Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo unaweka Prompt za AI kaka. Sukuma/Nyamwezi is not a tribe. Ni kama kusema Waswahili ni tribe.
Akina Hamisa Mobetto, Kajara Masanja, Wema Sepetu, Flaviana Matata nk wote hao ni jamii ya (Sukuma/Nyamwezi).

Kwenye mila za kisukuma/Kinyamwezi datoga(Wataturu, Barabaig) Wanaheshimika sana. Mang'ati ni neno la kimasai maana yake Adui
Datoga na Sukuma/Nyamwezi ni kitu kimoja. But Massai na Sukuma/Nyamwezi hawapikiki kwenye chungu kimoja ni maadui.

Kama unataka uelewe zaidi. Majina ya Wasukuma/Wanyamwezi utakuta ni ya makabila mengine kabisa hayana maana kwenye lugha ya Kisukuma/Nyamwezi.

HII ISSUE NI NGUMU HUWEZI KUILEWA KAKA.
Itikadi zilezile za Banyarwanda na Banyamulenge!
 
Ndio maana huyu jamaa namshangaa sana muda mwingine sijui huwa anatumia akili gani!?
Huyo USA mwenyewe ameanza kupunguza nguvu kwenye mashariki ya kimataifa ikiwemo NATO.
Sembuse wewe Mtanzania!?
Maana nchi iliyo stable ukanda huu kwa Kila kitu ni Tanzania.
Hizo nchi zingine have nothing to offer to us zaidi sisi tutakua tegemezi tu.
Je resources zetu zitatosha kugawanywa na hao watakaokua chini yetu!?
Hii Zanzibar tumeungana nayo ila still changamoto kibao.
Do not eat much what you can't chew.
Nchi kama Marekani inaweza kukomaa na wahamiaji, kwasababu kila mtu anakula kwa jasho. Serikali inataka kodi tu.

TZ hii ambayo wananchi wanataka kila kitu bure.

  • Matibabu
  • Shule
  • Barabara na
  • Chakula wakipata ukame

Halafu bado una kundi kubwa la vijana hawana kazi, MIJI YETU imejaa Bodaboda, Machinga ambao tunaona wanachafua mji.

Tunawavumilia kwasababu ni watu wetu, wanatafuta chochote familia zao zipate.

Then, uruhusu GENGE KUBWA la Wahamiaji wenye matatizo hayo hayo.

Utamudu vipi??
 
Bro Kuna muda una akili kama mtoto aisee.
Kwahiyo Kila wanachofanya viongozi wetu basi ni sahihi?
Kwahiyo mtu kuwa na mawazo tofauti ni sawa na uoga?
Au hupendi watu watizame mambo kiutofauti!?
Yani mtu akiwa na mtazamo tofauti unampa jina mara muoga mara hisia binafsi.
Acha hizo,ni kosa kubwa sana kama hizo nchi zitaungana chini ya bendera moja na Tanzania.
Tupo hapa tutaona,Kigoma nadhani unayakumbuka mauaji na uhalifu wa tereza,ni warundi wale walikua wanafanya vile.
Nadhani watutsi unawajua vizuri pia wakoje.
Wewe endelea kushabikia vitu kiuchawa uchawa ukipewa kisa viongozi wamepanga basi kwako sawa tu.
Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.

Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.

Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
 
Itikadi zilezile za Banyarwanda na Banyamulenge!
Sasa hapo Tatizo lipo wapi? Kama Sukuma/Nyamwezi unawaweka kwenye kundi la Banyarwanda na Banyamulenge je, unataka kuwaodoa Tanzania? Sukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20% ya Population ya Tanzania. Rostam Aziz na yeye ni Msukuma. Lakini Rostam Aziz wazazi wake asili yake ni Persia.

Hao Banyarwanda na Banyamulenge hawawezi kufanya chochote, mmejazwa woga ambao hauna ukweli wowote
 
Embu panua akili kidogo,Burundi Ina matatizo ya ndani ambayo mengine yanachagizwa na ukabila.
Rwanda na ni exactly vile vile.
Kukaribisha hao watu chini ya bendera Moja ni kujiongezea matatizo kwa kuyabeba matatizo yao.
Mrundi ni Mrundi tu hata Aishi wapi exactly kwa Mnyarwanda.
Tena bora Mrundi anakumbuka fadhila ila Mnyarwanda hachelei kunyea mkono unaomlisha,tunaishi nao tunawajua hao.
Tanzania tumetoa sana Uraia kwa Warundi, lakini ni wale wanaokaa kwenye kambi za wakimbizi miaka 20+

Wameshajifunza kuishi kitanzania.

Check Kenya, wanapokea wasomali wanaingizwa moja kwa moja mitaani hata Kiswahili hawajui.

Sasa hivi wanapeperusha bendera ya Somalia wakiwa Kenya.

Wanaongea kiSomali kila kona, na hawataki maelezo yoyote na wakenya.
Yaani wana utawala wao ndani ya Kenya.

Useeeenge
 
Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.

Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.

Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
Lakini hatuwezi ruhusu uhamiaji haram kisa jumuiya zisizo eleweka za EAC
 
Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.

Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.

Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
Umesoma point yako kule juu kaka!?
Tufanye yameisha.
Case closed.
 
watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
Mzinga.? Technology ya kutengeneza mzinga unaijua wewe.? 🤣🤣 hao wapuuzi Kunyarenda hawana hata technology ya kutengeneza baruti.
 
GDP kubwa alafu miji vumbi tupu, inafaida gn kuwa na GDP ya hivyo alafu maandamano ya ugali kila siku, Rais wao anasema wakenya zaidi ya robo tatu wana share choo cha shimo, na tulisema humu wakabisha, leo president wao ana confirm kwamba ¾ ya wakenya wana share choo cha shimo. Alafu mtu akiniambia eti GDP ya Kenya ni kubwa huwa nashangaa sn, hivi are we serious kuita ka GDP ka $100B ni kubwa? Tuache masihara jmn, GDP inayo produce umeme usiozidi 3000MW ni kubwa hiyo? Huu ni uchale wakuu.
na vi metrics vyao uchwara vya GDP, HDI, GNI 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa hapo Tatizo lipo wapi? Kama Sukuma/Nyamwezi unawaweka kwenye kundi la Banyarwanda na Banyamulenge je, unataka kuwaodoa Tanzania? Sukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20% ya Population ya Tanzania. Rostam Aziz na yeye ni Msukuma. Lakini Rostam Aziz wazazi wake asili yake ni Persia.

Hao Banyarwanda na Banyamulenge hawawezi kufanya chochote, mmejazwa woga ambao hauna ukweli wowote
Rostam si Msukuma bali ana affiliation na Unyamwezi kutoka Igunga!
 
Rostam si Msukuma bali ana affiliation na Unyamwezi kutoka Igunga!
Brother hujui lolote. Sukuma/Nyamwezi ni kitu kilekile hakuna tofauti. Unaweza ukawaita Sukuma or Nyamwezi
Kwanza unatakiwa ujue neno Nyamwezi limetokana na nini na neno Sukuma limetokana na nini.

Sukuma/Nyamwezi is not a tribe brother is a sociaty
 

Kwasasa TZ inatekeleza RESTRICTIVE POLICY.

Unakuja kama MKIMBIZI, kwenu amani ikirudi unarudi kwenu.

Huwezi kudanganyia ukimbizi kupata uraia.

Screenshot_20250717_133352_Chrome.jpg


 
Back
Top Bottom