Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
GDP kubwa alafu miji vumbi tupu, inafaida gn kuwa na GDP ya hivyo alafu maandamano ya ugali kila siku, Rais wao anasema wakenya zaidi ya robo tatu wana share choo cha shimo, na tulisema humu wakabisha, leo president wao ana confirm kwamba ¾ ya wakenya wana share choo cha shimo. Alafu mtu akiniambia eti GDP ya Kenya ni kubwa huwa nashangaa sn, hivi are we serious kuita ka GDP ka $100B ni kubwa? Tuache masihara jmn, GDP inayo produce umeme usiozidi 3000MW ni kubwa hiyo? Huu ni uchale wakuu.
 
Wahamie Tanzania na waache kuhamia DRC? Kaka hebu nakuomba uwe serious. Hebu nitajie akina nani hao.
Just Imagine, Mozambique, Angola, Sudan, Ethiopia zipo kwenye federation hii. Unadhani akina nani watahamia Tanzania na kuijaza na sisi tukakosa? Je, unawaogopa Luo? je, unawaogopa Tutsi? Unawaogopa Kikuyu?

WOGA WAKO NI NINI HASA?
Embu panua akili kidogo,Burundi Ina matatizo ya ndani ambayo mengine yanachagizwa na ukabila.
Rwanda na ni exactly vile vile.
Kukaribisha hao watu chini ya bendera Moja ni kujiongezea matatizo kwa kuyabeba matatizo yao.
Mrundi ni Mrundi tu hata Aishi wapi exactly kwa Mnyarwanda.
Tena bora Mrundi anakumbuka fadhila ila Mnyarwanda hachelei kunyea mkono unaomlisha,tunaishi nao tunawajua hao.
 
Haya ni mawazo yako. Lakini huo ndio mpango wa EAC mimi nimekuwekea maelezo official ambayo viongozi wa Tanzania wameyaridhia. Huo woga wako binafsi hauwezi kuzuia mpango. Unachotakiwa ni kujiandaa tu usije kukutwa hujajiweka sawa.
Bro Kuna muda una akili kama mtoto aisee.
Kwahiyo Kila wanachofanya viongozi wetu basi ni sahihi?
Kwahiyo mtu kuwa na mawazo tofauti ni sawa na uoga?
Au hupendi watu watizame mambo kiutofauti!?
Yani mtu akiwa na mtazamo tofauti unampa jina mara muoga mara hisia binafsi.
Acha hizo,ni kosa kubwa sana kama hizo nchi zitaungana chini ya bendera moja na Tanzania.
Tupo hapa tutaona,Kigoma nadhani unayakumbuka mauaji na uhalifu wa tereza,ni warundi wale walikua wanafanya vile.
Nadhani watutsi unawajua vizuri pia wakoje.
Wewe endelea kushabikia vitu kiuchawa uchawa ukipewa kisa viongozi wamepanga basi kwako sawa tu.
 
Kuruhusu watu kusafirisha mazao nje ya nchi bipa vibali siyo solution ya tatizo la ajira.
Namaanisha tukiruhusu upatikanaji wa vibali kwa urahisi na kutoa elimu ya fursa za usafirishaji , watu wengi wazawa wengi watajikita huko kuliko wageni , hivyo mahitaji yataongezeka na kwa sababu soko litakuwa kubwa watu wengi watajihusisha kwenye kilimo na kuondokana na dhana kuwa kilimo hakilipi hence ajira
Kwanza wanaosafirosha mazao kwenda nje wengi ni Wakenya.
Wakenya wengi kwa sababu ya information na sio wakenya wa kawaida bali matajiri na sio kwamba ni wengi kuliko watanzania . Ukitaka kampuni kuu za kusafirisha mazao nje mfano
Lenic
Mo enter
Harmony ( Chinese)
Mushreej
Utakuta nyingi ni za watz na sio wakenya labda kwa wanaosafirisha mahindi na vitunguu kwa ajiri ya Kenya na hii inatokana na wao kulijua soko la vizuri.
Kuna mwaka niliona Mkenya alikodi ardhi Songwe mpaka watu wakakosa eneo la kulima akaanza kuwakodishia akiwa Kenya.
Hiyo kukodi ni ngumu sana kaka labda kama alitumia watu na hakutumia jina lake.
Utaahira.

Sasa hivi kuna Wakenya wanalima vitingui, Mnag'ola kama siyo UTAAHIRA ni nino??

Shida siyonukosefu wa wataalamu. Shida yetu ni WAGE BILL.
Point yangu ili kupunguza kwanza tatizo la ajira kwa muda mfupi kwa sasa tungeweza kuanzisha mfuko wa ajira mfano kama railway dev. Levy na tukaiundia Sheria ili kuweza kupata fedha ambazo zingeweza kutumia katika kutengeneza mazingira ya upatikanaji wa ajira sio na kupunguza uke mzigo ambao serikali inatakiwa itafute kwa ajili ya kulipa mishahara kwa watumishi au hiyo pesa ikatumika kuwawezesha wahitimu kuanzisha miradi yao kwa usimamizi maalumu yaan kama mkopo ambao baadae wakisimama wanakuwa wanarejesha.

Mapato ndio yanaendana na idadi ya watu wanaoajiriwa kwa sasa.

Sijakuelewa upunguze Import duty halacu upate tena pesa 5% uipate kutoka wapi wakati hum-chadge importer??
Nimetoa mfano tu wa import duty ila bado ila unaweza tengeneza Kodi yoyote kwa ajili ya ajira tu kama ilivyo sasa sdl
Lakimi.pia kupunguza duty duty, tafsiri yako unataka kugeuza taifa lako kuw ala kimachinga.

