Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ajira kwa Tanzania ni mfumo wetu wa ccm, laiti ingekuwa baadhi ya mambo wanaachilia hii keki ya taifa haitutoshelezi.
Mfano tu Leo ukitaka safirisha mchele kwenda nje tu vibali vyake si vya Dunia hii laiti ingekuwa kuna free market au kuna sera za kuwanufaisha wananchi Tanzania hatukupaswa kuwa na tatizo la ajira.
Kuruhusu watu kusafirisha mazao nje ya nchi bila vibali siyo solution ya tatizo la ajira.

Kwanza wanaosafirisha mazao kwenda nje wengi ni Wakenya.

Kuna mwaka niliona Mkenya alikodi ardhi Songwe mpaka watu wakakosa eneo la kulima akaanza kuwakodishia akiwa Kenya.

Utaahira.

Sasa hivi kuna Wakenya wanalima vitinguu, Mnag'ola kama siyo UTAAHIRA ni nini??
Leo hii ukizunguka karibia Kila shule za kijijin mahitaji ya waalimu ni zaid ya nusu ya walliopo, same to manesi,madaktari,wahasibu ila serikali inaajiri kidogokidogo sana.
Shida siyo ukosefu wa wataalamu. Shida yetu ni WAGE BILL.

Mapato ndio yanaendana na idadi ya watu wanaoajiriwa kwa sasa.
Hivi kwa mfano wakisema wapunguzze import duty kutoka 25% mpaka 20% then hii Tano ikaingizwa kwenye mfuko wa ajira
Sijakuelewa upunguze Import duty halafu upate tena pesa 5% uipate kutoka wapi wakati hum-charge importer??

Lakini pia kupunguza import duty, tafsiri yako unataka kugeuza taifa lako kuwa la kimachinga.

Ukishageuza taifa lako kuwa la kimachinga , maana yake unaua ajira, NSSF na uchumi.

Nchi inatakiwa kupambania Industrial manufacturing
then kwenye mazao yote ( ushuru) ukaweka introduce 20% kwenye ushuru uliokuwa unatozwa kwa ajili ya mfuko wa ajira then baada ya hapo ukaajiri maeneo yote yenye uhaba.
Maana utakapoongeza watu na mapato lazima yaongezeka.
Hapa sijakuelewa.

Kwenye mazao yote, mashambani au wapi?
Mfano ukiajiri vijana 200 kwa ajili kuhangaikia mapato kwa jiji kama dar es salaam tegemea mapato kupanda twice
Halmashauri zote zina vibarua wa mapato.

Nadhani wanaweza kwa zaidi ya hao 200 kwa Dar es Salaam.
 
Mimi nadhani LNG ndo ilitakiwa ipewe kipaumbele sana kuliko CNG ila anyway kama wataanza poa
sasa unaisafirishaje na unai-store (hifadhi) vp na unaitumiaje bila LNG kuwa CNG? unajua maana ya hizo terms? Na unatakaje mradi wa LNG tu bila local content? Kinachofanyika sasa ni kuondoa curse ya kusafirisha LNG nje bila kutumika ndani!
 
Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.

Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.

Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
Hiyo EAC ipo kwenye makaratasi tu na sio uhalisia, usije kutegemea ipo siku Africa itaungana, labda waafrika sisi wa kizazi hiki wote tufe alafu vijukuu vya wajukuu zetu ndiyo huenda wakaungana mana wakati huo watakuwa wameelimika vya kutosha na njaa haitakuwa wimbo wao. Hivi mkuu ngoja nikuulize, unategemea kuwa na EAC alafu mmoja wa members ni Kenya? Unategemea kuwa na EAC alafu mmoja wa members anaenda nje kutukana wenzie ili apate msaada?

Africa hakuna muungano wa kihivyo, tuna muungano wa kwenye makaratasi tu, kila mtu abaki kwao, wasituletee tabia zao za ajabu ajabu wakaambukiza vizazi vyetu.
 
Hadi sasa Kuna changamoto chungumzima katika hii community still bado EAC Ina mianya kibao ya kurekebisha na haitakua healthy kuanzisha dola Moja na nchi zote hizo.
Matatizo ya hayo mataifa yatahamia kwetu tu.
Dola moja ni uhuni.

Huwezi kuungana na watu ambao hawana cha ku-OFFER.

