EAC ipo kwasababu za kijiografia tu.Lakini hatuwezi ruhusu uhamiaji haram kisa jumuiya zisizo eleweka za EAC
Hatufanani chochote na hao wahuni.
EAC ipo kwasababu za kijiografia tu.Lakini hatuwezi ruhusu uhamiaji haram kisa jumuiya zisizo eleweka za EAC
Umesoma point yako kule juu kaka!?Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.
Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.
Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
Mzinga.? Technology ya kutengeneza mzinga unaijua wewe.? 🤣🤣 hao wapuuzi Kunyarenda hawana hata technology ya kutengeneza baruti.watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
na vi metrics vyao uchwara vya GDP, HDI, GNI 🤣🤣🤣🤣🤣GDP kubwa alafu miji vumbi tupu, inafaida gn kuwa na GDP ya hivyo alafu maandamano ya ugali kila siku, Rais wao anasema wakenya zaidi ya robo tatu wana share choo cha shimo, na tulisema humu wakabisha, leo president wao ana confirm kwamba ¾ ya wakenya wana share choo cha shimo. Alafu mtu akiniambia eti GDP ya Kenya ni kubwa huwa nashangaa sn, hivi are we serious kuita ka GDP ka $100B ni kubwa? Tuache masihara jmn, GDP inayo produce umeme usiozidi 3000MW ni kubwa hiyo? Huu ni uchale wakuu.
Rostam si Msukuma bali ana affiliation na Unyamwezi kutoka Igunga!Sasa hapo Tatizo lipo wapi? Kama Sukuma/Nyamwezi unawaweka kwenye kundi la Banyarwanda na Banyamulenge je, unataka kuwaodoa Tanzania? Sukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20% ya Population ya Tanzania. Rostam Aziz na yeye ni Msukuma. Lakini Rostam Aziz wazazi wake asili yake ni Persia.
Hao Banyarwanda na Banyamulenge hawawezi kufanya chochote, mmejazwa woga ambao hauna ukweli wowote
Unachofanya wewe ni kama Mchagga ajumuishe Wameru, Wapare, Wamasai na Wakamba na kuwaita Wachagga ili tu kupata namba! Upuuzi flani!Rostam si Msukuma bali ana affiliation na Unyamwezi kutoka Igunga!
Brother hujui lolote. Sukuma/Nyamwezi ni kitu kilekile hakuna tofauti. Unaweza ukawaita Sukuma or NyamweziRostam si Msukuma bali ana affiliation na Unyamwezi kutoka Igunga!
Kwenye makaratasi ni tofauti na ground.
View: https://www.facebook.com/share/v/16eX2sjAjT/?mibextid=wwXIfr
Tuli-naturalise around 300,000 of them! It is enough!Kwasasa TZ inatekeleza RESTRICTIVE POLICY.
Unakuja kama MKIMBIZI, kwenu amani ikirudi unarudi kwenu.
Huwezi kudanganyia ukimbizi kupata uraia.
View attachment 3408771
Shida ya Jamaa wakiona BRT wanajua ni recent photo, BRT ilianza kujengwa 2012 ikakamilika 2015.Hii ni picha pendwa ya kujipa faraja ya bwana Nicxie 👇🏾hii ni magomeni View attachment 3408143anyways.. I would like to update him .. this is the current view 👇🏾View attachment 3408144
Unaweza kuta wametunza hizo picha kwenye gallery za simu zao! 😂😂😂Shida ya Jamaa wakiona BRT wanajua ni recent photo, BRT ilianza kujengwa 2012 ikakamilika 2015.
Kipindi hicho Bonde la Mto msimbazi lilikua na mafuriko kila kukicha jangwani kulikua na utitiri huo, wakabomoa zote.
Ajabu jamaa wamekomaa na picha piga ua so sad.
Ni wengi sanaTuli-naturalise around 300,000 of them! It is enough!
According to Venus Star eti wanafanana na Wasukuma ndio wanasaidia kuwa-assimilate! Unaona ujinga unaoendelea? Ndio maana idadi yetu inaenda kugonga 70 mln people bila kujielewa!EAC ipo kwasababu za kijiografia tu.
Hatufanani chochote na hao wahuni.
Kanda ya ziwa moko hiyo,kagera wanajiita wanyambi,shinyanga,mwanza,geita nk wanajiita waangaza,hatari sana hao watuUnavyowatetea inakaa wewe asili yako inatia mashaka!