mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 6,138
- 6,560
Chamoto , I don’t like challenging you as you already know but I am sure you didn’t do enough research on this one. I know off head many advanced nations with GDP under 250 billion. I can give you examplesNitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida, huku ikisomesha watoto mpaka sekondari bure.
Qatar
Kuwait
Luxembourg
Croatia
Even Algeria in Africa ( they are Egyptian rivals)
I can go on ….
Please Google major projects in each of these countries and come back to proceed..