Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brother zimewahi kuwepo dynests nyingi zikapita. Na haya ya akina Kagame na wenzake yanapitwa na wakati. Kwa sasa jamii zinakuwa kama kijiji. Kwa sasa ushirikiano ni muhimu mno kuliko kutengana.

Ndio maana Kagame kajenga Petrol Stations zake hapa TZ na hakuna wa kumzuia. Moja ipo maeneo ya Dodoma inaitwa Olympiki
Unachanganya kitu aisee bro.
Raia wa Rwanda Wana ideology tofauti na raia wa Tanzania.
Kuwachanganya watu wenye ideology tofauti chini ya bendera Moja ni ngumu sana.
Ndio hapo utajiuliza kwanini Kurdish hawakai chini ya bendera yeyote eidha Turkiye,Iran ama Syria.
 
Kwa hiyo, ukipanda mbegu leo itaota siku hiyo hiyo?
Masuala ya mbegu na kubadilisha ideology ni mambo mawili tofauti mkuu.
Kitu ideology ni ngumu sana.
Nakupa mfano ulio hai.
Kurdish ambao walikua watawala wa Khorasana walikataa katukatu kuwa chini ya himaya moja ya Ottoman,ilienda hivyo kukaa chini ya hiyo himaya walilazimishwa,ila himaya ilipovunjika waturuki wengine wote walikubali kuwa chini ya bendera ya nchi ya Uturuki,wafarsi wakawa chini ya bendera Moja ya Iran,ila wakurdi hawakukubali licha ya kubembelezwa na kulambwa magoti juu.
Hao hapo sasa hivi wanapigana kutafuta uhuru wa kurdi katika ardhi ya Iran,Iraq na Turkiye.
Ndio ujue ideology sio kitu rahisi kubadili.
 
Masuala ya mbegu na kubadilisha ideology ni mambo mawili tofauti mkuu.
Kitu ideology ni ngumu sana.
Nakupa mfano ulio hai.
Kurdish ambao walikua watawala wa Khorasana walikataa katukatu kuwa chini ya himaya moja ya Ottoman,ilienda hivyo kukaa chini ya hiyo himaya walilazimishwa,ila himaya ilipovunjika waturuki wengine wote walikubali kuwa chini ya bendera ya nchi ya Uturuki,wafarsi wakawa chini ya bendera Moja ya Iran,ila wakurdi hawakukubali licha ya kubembelezwa na kulambwa magoti juu.
Hao hapo sasa hivi wanapigana kutafuta uhuru wa kurdi katika ardhi ya Iran,Iraq na Turkiye.
Ndio ujue ideology sio kitu rahisi kubadili.
🚮 🚮 🚮 🚮 🚮
 
Tanzania inaamini kwenye ukomunisti na Kenya kwenye ubepari.
Hata washirika ni tofauti, malengo ni tofauti.
Ndio ujue it is too late kuungana na tukafanya jambo.
Hilo lilitakiwa lifanyike kipindi nchi bado changa ziwekwe chini ya ideology moja na mtazamo mmoja.
Nchi zishakomaa na ideology zao binafsi uje uzibadili kwa kuziweka sehemu moja!?
Acheni utani,we huoni hata China anavyohangaika kwa Taiwan!?
Watu sijui hawalioni hili!
Tatizo kubwa la Kenya, hakuna nchi pale.

Nchi inaamini kwenye PESA tu.

Wakati Tanzania iko busy na wakoloni na wanyonyaji Kenya ilikuwa inafanya nao biashara.

Na hii tabia ya Kenya mpaka leo bado ipo.

M23 wanaopigana na serikali ya Congo, vikao wanafanyia Kenya, Gold smuggling (dhahabu ya magendo) kutoka Congo ni Kenya.

Kundi la Sudan linalopigana na serikali linafanyia vikao Kenya, hilo kundi silaha linapitishia Kenya, mpaka hivi karibuni Sudan akasusa kununua Chai ya Kenya.


Nchi wahuni wameshagawana kila kitu, na kuacha masikini wajipambanie tu.


Sasa hivi vijana wanasumbua, Ruto anawatafutia vibarua nje ya nchi ili watoke Kenya.

Nchi kama hiyo labda kama unaona matatizo uliyonayo hayakutoshi, unataka matatizo mengine.



View: https://x.com/AfroEconomicus/status/1931398085667659966?t=P6gjJR1orQ9bw7qWJMCY0w&s=19
 
Wakati Tanzania inaendelea na ujenzi Kenya imelala

Ndugu zangu wa Tanzania mnataka jengo la kihistoria la kiusanifu?

