Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Masuala ya mbegu na kubadilisha ideology ni mambo mawili tofauti mkuu.
Kitu ideology ni ngumu sana.
Nakupa mfano ulio hai.
Kurdish ambao walikua watawala wa Khorasana walikataa katukatu kuwa chini ya himaya moja ya Ottoman,ilienda hivyo kukaa chini ya hiyo himaya walilazimishwa,ila himaya ilipovunjika waturuki wengine wote walikubali kuwa chini ya bendera ya nchi ya Uturuki,wafarsi wakawa chini ya bendera Moja ya Iran,ila wakurdi hawakukubali licha ya kubembelezwa na kulambwa magoti juu.
Hao hapo sasa hivi wanapigana kutafuta uhuru wa kurdi katika ardhi ya Iran,Iraq na Turkiye.
Ndio ujue ideology sio kitu rahisi kubadili.
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project. South Africa wana Rainbow nation, Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
 
Yaanza kutatuliwa hayo ndio mengine yaje.
HUWEZI jitia msafi kwa kuvaa nguo na kupuliza manukano ilhali huogi Wala huchambi,harufu itatokeza tu.
Oneni wenzenu Algeria,Misri wao wameendelea kivipi?
Nchi za kiaarabu zimetumia vizuri raslimali yao ya mafuta.

Hakuna sababu nyingine.

Nchi za Kiarabu zisizo na mafuta kama Bangladesh zimechoka tu
Botswana wao wameendelea vipi?
Botswana wametumia vizuri ALMASI yao ingawa pia wako wachache sana. Nchi ina watu kama milioni 2 tu.
Seychelles wao wameendelea vipi?
Nchi nyingi ambazo ni visiwa huwa vimeuzwa kwa matajiri.

Unaweza kuuza maeneo kwa matajiri wakajenga majumba ya kifahari. Halafu wananchi wako wakabaki maisha magumu tu
 
Nchi za kiaarabu zimetumia vizuri raslimali yao ya mafuta.

Hakuna sababu nyingine.

Nchi za Kiarabu zisizo na mafuta kama Bangladesh zimechoka tu

Botswana wametumia vizuri ALMASI yao ingawa pia wako wachache sana. Nchi ina watu kama milioni 2 tu.

Nchi nyingi ambazo ni visiwa huwa vimeuzwa kwa matajiri.

Unaweza kuuza maeneo kwa matajiri wakajenga majumba ya kifahari. Halafu wananchi wako wakabaki maisha magumu tu
Bangladesh ni nchi ya kihindi sio ya kiarabu.
Bangladesh Kuna makabachori.
Rasilimali pasi na uongozi Bora sio kitu mkuu,Nigeria Ina mafuta kede kede na madini ila je iko wapi sasa hivi?
Nepotism na power greediness ndivyo vimeimaliza Nigeria pamoja na Massive corruption.
Sychelles mkuu kaifuatilie vizuri,Ina mfumo Bora wa elimu na ajira top 3 Afrika.Hakuna njaa kule kama huku.
 
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project. South Africa wana Rainbow nation, Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
Tatizo lipo kwa raia ideology zao,hapo ndipo pagumu kubabadilisha.
Labda muanze kuwaubiria raia mmoja mmoja waache ideology ya tribalism huwenda mkafanikiwa.
 
Wewe ona naongea ujinga ila naona ukweli umekuchoma.
Nimekupa mifano hai kabisa ni juu yako ukubali ama ukatae.
Baadhi ya hizi inshu muwe mnazipotezea kama hamtaki kujifunza.

Kama CCM imesaidia April kwanini watu wa Oromo na Amhara walichinjana mwaka huu!?
Hili sio swali la mtu mzima mwenye uelewa wa haya mambo. Kuna tofauti kati ya nchi "country" na "Nation" taifa. Kuna a lot of countries kwenye dunia yetu hii ya leo, ila tuna few nations, Tanzania ni moja wapo. Kenya ni country "nchi" na sio nation "taifa".
Taifa linajengwa na nchi ni mrundikano tu wa watu in partucular geographical location wakicheza kamari ya kuishi pamoja.

Sasa kama huna ufahamu wa tofauti hizo mbili, kuongelea hili jambo hasa kiujuaji ni kupotezeana muda. 🚮 🚮
 
Bangladesh ni nchi ya kihindi sio ya kiarabu.
Bangladesh Kuna makabachori.
👍
Rasilimali pasi na uongozi Bora sio kitu mkuu,Nigeria Ina mafuta kede kede na madini ila je iko wapi sasa hivi?
Nepotism na power greediness ndivyo vimeimaliza Nigeria pamoja na Massive corruption.
👍
Sychelles mkuu kaifuatilie vizuri,Ina mfumo Bora wa elimu na ajira top 3 Afrika.Hakuna njaa kule kama huku.
Sychelles ni watu wa aina wa wanaishi hapo?
 
Mradi wa KAWE 711: Ujenzi wa nyumba za kupanga za gharama nafuu eneo la Kawe jijini Dar es Salaam
Kenya endeleeni kuandamana 😂😂
1752771502258.jpg
1752771505407.jpg
1752771508394.jpg
1752771511059.jpg
1752771514263.jpg
1752771517270.jpg
 
Ishu afrika kusini itakubali kupoteza soko lake , vipi kuhusu Zambia ? Kumbuka hiyo reli hiyo ikifufuliwa Inaweza ikafa kifo kwa Zambia kwa namna nyingine

Ujio wa DP World na Adani katika uwekezaji kwenye Bandari zetu umeleta mapinduzi makubwa na matokeo chanya yame anza kuonekana mapema tu.

