Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni picha pendwa ya kujipa faraja ya bwana Nicxie 👇🏾hii ni magomeni View attachment 3408143anyways.. I would like to update him .. this is the current view 👇🏾View attachment 3408144
Shida ya Jamaa wakiona BRT wanajua ni recent photo, BRT ilianza kujengwa 2012 ikakamilika 2015.

Kipindi hicho Bonde la Mto msimbazi lilikua na mafuriko kila kukicha jangwani kulikua na utitiri huo, wakabomoa zote.

Ajabu jamaa wamekomaa na picha piga ua so sad.
 
Shida ya Jamaa wakiona BRT wanajua ni recent photo, BRT ilianza kujengwa 2012 ikakamilika 2015.

Kipindi hicho Bonde la Mto msimbazi lilikua na mafuriko kila kukicha jangwani kulikua na utitiri huo, wakabomoa zote.

Ajabu jamaa wamekomaa na picha piga ua so sad.
Unaweza kuta wametunza hizo picha kwenye gallery za simu zao! 😂😂😂
 
Mkuu international organization ni tofauti na united republic.
EAC ni international organization huwa Kuna limits katika mambo.
Ila muungano unaousemea wewe ni WA kuwa na serikali Moja aisee huo hauna limits na utatuumiza.
Aisee broo hapa nakupinga hadi kiama Rwanda na Burundi sio nchi rafiki hata upunje kheri hata Somalia wakipata sehemu tulivu akili inawaingia wanajenga nchi.
Nini lengo la EAC sasa kaka waafrika inafaa tutambue hapa duniani hatuwezi kutoboa bila kuungana na kuweka tofauti zetu pembeni
 
Nini lengo la EAC sasa kaka waafrika inafaa tutambue hapa duniani hatuwezi kutoboa bila kuungana na kuweka tofauti zetu pembeni
Kamwe waafrika hatuwezi kuweka tofauti zetu wenyewe kwasababu tunanafikiana na kuoneana choyo wenyewe kwa wenyewe.
Ndio maana miungano yetu mingi haifanikiwi, chukulia mfano hata wa ECOWAS.
 
According to Venus Star eti wanafanana na Wasukuma ndio wanasaidia kuwa-assimilate! Unaona ujinga unaoendelea? Ndio maana idadi yetu inaenda kugonga 70 mln people bila kujielewa!
Brother mbona unanilisha maneno ambayo sijayasema 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hoja zangu zimekuzidia umeanza kunichamba. Leta hoja kaka au uliza maswali nikujibu.
 
Dah wanangu naona amani imetunogea sana, or huruma imezidi hadi hatujui madhara.

Watu wa Burundi, Rwanda, na wahamiaji wengine siwaafiki kabisa.

Tunaoishi kanda ya Ziwa ujambazi ulizidi sana, Kigoma ilikua haifikiki usiku bila matukio ya kijambazi kisa tu uzembe na kukosa userious wa kusimamia sheria za nchi.

Raia wa nchi nyingine akija Bongo hajakulia hapa amekua mkubwa hawezi hata siku moja kua mtanzania maana hatajali chochote afanyacho.

Kwanza haina ubishi Inahitajika Operation Kimbunga 2 kuondoa hao warundi na Warwanda, na wahamiaji wote haramu bila kujali, mchina, mzungu etc.

Mhamiaji hajawahi kua na uchungu na nchi yako, ikiharibika anahamia kwingine

Ujinga huo ulikua utugharimu kuwa na makundi na ukosefu wa usalama kule Kigoma, Kanda ya Ziwa.

Na Kagame anawatumia hao watu baadae kueneza propaganda, kujustify ujinga, imeonekana kule Kongo hiyo miji ya M23 sidhani ni wakongo pure.

Amani yetu inathamani Venus Star hakuna na hitawezekana kabisa mataifa kuwa dola moja kabisa zama hizi.

Rwanda Big NO.

Itabidi mzee Venus Star ujiulize why EAC Tanzania inatolewa macho sana, kuliko other countries, wakenya hapo tu wanatamani wawe free huku maana benefits ni nyingi kila sector, sisi Kenya Kufanyaje? Same na nchi nyingine, unataka muungano ambao wengine wanachuma huku sisi hatuna cha kuchuma?
 
Kamwe waafrika hatuwezi kuweka tofauti zetu wenyewe kwasababu tunanafikiana na kuoneana choyo wenyewe kwa wenyewe.
Ndio maana miungano yetu mingi haifanikiwi, chukulia mfano hata wa ECOWAS.
Kwanii ishindikane kwani Tanzania kuna makabila mangapi mbona tumeunguna umewahi kukakaa chini kama makabila yote yaliyopo Tanzania yasingeunguna tungekuwa kwenye hali gani sasa?
 
Kwanii ishindikane kwani Tanzania kuna makabila mangapi mbona tumeunguna umewahi kukakaa chini kama makabila yote yaliyopo Tanzania yasingeunguna tungekuwa kwenye hali gani sasa?
Unajua gharama aliyotumia Nyerere mpaka nchi hii kuwa MOJA??
 
Dah wanangu naona amani imetunogea sana, or huruma imezidi hadi hatujui madhara.

Watu wa Burundi, Rwanda, na wahamiaji wengine siwaafiki kabisa.

Tunaoishi kanda ya Ziwa ujambazi ulizidi sana, Kigoma ilikua haifikiki usiku bila matukio ya kijambazi kisa tu uzembe na kukosa userious wa kusimamia sheria za nchi.

Raia wa nchi nyingine akija Bongo hajakulia hapa amekua mkubwa hawezi hata siku moja kua mtanzania maana hatajali chochote afanyacho.

Kwanza haina ubishi Inahitajika Operation Kimbunga 2 kuondoa hao warundi na Warwanda, na wahamiaji wote haramu bila kujali, mchina, mzungu etc.

Mhamiaji hajawahi kua na uchungu na nchi yako, ikiharibika anahamia kwingine

Ujinga huo ulikua utugharimu kuwa na makundi na ukosefu wa usalama kule Kigoma, Kanda ya Ziwa.

Na Kagame anawatumia hao watu baadae kueneza propaganda, kujustify ujinga, imeonekana kule Kongo hiyo miji ya M23 sidhani ni wakongo pure.

Amani yetu inathamani Venus Star hakuna na hitawezekana kabisa mataifa kuwa dola moja kabisa zama hizi.

Rwanda Big NO.

Itabidi mzee Venus Star ujiulize why EAC Tanzania inatolewa macho sana, kuliko other countries, wakenya hapo tu wanatamani wawe free huku maana benefits ni nyingi kila sector, sisi Kenya Kufanyaje? Same na nchi nyingine, unataka muungano ambao wengine wanachuma huku sisi hatuna cha kuchuma?
M23 ni swala jingine kabisa na sahihi kumpa lawama Kagame.
 
Back
Top Bottom