Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni Air Tanzania kwenda Mwanza siku mbili kabla. Hii maana yake ni nini?
View attachment 3409876
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
 
Demand ya seats ni kubwa mkuu. Tanzanians ndio taifa amabalo watu wake wengi wanasafiri sana. Hata mabasi siku hizi lazima ukate ticket a day before au mapema asubuhi kama unasafiri usiku bila hivyo hupati seat.
Alafu mwisho WA mwaka your domestic travel will be less than total Mombasa Airport PAX. So mnasafiri kuenda wapi?
 
Nairobi bana😂😂😂😂

Screenshot_20250718_191345_X.jpg
20250718_191359.jpg
 
Wewe ni Muongo na Bingwa wa kutunga uongo. Mabeyo Ndiye aliye simamia na ndiye aliyemlida Mama Samia. Wengine walitaka asiwe Rais. Mabeyo ni msukuma.

98% ya Wasukuma/Nyamwezi wote ni CCM
Kwahiyo kama Mabeyo alisimamia ndio Wasukuma walimpenda? Hivi unajua Mabeyo alifuata
Katiba ya nchi?
 
Back
Top Bottom