Hao Zambia tayari ni wateja watiifu kwa DP world na madini yao yote yanapita Tanzania Sasa. Kwa kuangalia tu jaribu kufatilia yard za Copper pale Shekilango utaelewa. DP wame lobby sehemu nyingi na Congo is next. Ndio maana Sasa hivi wanakazana kujenga Warehouses za kutosha.... Upande wa vifaa Bandarini vya kupakia na kushusha mizigo tayari kuna improvement kubwa sana.

Hata baadhi ya shipping lines zinataka kuhamishia HQ zao hapa Bongo na kukimbia kunyaland maana hapo Dar kwa Sasa ndio panaongoza kwa mapato..sio kama mwanzo maboss walikuwa wanasubiri report kwa email tu... Sasa hivi wanashinda kwenye office za Dar huko ku run operations.
 
Rudi isome tena ile post yangu uielewe, utaiona huyo $250.
Kwa hivo aliyesema haya ni Teargass sindio? 🤣 🤣
Mi naona hata ku quadruple inawezekana, haya mambo ya maendeleo huwa ni exponential, yakianza yanasambaa haraka.

Tukiwa na watu makini ndani ya miaka 10 watu wataishangaa Tz.

Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B, japo kwenye makaratasi hauoneshi. Mambo tunayo yafanya hakuna nchi yenye GPD ya 250B iliyowahi kufanya.
Kama hujarukwa na akili then it's coming bro. Wacha nikuache.
 
Kwa hiyo, ukipanda mbegu leo itaota siku hiyo hiyo?
Nyerere alikuwa Rais Tanzania kwa miaka 24.

Aliweka msingi IMARA kweli kweli.
  • ARDHI
  • KISWAHILI
  • UMOJA
  • MAMBO YA NJE
  • URAIA
  • RASLIMALI


Alifanya SACRIFICES nyingi taifa hili kuwa kama lilivyo leo.
  • Kuua UCHIEF
  • Kuweka taifa hili bila Dini (SECULAR)
  • Muungano
  • Kuacha madaraka kwa Hiari
  • Vyama vingi

Siku ukitoka nje ya TZ, ndio utajua thamani kubwa ya haya MAMBO.
 
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Tatzio letu na Zanzibar ni dogo sana. Na kele mara nyingi ni wanasiasa wanaotafua ulaji tu.
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project.
👇
South Africa wana Rainbow nation,
South Africa kumaliza matatizo ni almost imposible.

Watu mpaka wanajenga mji wa peke yao, Orania huwezi jua baadaye nini kitatokea.

Inaaweza kuja kuwa Israel 2.0 wakapewa silaha na pesa kwaajili ya kupambana na serikali ya afrika kusini na kujitanua.
Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
Rwanda haina future.

Watu wanaongezeka kila siku, nchi haitoshi
 
Kwa hivo aliyesema haya ni Teargass sindio? 🤣 🤣

Kama hujarukwa na akili then it's coming bro. Wacha nikuache.
Unatatizo la uelewa.

Nilikuwa naeleza kuwa miradi tunayofanya ni nchi zenye GDP zaidi ya $400B tuu ndo zinafanya.

Nikahoji tuonesheni nchi zenye GDP ya $250B zinazofanya hivyo lakini mpaka sasa mmeshindwa.

Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya $250B zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
 
Unachanganya kitu aisee bro.
Raia wa Rwanda Wana ideology tofauti na raia wa Tanzania.
Kuwachanganya watu wenye ideology tofauti chini ya bendera Moja ni ngumu sana.
Ndio hapo utajiuliza kwanini Kurdish hawakai chini ya bendera yeyote eidha Turkiye,Iran ama Syria.
Woga wako tu kaka yangu. Brother unawakuza sana watusi brother hawana ubavu wowote. Hiyo mentality uliyolishwa kichwani mwako ni vigumu sana kuitoa. Hao akina Kagame na Museven mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Taasisi yao ya Usalama hapo Rwanda mafunzo yao wanapata hapa Tanzania. Sijaelewa kwanini unawapa hao watusi umuhimu ambao hawana.

Huwezi kuwalinganisha huwezi kuwalinganisha Watusi na Kurds, ni mbingu la ardhi kaka. Hapa Afrika jamii yenye mtandao mkubwa na unaweza kuwaogopa ni Wasomali siyo watusi.

Makadirio ya Tutsi katika nchi 5 ni 4,847,000.
Burundi: 1,998,000
Rwanda: 1,468,000
DRC: 518,000
Uganda: 752,000
Tanzania: 111,000

Wakati Wasukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20,000,000.

ACHA WOGA KAKA YANGU, PIGA KAZI
 
dynests ndio nn?
Sasa brother naona unaanza sasa kushuka kiwango cha kujadili. Sasa tuanze kujadili herufi kwenye neno? Brother usitafute mistakes reja reja kwenye point nzito ili uweze kukimbia hoja zangu.

Hakuna hoja yangu hata moja uliyoijibu. Unaruka ruka tu mdogo wangu. Tupingane kwa hoja.
 
Unatatizo la uelewa.

Nilikuwa naeleza kuwa miradi tunayofanya ni nchi zenye GDP zaidi ya $400B tuu ndo zinafanya.

Nikahoji tuonesheni nchi zenye GDP ya $250B zinazofanya hivyo lakini mpaka sasa mmeshindwa.

Ni simple logic tuu, kama hakuna nchi zenye GDP ya 250 zinazoweza kufanya miradi ya Tz isipokuwa zile za GDP zaidi ya $400B, basi Tanzania nayo ipo kwenye kundi hilo la $400B
Wacha nikuquote vizuri niache ile sehemu ulisema. Unajua saa zingine wendazimu ukianza kuingia mtu anaweza hata mkana mamake mzazi. Wacha hata niweke kwa bright colour maanake ni kama una shida ya macho. 🤣 🤣 🤣 🤣

Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B,
 
Back
Top Bottom