Dah wanangu naona amani imetunogea sana, or huruma imezidi hadi hatujui madhara.
Watu wa Burundi, Rwanda, na wahamiaji wengine siwaafiki kabisa.
Tunaoishi kanda ya Ziwa ujambazi ulizidi sana, Kigoma ilikua haifikiki usiku bila matukio ya kijambazi kisa tu uzembe na kukosa userious wa kusimamia sheria za nchi.
Raia wa nchi nyingine akija Bongo hajakulia hapa amekua mkubwa hawezi hata siku moja kua mtanzania maana hatajali chochote afanyacho.
Kwanza haina ubishi Inahitajika Operation Kimbunga 2 kuondoa hao warundi na Warwanda, na wahamiaji wote haramu bila kujali, mchina, mzungu etc.
Mhamiaji hajawahi kua na uchungu na nchi yako, ikiharibika anahamia kwingine
Ujinga huo ulikua utugharimu kuwa na makundi na ukosefu wa usalama kule Kigoma, Kanda ya Ziwa.
Na Kagame anawatumia hao watu baadae kueneza propaganda, kujustify ujinga, imeonekana kule Kongo hiyo miji ya M23 sidhani ni wakongo pure.
Amani yetu inathamani
Venus Star hakuna na hitawezekana kabisa mataifa kuwa dola moja kabisa zama hizi.
Rwanda Big NO.
Itabidi mzee
Venus Star ujiulize why EAC Tanzania inatolewa macho sana, kuliko other countries, wakenya hapo tu wanatamani wawe free huku maana benefits ni nyingi kila sector, sisi Kenya Kufanyaje? Same na nchi nyingine, unataka muungano ambao wengine wanachuma huku sisi hatuna cha kuchuma?