Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Itikadi zilezile za Banyarwanda na Banyamulenge!Hizo unaweka Prompt za AI kaka. Sukuma/Nyamwezi is not a tribe. Ni kama kusema Waswahili ni tribe.
Akina Hamisa Mobetto, Kajara Masanja, Wema Sepetu, Flaviana Matata nk wote hao ni jamii ya (Sukuma/Nyamwezi).
Kwenye mila za kisukuma/Kinyamwezi datoga(Wataturu, Barabaig) Wanaheshimika sana. Mang'ati ni neno la kimasai maana yake Adui
Datoga na Sukuma/Nyamwezi ni kitu kimoja. But Massai na Sukuma/Nyamwezi hawapikiki kwenye chungu kimoja ni maadui.
Kama unataka uelewe zaidi. Majina ya Wasukuma/Wanyamwezi utakuta ni ya makabila mengine kabisa hayana maana kwenye lugha ya Kisukuma/Nyamwezi.
HII ISSUE NI NGUMU HUWEZI KUILEWA KAKA.
Hutus and Tutsis and genetics
My book review of Michael Ryan's book briefly covered this topic but due to popular interest, here is a full post. Famously, there was a genocide in Rwanda in the 1994. The mainstream story per Wikipedia is something like: The Rwandan genocide, also known as the genocide against the Tutsi, occur
emilkirkegaard.dk