Tanzania Exports ending May 2025 reached 44 trillion ($18bn) mtajua hamjui sasa.
View: https://x.com/NataliaJohn19/status/1945787631419199986
View: https://x.com/NataliaJohn19/status/1945787631419199986
Leta evidence haikua delivered.Hebu leta evidence zilikuwa delivered!
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.Hii ni Air Tanzania kwenda Mwanza siku mbili kabla. Hii maana yake ni nini?
View attachment 3409876
Alafu mwisho WA mwaka your domestic travel will be less than total Mombasa Airport PAX. So mnasafiri kuenda wapi?Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Huoni siku nzima wakona ndege nne pekee na hawataki tupumue. 🤣 🤣 🤣Alafu mwisho WA mwaka your domestic travel will be less than total Mombasa Airport PAX. So mnasafiri kuenda wapi?
Mradi wa wanasiasaLeta evidence haikua delivered.
biznakenya.com
lete pax ya mombasa tuoneAlafu mwisho WA mwaka your domestic travel will be less than total Mombasa Airport PAX. So mnasafiri kuenda wapi?
The question is very simple, were they delivered or not?Mradi wa wanasiasa
![]()
Sh. 7 billion stolen as Sh. 40 million CT Scans bought at Sh. 227 million each
The over valued macjines were supposed to ease CT Scan in Kenya but instead have been another highlight of runaway corruptionbiznakenya.com
Kundustani haihitaji evidence angalia Nyayo na Kasarani stadiums kuona how a word delivering is inexistent in ur dictionary!Leta evidence haikua delivered.
Shifting goal posts, bongolala ni kama malaya, haridhishwi.Kundustani haihitaji evidence angalia Nyayo na Kasarani stadiums kuona how a word delivering is inexistent in ur dictionary!
Maza alifeli mpaka mitihani ya moko huko darasa la 4. Na aliendelea kufeli la saba mpaka secondary. Yupo tu kumpromoti ushungi. 🚮 🚮 🚮Wacha upuuzi mama Samia hakubaliki kwa Wasukuma! Wasukima wote wanaamini baada ya JPM ilipaswa Msukuma mwingime awekwe kumalizia term yake!
World’s longest heated oil pipeline hits 64.5% completion, earns Tanzania TSh50 billion World’s longest heated oil pipeline hits 64.5% completion, earns Tanzania TSh50 billion
Hakuna evidence hata hiyo barua ina page ya pili hukuiweka hapa maana haileti meaning yoyote ukiisoma.The question is very simple, were they delivered or not?
Kwahiyo kama Mabeyo alisimamia ndio Wasukuma walimpenda? Hivi unajua Mabeyo alifuataWewe ni Muongo na Bingwa wa kutunga uongo. Mabeyo Ndiye aliye simamia na ndiye aliyemlida Mama Samia. Wengine walitaka asiwe Rais. Mabeyo ni msukuma.
98% ya Wasukuma/Nyamwezi wote ni CCM
$400 Billion GDP na mkona MRI 14 pekee. 🤣 🤣 🤣Hakuna evidence hata hiyo barua ina page ya pili hukuiweka hapa maana haileti meaning yoyote ukiisoma.