Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyamaza, you don't even have the facilities to train your pilots. Nunueni hata flight simulator moja muwache kuja Kenya kutumia facilities za KQ.

Dash 8 simulator to be installed in Kenya - Wings MagazineWings Magazine
1753739092165.png
1753739092165.png

Mkanunue hata hii basi moja tu iwe yenu badala ya kuwa wapangangji
Wa
Tsavo Aircraft Financing LLCCitibank NA, JPMorgan Chase, AfreximBankTo finance 6x B787‑8, 1x B777‑300ER & spare engineHeld by financiers via trustee
 
View attachment 3422408View attachment 3422408
Mkanunue hata hii basi moja tu iwe yenu badala ya kuwa wapangangji
Wa
Tsavo Aircraft Financing LLCCitibank NA, JPMorgan Chase, AfreximBankTo finance 6x B787‑8, 1x B777‑300ER & spare engineHeld by financiers via trustee
Propaganda zako jiwekee, KQ has been donating aircrafts and aircrafts parts to education instituitions. Wewe unaweza peana mali sio yako? Air Tangagiza imewai peana hata mgrudumu?

Kenya Airways Donates Decommissioned Boeing 737-700 NG to Mang'u High  School for Aviation Training » Capital News
 
So siku hizi airline business ni kuziweka kwenye hanger? How do you guage the success of an airline hapo Bongolala?

Any business is measured on profitability, sio mambo za kijinga kama sijui hanger.
Hivi wewe unajuwa maana ya intrisic value? Google that first and re read what I said about hangars. Your business model is not realistic, you can't make any profit with those numbers (3 out of 35).

You can be upset with me if you like, but we can store our planes in the hangars, and the documents will indicate they are owned by Tanzanian govenment. Can you do the same?
 
Kaka, uliona sawa katiba ya nchi kukanyagwa kwa mgombea wa CCM kutanganzwa kabla ya bunge kuvunjwa?
Ni ibara ipi inayosema vyama vya siasa vitangaze wagombea wao baada ya bunge kuvunjwa?

Huyo amepitishwa na CCM siyo INEC.
Tofautisha makubaliano ndani ya chama na Utaratibu wa ki nchi.

Mimi sijaona tatizo hapo.
 
Huwa na shangaa baadhi yetu hapa kufumbia macho uonevu huu wa wazi, na wengine hata kuutetea? Yaani wanafungia makanisa, hata waumini wakienda kwingine wanawafata, huo sasa ni ushetani.
Brother makanisa mangapi yamefungiwa? Lililofungiwa ni moja tu. Tanzania kuna zaidi ya makanisa 1,000,000.
 
Hivi wewe unajuwa maana ya intrisic value? Google that first and re read what I said about hangars. Your business model is not realistic, you can't make any profit with those numbers (3 out of 35).

You can be upset with me if you like, but we can store our planes in the hangars, and the documents will indicate they are owned by Tanzanian govenment. Can you do the same?
Has your airline ever made any profit since inception?

Ok, let’s talk about figures cause it seems you so much into it.

Passengers
KQ -6M
ATCL -800k

Cargo
KQ -78K tonnes
ATCL - 25 tonnnes.

How will storing planes in hanger improve those statistics in favor of your dead airline?
 
Has your airline ever made any profit since inception?

Ok, let’s talk about figures cause it seems you so much into it.

Passengers
KQ -6M
ATCL -800k

Cargo
KQ -78K tonnes
ATCL - 25 tonnnes.

How will storing planes in hanger improve those statistics in favor of your dead airline?
We can still cash in on our 'dead airline'. It's like finding a hidden treasure in the attic! Can you do the same?
 
Brother makanisa mangapi yamefungiwa? Lililofungiwa ni moja tu. Tanzania kuna zaidi ya makanisa 1,000,000.
Kwani Gwajima anakanisa moja? Na Kama alikosea si ashtakiwe kwa mujibu wa sheria, hao waumini wake wamekosea nini, kuzuiwa kuabudu?

Wamekuwa wakipewa hifadhi kwenye makanisa mbali mbali kama KKKT nako wamezuiwa, sasa Kanisa katoliki limewapa hifadhi, nako watazuiwa kuabudu? Huoni inaleta presedence (uhalali) ya mtifuano wa kiimani baadae?
 
Ni ibara ipi inayosema vyama vya siasa vitangaze wagombea wao baada ya bunge kuvunjwa?
Ibara ya 41 (1) inaongelea kuhusu bunge kuvunjwa kabla ya majina kuwasilishwa, sasa jina moja lilishatajwa ili baadae lije kupelekwa kwenye tume ya uchaguzi.
Huyo amepitishwa na CCM siyo INEC.
Tofautisha makubaliano ndani ya chama na Utaratibu wa ki nchi.

Mimi sijaona tatizo hapo.
Makubaliano yepi wakati hakukuwa na mchakato au kinyanga'nyiro cha kumtafuta mgombea? Kikwete aliposema tumekubaliana, alikubaliana na nani wakati kibajaji alihoji?
 
Back
Top Bottom