Aki Wakenya ni watu wenye wivu mkubwa sana hawataki kusikia chochote kizuri kuhusu Tanzania
View: https://www.facebook.com/share/p/1YZP7D6Lyp/
View: https://www.facebook.com/share/p/1YZP7D6Lyp/
This is good progress and the work is ongoing. Unabisha tu kisa ni Nairobi sindiyo? Hapo Dar niliona mito ni uchafu tupu usidhani hatuijui.
Sizungumzi mto.This is good progress and the work is ongoing. Unabisha tu kisa ni Nairobi sindiyo? Hapo Dar niliona mito ni uchafu tupu usidhani hatuijui.
Wewe hata Samia akienda choo kukunia utasema Wakenya wanaumia.
$400 Billion GDP na mkona MRI 14 pekee. 🤣 🤣 🤣
Hapa ni wapi?
View: https://www.facebook.com/share/p/1C5TQtgrMk/
That is the Korogocho slum you keep talking about and its improving rapidly. Meanwhile, most of Dar looks worse than this. GDP yetu sii kubwa, ni $131B pekee. Hiyo yenu ya $400B according to Chamoto ndio kubwa 🤣 🤣Sizungumzi mto.
Check all the buildings around that river.
Hazifanani na GDP kubwa.
Makatunist sana hawa. 🤣🤣🤣
Si ulisema ziko 3. Kenya purcahsed 20 MRI machines in 2013 while bongoslum in 2025 bado mkona 14. Watu wa 400 billion gdp ya mchongo, hamko hata penye tulikua in 2013.Zimefika 3.
Endelea kuleta taarifa
Mashindano.ligi yao yenyewe ya mpata mpatae alafu wanajenga uwanja kama wa Mkapa ili iweje? Hawa ni wajinga sn, it's better wangejenga viwanja vya riadha.
$400 Billion GDP na mkona MRI 14 pekee. 🤣 🤣 🤣
Hapa ni wapi?
View: https://www.facebook.com/share/p/1C5TQtgrMk/
Si ulisema ziko 3. Kenya purcahsed 20 MRI machines in 2013 while bongoslum in 2025 bado mkona 14. Watu wa 400 billion gdp ya mchongo, hamko hata penye tulikua in 2013.
View: https://x.com/GDUDelivery/status/1154696869655830528
wewe kima,kuna Tana, Mwanza, Arusha, Dodoma, Morogoro, Mbeya, Lindi, Singida...the list is solong and endless.Do you stadiums in Tanzania outside Dar and Zanzibar? Kenya is building decent Stadiums in every county yet wewe uko hapa unapanga midomo kwa wivu.
Eti zimebaki 19, hata hauna aibu. Si ulisema they were not delivered. Hizo zenu 14 ziko wapi? Pengine hata hazifiki kumizimebaki 19!
Si ulisema ziko 3. Kenya purcahsed 20 MRI machines in 2013 while bongoslum in 2025 bado mkona 14. Watu wa 400 billion gdp ya mchongo, hamko hata penye tulikua in 2013.
View: https://x.com/GDUDelivery/status/1154696869655830528
Si ulisema ziko 3. Kenya purcahsed 20 MRI machines in 2013 while bongoslum in 2025 bado mkona 14. Watu wa 400 billion gdp ya mchongo, hamko hata penye tulikua in 2013.
View: https://x.com/GDUDelivery/status/1154696869655830528
I can't waste my time posting more than 20 MRI machines in public hospitals, hio time ndio sina, kama unapinga ministry of Health tembelea hizo hospitali uconfirm.Namba 4.
Endelea