Nchi kama Kenya haina MSINGI wowote wa nchi.
  • Ardhi
  • Lugha
  • Sera mambo ya nje
  • BATUK, Camp Simba

Siku zote wanataka TZ ndio itoe.

Usenge.

===
Imagine, Rwanda, Kenya wanataka eti Ardhi iingizwe kwenye agenda za Jumuiya, kwamba raia yoyote ndani ya Jumuiya aruhusiwe kuhama na kuishi popote ndani ya Jumuiya.

Waseenge.

Wao hiyo ardhi WANAYO???
 
watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
GDP kubwa alafu miji vumbi tupu, inafaida gn kuwa na GDP ya hivyo alafu maandamano ya ugali kila siku, Rais wao anasema wakenya zaidi ya robo tatu wana share choo cha shimo, na tulisema humu wakabisha, leo president wao ana confirm kwamba ¾ ya wakenya wana share choo cha shimo. Alafu mtu akiniambia eti GDP ya Kenya ni kubwa huwa nashangaa sn, hivi are we serious kuita ka GDP ka $100B ni kubwa? Tuache masihara jmn, GDP inayo produce umeme usiozidi 3000MW ni kubwa hiyo? Huu ni uchale wakuu.
 
Wahamie Tanzania na waache kuhamia DRC? Kaka hebu nakuomba uwe serious. Hebu nitajie akina nani hao.
Just Imagine, Mozambique, Angola, Sudan, Ethiopia zipo kwenye federation hii. Unadhani akina nani watahamia Tanzania na kuijaza na sisi tukakosa? Je, unawaogopa Luo? je, unawaogopa Tutsi? Unawaogopa Kikuyu?

WOGA WAKO NI NINI HASA?
Embu panua akili kidogo,Burundi Ina matatizo ya ndani ambayo mengine yanachagizwa na ukabila.
Rwanda na ni exactly vile vile.
Kukaribisha hao watu chini ya bendera Moja ni kujiongezea matatizo kwa kuyabeba matatizo yao.
Mrundi ni Mrundi tu hata Aishi wapi exactly kwa Mnyarwanda.
Tena bora Mrundi anakumbuka fadhila ila Mnyarwanda hachelei kunyea mkono unaomlisha,tunaishi nao tunawajua hao.
 
Haya ni mawazo yako. Lakini huo ndio mpango wa EAC mimi nimekuwekea maelezo official ambayo viongozi wa Tanzania wameyaridhia. Huo woga wako binafsi hauwezi kuzuia mpango. Unachotakiwa ni kujiandaa tu usije kukutwa hujajiweka sawa.
Bro Kuna muda una akili kama mtoto aisee.
Kwahiyo Kila wanachofanya viongozi wetu basi ni sahihi?
Kwahiyo mtu kuwa na mawazo tofauti ni sawa na uoga?
Au hupendi watu watizame mambo kiutofauti!?
Yani mtu akiwa na mtazamo tofauti unampa jina mara muoga mara hisia binafsi.
Acha hizo,ni kosa kubwa sana kama hizo nchi zitaungana chini ya bendera moja na Tanzania.
Tupo hapa tutaona,Kigoma nadhani unayakumbuka mauaji na uhalifu wa tereza,ni warundi wale walikua wanafanya vile.
Nadhani watutsi unawajua vizuri pia wakoje.
Wewe endelea kushabikia vitu kiuchawa uchawa ukipewa kisa viongozi wamepanga basi kwako sawa tu.
 
Kuruhusu watu kusafirisha mazao nje ya nchi bipa vibali siyo solution ya tatizo la ajira.
Namaanisha tukiruhusu upatikanaji wa vibali kwa urahisi na kutoa elimu ya fursa za usafirishaji , watu wengi wazawa wengi watajikita huko kuliko wageni , hivyo mahitaji yataongezeka na kwa sababu soko litakuwa kubwa watu wengi watajihusisha kwenye kilimo na kuondokana na dhana kuwa kilimo hakilipi hence ajira
Kwanza wanaosafirosha mazao kwenda nje wengi ni Wakenya.
Wakenya wengi kwa sababu ya information na sio wakenya wa kawaida bali matajiri na sio kwamba ni wengi kuliko watanzania . Ukitaka kampuni kuu za kusafirisha mazao nje mfano
Lenic
Mo enter
Harmony ( Chinese)
Mushreej
Utakuta nyingi ni za watz na sio wakenya labda kwa wanaosafirisha mahindi na vitunguu kwa ajiri ya Kenya na hii inatokana na wao kulijua soko la vizuri.
Kuna mwaka niliona Mkenya alikodi ardhi Songwe mpaka watu wakakosa eneo la kulima akaanza kuwakodishia akiwa Kenya.
Hiyo kukodi ni ngumu sana kaka labda kama alitumia watu na hakutumia jina lake.
Utaahira.

