Unachanganya kitu aisee bro.Brother zimewahi kuwepo dynests nyingi zikapita. Na haya ya akina Kagame na wenzake yanapitwa na wakati. Kwa sasa jamii zinakuwa kama kijiji. Kwa sasa ushirikiano ni muhimu mno kuliko kutengana.
Ndio maana Kagame kajenga Petrol Stations zake hapa TZ na hakuna wa kumzuia. Moja ipo maeneo ya Dodoma inaitwa Olympiki
Raia wa Rwanda Wana ideology tofauti na raia wa Tanzania.
Kuwachanganya watu wenye ideology tofauti chini ya bendera Moja ni ngumu sana.
Ndio hapo utajiuliza kwanini Kurdish hawakai chini ya bendera yeyote eidha Turkiye,Iran ama Syria.