Jengo la Wizara ya Fedha lililopo Dodoma — linajengwa chini ya usimamizi wa kitaalamu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kama mkandarasi mshauri, limebuniwa na IPA Architects | Tanzania na kujengwa na Estim Construction Co. Ltd. — ni moja ya majengo ya kipekee yanayopamba uso wa makao makuu ya serikali ya Tanzania.

1752771884009.jpg
1752771886066.jpg
1752771887951.jpg
1752771890549.jpg
1752771893030.jpg
1752771896080.jpg
1752771898685.jpg
1752771901187.jpg
1752771903500.jpg
1752771905880.jpg
1752771908042.jpg
 
Tatizo kubwa la Kenya, hakuna nchi pale.

Nchi inaamini kwenye PESA tu.

Wakati Tanzania iko busy na wakoloni na wanyonyaji Kenya ilikuwa inafanya nao biashara.

Na hii tabia ya Kenya mpaka leo bado ipo.

M23 wanaopigana na serikali ya Congo, vikao wanafanyia Kenya, Fd smuggling kutoka Congo ni Kenya.

Kundi la Sudan linalopigana na serikali linafanyia vikao Kenya, hilo kundi silaha linapitishia Kenya, mpaka hivi karibuni Sudan akasusa kununua Chai ya Kenya.


Nchi wahuni wameshagawana kila kitu, na kuacha masikini wajipambanie tu.


Sasa hivi vijana wanasumbua, Ruto anawatafutia vibarua nje ya nchi ili watoke Kenya.

Nchi kama hiyo labda kama unaona matatizo uliyonayo hayakutoshi, unataka matatizo mengine.
Aisee ideology ni kitu ngumu sana kuibadili.
 
Masuala ya mbegu na kubadilisha ideology ni mambo mawili tofauti mkuu.
Kitu ideology ni ngumu sana.
Nakupa mfano ulio hai.
Kurdish ambao walikua watawala wa Khorasana walikataa katukatu kuwa chini ya himaya moja ya Ottoman,ilienda hivyo kukaa chini ya hiyo himaya walilazimishwa,ila himaya ilipovunjika waturuki wengine wote walikubali kuwa chini ya bendera ya nchi ya Uturuki,wafarsi wakawa chini ya bendera Moja ya Iran,ila wakurdi hawakukubali licha ya kubembelezwa na kulambwa magoti juu.
Hao hapo sasa hivi wanapigana kutafuta uhuru wa kurdi katika ardhi ya Iran,Iraq na Turkiye.
Ndio ujue ideology sio kitu rahisi kubadili.
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project. South Africa wana Rainbow nation, Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
 
Yaanza kutatuliwa hayo ndio mengine yaje.
HUWEZI jitia msafi kwa kuvaa nguo na kupuliza manukano ilhali huogi Wala huchambi,harufu itatokeza tu.
Oneni wenzenu Algeria,Misri wao wameendelea kivipi?
Nchi za kiaarabu zimetumia vizuri raslimali yao ya mafuta.

Hakuna sababu nyingine.

Nchi za Kiarabu zisizo na mafuta kama Bangladesh zimechoka tu
Botswana wao wameendelea vipi?
Botswana wametumia vizuri ALMASI yao ingawa pia wako wachache sana. Nchi ina watu kama milioni 2 tu.
Seychelles wao wameendelea vipi?
Nchi nyingi ambazo ni visiwa huwa vimeuzwa kwa matajiri.

Unaweza kuuza maeneo kwa matajiri wakajenga majumba ya kifahari. Halafu wananchi wako wakabaki maisha magumu tu
 
Nchi za kiaarabu zimetumia vizuri raslimali yao ya mafuta.

Hakuna sababu nyingine.

Nchi za Kiarabu zisizo na mafuta kama Bangladesh zimechoka tu

Botswana wametumia vizuri ALMASI yao ingawa pia wako wachache sana. Nchi ina watu kama milioni 2 tu.

Nchi nyingi ambazo ni visiwa huwa vimeuzwa kwa matajiri.

Unaweza kuuza maeneo kwa matajiri wakajenga majumba ya kifahari. Halafu wananchi wako wakabaki maisha magumu tu
Bangladesh ni nchi ya kihindi sio ya kiarabu.
Bangladesh Kuna makabachori.
Rasilimali pasi na uongozi Bora sio kitu mkuu,Nigeria Ina mafuta kede kede na madini ila je iko wapi sasa hivi?
Nepotism na power greediness ndivyo vimeimaliza Nigeria pamoja na Massive corruption.
Sychelles mkuu kaifuatilie vizuri,Ina mfumo Bora wa elimu na ajira top 3 Afrika.Hakuna njaa kule kama huku.
 