Sasa hivi kuna Wakenya wanalima vitingui, Mnag'ola kama siyo UTAAHIRA ni nino??

Shida siyonukosefu wa wataalamu. Shida yetu ni WAGE BILL.
Point yangu ili kupunguza kwanza tatizo la ajira kwa muda mfupi kwa sasa tungeweza kuanzisha mfuko wa ajira mfano kama railway dev. Levy na tukaiundia Sheria ili kuweza kupata fedha ambazo zingeweza kutumia katika kutengeneza mazingira ya upatikanaji wa ajira sio na kupunguza uke mzigo ambao serikali inatakiwa itafute kwa ajili ya kulipa mishahara kwa watumishi au hiyo pesa ikatumika kuwawezesha wahitimu kuanzisha miradi yao kwa usimamizi maalumu yaan kama mkopo ambao baadae wakisimama wanakuwa wanarejesha.

Mapato ndio yanaendana na idadi ya watu wanaoajiriwa kwa sasa.

Sijakuelewa upunguze Import duty halacu upate tena pesa 5% uipate kutoka wapi wakati hum-chadge importer??
Nimetoa mfano tu wa import duty ila bado ila unaweza tengeneza Kodi yoyote kwa ajili ya ajira tu kama ilivyo sasa sdl
Lakimi.pia kupunguza duty duty, tafsiri yako unataka kugeuza taifa lako kuw ala kimachinga.

Ukishageuza taofa lako kuw ala kimachinga , maana unaua ajira, NSSF na uchumi.

nchi inatakiwa kupambania Industrial manufacturing

Hapa sijakuelewa.
Ushuru unatozwa pale mtu anaposafirisha mazao Toka sehemu moja kwenda nyingine na sio kutoa shambani kupeleka nyumbani.
Mfano nikitoa korosha mtwara kuleta dar ushuru ni 56.4 kwa kg na hapo nyuma walikuwa wanatoza tsh 20 ajili ya mfuko wa elimu jumla 76.4/ kg nachomaanisha wangeweza punguza Ile 20tsh/kg ambayo ilikuwa inaenda kwenye mfuko wa elimu halmashauri ikawa 10tsh na Ile tsh 10 inayobaki ikasogezwa kwenye mfuko maalumu wa ajira ,
Sijui nimeeleweka?
Kwenye mazao yote, mashambani au wapi?

Halmashauri zote zina vibafua wa mapato.

Nadhani wanaweza kwa ziaid ya hao 200 kwa Dar es Salaam.
 
Dola moja ni uhuni.

Huwezi kuungana na watu ambao hawana cha ku-OFFER.

Nchi kama Kenya haina MSINGI wowote wa nchi.
  • Ardhi
  • Lugha
  • Sera mambo ya nje
  • BATUK, Camp Simba

Siku zote wanataka TZ ndio itoe.

Usenge.

===
Imagine, Rwanda, Kenya wanataka eti Ardhi iingizwe kwenye agenda za Jumuiya, kwamba raia yoyoye ndaninya Jumuiya aruhusiwe kuhama na kuishi popote ndani ya Jumuiya.

Waseenge.

Wao hiyo ardhi WANAYO???
Ndio maana huyu jamaa namshangaa sana muda mwingine sijui huwa anatumia akili gani!?
Huyo USA mwenyewe ameanza kupunguza nguvu kwenye mashariki ya kimataifa ikiwemo NATO.
Sembuse wewe Mtanzania!?
Maana nchi iliyo stable ukanda huu kwa Kila kitu ni Tanzania.
Hizo nchi zingine have nothing to offer to us zaidi sisi tutakua tegemezi tu.
Je resources zetu zitatosha kugawanywa na hao watakaokua chini yetu!?
Hii Zanzibar tumeungana nayo ila still changamoto kibao.
Do not eat much what you can't chew.
 
Back
Top Bottom