usd na zipo tatu 🤣🤣🤣🤣
Kq haina mtaji ndugu imejaza current assets ambazo ndo hizo shares , yaan ni liquid assets , then ukija kwenye hizo leased planes hana uwezo wa kufanya lolote hata kusema akodishe au auze .Ona pumbavu, kwa hivyo nyinyi hamna madeni? Mkona madeni plus hasara. KQ has a revenue of 1.5 billion USD, Air Tangagiza hata 200 million USD haijafikisha. Giants can't compete with midgets.
Kuwa maintance facility sio lazima, inategemea na policy ya kampuni ,kwa akili yako unadhani inashindikanika kuweka maintanence facility ?Ndege zenu si hua zinafanyiwa overhaul abroad ju hamna proper facilities. You still have a long way to go.
Last year KQ did 6M passengers and 78k tonnes. ATCL did 800k passengers and 25 tonnes.Ndege zenu si hua zinafanyiwa overhaul abroad ju hamna proper facilities. You still have a long way to go.
Nyamaza, you don't even have the facilities to train your pilots. Nunueni hata flight simulator moja muwache kuja Kenya kutumia facilities za KQ.Kq haina mtaji ndugu imejaza current assets ambazo ndo hizo shares , yaan ni liquid assets , then ukija kwenye hizo leased planes hana uwezo wa kufanya lolote hata kusema akodishe au auze .
NCA ya Kq ni very low
Huwa mnafurahishaga mnavojiapia halafu mnakuja lialia humu.Ndege zenu si hua zinafanyiwa overhaul abroad ju hamna proper facilities. You still have a long way to go.
Hamna facilities because you are a small airline.Kuwa maintance facility sio lazima, inategemea na policy ya kampuni ,kwa akili yako unadhani inashindikanika kuweka maintanence facility ?
Hub ya atcl ni msalato subiria iishe muone
Siku hiyo shirika dhaifu itapata faida njoo tuongee.Kuwa maintance facility sio lazima, inategemea na policy ya kampuni ,kwa akili yako unadhani inashindikanika kuweka maintanence facility ?
Hub ya atcl ni msalato subiria iishe muone
Sasa tukanunueni b787 in cash tushindwe nunua hiki kidudu Cha usd 300,000🤣🤣🤣🤣Nyamaza, you don't even have the facilities to train your pilots. Nunueni hata flight simulator moja muwache kuja Kenya kutumia facilities za KQ.
![]()
Hamna, unadhani mbona nchi nzima mukona less than 200 pilots. Kwa aviation industry bado mko nyuma kama matako.Sasa tukanunueni b787 in cash tushindwe nunua hiki kidudu Cha usd 300,000🤣🤣🤣🤣
KUmbuka treni za mizigo bado haziBado hata haijatumika ipasavyo kuongeza loops Tena wakati hata hii kuna interval ya masaa zaid ya matatu kwa treni kupita
Watu wamechoka na serikali onevu East africa integration haitowezekana kama serikali yetu ikiendelea na huu uonevuBaada ya mwanae kupigwa chini naona naye anatafuta pa kutokea ili kanisa lake lifungiwe. Watu wamechoka na makanisa wanataka kuyakimbia
Tunaweza ziweka ndege zetu kwenye hangar na bado zikawa zetu. Je nyinyi mnayo jeuri hiyo?Tangu uzaliwe ushaiona Any Time Cancellation Limited kama imetengeneza faida?
Nyamaza, you don't even have the facilities to train your pilots. Nunueni hata flight simulator moja muwache kuja Kenya kutumia facilities za KQ.
![]()
Na tusiwe tunalipa hata ushuru wa maegesho zikiwa Dom hapo ila wao itembee au isitembee lazima wawalipe Citibank hela ya mkodishoTunaweza ziweka ndege zetu kwenye hanger na bado zikawa zetu. Je nyinyi mnayo jeuri hiyo?
So siku hizi airline business ni kuziweka kwenye hanger? How do you guage the success of an airline hapo Bongolala?Tunaweza ziweka ndege zetu kwenye hanger na bado zikawa zetu. Je nyinyi mnayo jeuri hiyo?
Treni ya mizigo isikutishe zile safari zake ni usiku tu, hata kuwe na treni 200 kwa siku bado reli itajitosheleza tu ni ratiba tuKUmbuka treni za mizigo bado hazi
Watu wamechoka na serikali onevu East africa integration haitowezekana kama serikali yetu ikiendelea na huu uonevu
Nani kaonewa? Yule kijana wa NALA na baba huyu aliyeingizwa chaka naving'amuzi vyake? Sasa hivi ana hasita GoT. Hakuna aliyeshindana na Serikali akashinda.KUmbuka treni za mizigo bado hazi
Watu wamechoka na serikali onevu East africa integration haitowezekana kama serikali yetu ikiendelea na huu uonevu