Kwani sisi hatutofautiani na wazanzibari?
Wewe umeuliza kuwa, kama CCM imewasaidia kunganisha vyama why Oromo wameuana? Nimekujibu, ilichofanya CCM ni first step ya national buildup project. South Africa wana Rainbow nation, Rwanda baada ya genocide wana yao pia. Ndivyo mchakato ulivyo, na ni project inayoweza chukua generations.
Tatizo lipo kwa raia ideology zao,hapo ndipo pagumu kubabadilisha.
Labda muanze kuwaubiria raia mmoja mmoja waache ideology ya tribalism huwenda mkafanikiwa.
 
Wewe ona naongea ujinga ila naona ukweli umekuchoma.
Nimekupa mifano hai kabisa ni juu yako ukubali ama ukatae.
Baadhi ya hizi inshu muwe mnazipotezea kama hamtaki kujifunza.

Kama CCM imesaidia April kwanini watu wa Oromo na Amhara walichinjana mwaka huu!?
Hili sio swali la mtu mzima mwenye uelewa wa haya mambo. Kuna tofauti kati ya nchi "country" na "Nation" taifa. Kuna a lot of countries kwenye dunia yetu hii ya leo, ila tuna few nations, Tanzania ni moja wapo. Kenya ni country "nchi" na sio nation "taifa".
Taifa linajengwa na nchi ni mrundikano tu wa watu in partucular geographical location wakicheza kamari ya kuishi pamoja.

Sasa kama huna ufahamu wa tofauti hizo mbili, kuongelea hili jambo hasa kiujuaji ni kupotezeana muda. 🚮 🚮
 
Bangladesh ni nchi ya kihindi sio ya kiarabu.
Bangladesh Kuna makabachori.
👍
Rasilimali pasi na uongozi Bora sio kitu mkuu,Nigeria Ina mafuta kede kede na madini ila je iko wapi sasa hivi?
Nepotism na power greediness ndivyo vimeimaliza Nigeria pamoja na Massive corruption.
👍
Sychelles mkuu kaifuatilie vizuri,Ina mfumo Bora wa elimu na ajira top 3 Afrika.Hakuna njaa kule kama huku.
Sychelles ni watu wa aina wa wanaishi hapo?
 
Ishu afrika kusini itakubali kupoteza soko lake , vipi kuhusu Zambia ? Kumbuka hiyo reli hiyo ikifufuliwa Inaweza ikafa kifo kwa Zambia kwa namna nyingine

Ujio wa DP World na Adani katika uwekezaji kwenye Bandari zetu umeleta mapinduzi makubwa na matokeo chanya yame anza kuonekana mapema tu.

Hao Zambia tayari ni wateja watiifu kwa DP world na madini yao yote yanapita Tanzania Sasa. Kwa kuangalia tu jaribu kufatilia yard za Copper pale Shekilango utaelewa. DP wame lobby sehemu nyingi na Congo is next. Ndio maana Sasa hivi wanakazana kujenga Warehouses za kutosha.... Upande wa vifaa Bandarini vya kupakia na kushusha mizigo tayari kuna improvement kubwa sana.

Hata baadhi ya shipping lines zinataka kuhamishia HQ zao hapa Bongo na kukimbia kunyaland maana hapo Dar kwa Sasa ndio panaongoza kwa mapato..sio kama mwanzo maboss walikuwa wanasubiri report kwa email tu... Sasa hivi wanashinda kwenye office za Dar huko ku run operations.
 
Rudi isome tena ile post yangu uielewe, utaiona huyo $250.
Kwa hivo aliyesema haya ni Teargass sindio? 🤣 🤣
Mi naona hata ku quadruple inawezekana, haya mambo ya maendeleo huwa ni exponential, yakianza yanasambaa haraka.

Tukiwa na watu makini ndani ya miaka 10 watu wataishangaa Tz.

Kumbuka uhalisia wa uchumi wetu ni zaidi ya $400B, japo kwenye makaratasi hauoneshi. Mambo tunayo yafanya hakuna nchi yenye GPD ya 250B iliyowahi kufanya.
Kama hujarukwa na akili then it's coming bro. Wacha nikuache.
 
Back
Top Bottom