Ukishageuza taofa lako kuw ala kimachinga , maana unaua ajira, NSSF na uchumi.

nchi inatakiwa kupambania Industrial manufacturing

Hapa sijakuelewa.
Ushuru unatozwa pale mtu anaposafirisha mazao Toka sehemu moja kwenda nyingine na sio kutoa shambani kupeleka nyumbani.
Mfano nikitoa korosha mtwara kuleta dar ushuru ni 56.4 kwa kg na hapo nyuma walikuwa wanatoza tsh 20 ajili ya mfuko wa elimu jumla 76.4/ kg nachomaanisha wangeweza punguza Ile 20tsh/kg ambayo ilikuwa inaenda kwenye mfuko wa elimu halmashauri ikawa 10tsh na Ile tsh 10 inayobaki ikasogezwa kwenye mfuko maalumu wa ajira ,
Sijui nimeeleweka?
Kwenye mazao yote, mashambani au wapi?

Halmashauri zote zina vibafua wa mapato.

Nadhani wanaweza kwa ziaid ya hao 200 kwa Dar es Salaam.
 
Dola moja ni uhuni.

Huwezi kuungana na watu ambao hawana cha ku-OFFER.

Nchi kama Kenya haina MSINGI wowote wa nchi.
  • Ardhi
  • Lugha
  • Sera mambo ya nje
  • BATUK, Camp Simba

Siku zote wanataka TZ ndio itoe.

Usenge.

===
Imagine, Rwanda, Kenya wanataka eti Ardhi iingizwe kwenye agenda za Jumuiya, kwamba raia yoyoye ndaninya Jumuiya aruhusiwe kuhama na kuishi popote ndani ya Jumuiya.

Waseenge.

Wao hiyo ardhi WANAYO???
Ndio maana huyu jamaa namshangaa sana muda mwingine sijui huwa anatumia akili gani!?
Huyo USA mwenyewe ameanza kupunguza nguvu kwenye mashariki ya kimataifa ikiwemo NATO.
Sembuse wewe Mtanzania!?
Maana nchi iliyo stable ukanda huu kwa Kila kitu ni Tanzania.
Hizo nchi zingine have nothing to offer to us zaidi sisi tutakua tegemezi tu.
Je resources zetu zitatosha kugawanywa na hao watakaokua chini yetu!?
Hii Zanzibar tumeungana nayo ila still changamoto kibao.
Do not eat much what you can't chew.
 
Hizo unaweka Prompt za AI kaka. Sukuma/Nyamwezi is not a tribe. Ni kama kusema Waswahili ni tribe.
Akina Hamisa Mobetto, Kajara Masanja, Wema Sepetu, Flaviana Matata nk wote hao ni jamii ya (Sukuma/Nyamwezi).

Kwenye mila za kisukuma/Kinyamwezi datoga(Wataturu, Barabaig) Wanaheshimika sana. Mang'ati ni neno la kimasai maana yake Adui
Datoga na Sukuma/Nyamwezi ni kitu kimoja. But Massai na Sukuma/Nyamwezi hawapikiki kwenye chungu kimoja ni maadui.

Kama unataka uelewe zaidi. Majina ya Wasukuma/Wanyamwezi utakuta ni ya makabila mengine kabisa hayana maana kwenye lugha ya Kisukuma/Nyamwezi.

HII ISSUE NI NGUMU HUWEZI KUILEWA KAKA.
Itikadi zilezile za Banyarwanda na Banyamulenge!
 
Ndio maana huyu jamaa namshangaa sana muda mwingine sijui huwa anatumia akili gani!?
Huyo USA mwenyewe ameanza kupunguza nguvu kwenye mashariki ya kimataifa ikiwemo NATO.
Sembuse wewe Mtanzania!?
Maana nchi iliyo stable ukanda huu kwa Kila kitu ni Tanzania.
Hizo nchi zingine have nothing to offer to us zaidi sisi tutakua tegemezi tu.
Je resources zetu zitatosha kugawanywa na hao watakaokua chini yetu!?
Hii Zanzibar tumeungana nayo ila still changamoto kibao.
Do not eat much what you can't chew.
Nchi kama Marekani inaweza kukomaa na wahamiaji, kwasababu kila mtu anakula kwa jasho. Serikali inataka kodi tu.

TZ hii ambayo wananchi wanataka kila kitu bure.

  • Matibabu
  • Shule
  • Barabara na
  • Chakula wakipata ukame

Halafu bado una kundi kubwa la vijana hawana kazi, MIJI YETU imejaa Bodaboda, Machinga ambao tunaona wanachafua mji.

Tunawavumilia kwasababu ni watu wetu, wanatafuta chochote familia zao zipate.

Then, uruhusu GENGE KUBWA la Wahamiaji wenye matatizo hayo hayo.

Utamudu vipi??
 
Bro Kuna muda una akili kama mtoto aisee.
Kwahiyo Kila wanachofanya viongozi wetu basi ni sahihi?
Kwahiyo mtu kuwa na mawazo tofauti ni sawa na uoga?
Au hupendi watu watizame mambo kiutofauti!?
Yani mtu akiwa na mtazamo tofauti unampa jina mara muoga mara hisia binafsi.
Acha hizo,ni kosa kubwa sana kama hizo nchi zitaungana chini ya bendera moja na Tanzania.
Tupo hapa tutaona,Kigoma nadhani unayakumbuka mauaji na uhalifu wa tereza,ni warundi wale walikua wanafanya vile.
Nadhani watutsi unawajua vizuri pia wakoje.
Wewe endelea kushabikia vitu kiuchawa uchawa ukipewa kisa viongozi wamepanga basi kwako sawa tu.
Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.

Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.

Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
 
Itikadi zilezile za Banyarwanda na Banyamulenge!
Sasa hapo Tatizo lipo wapi? Kama Sukuma/Nyamwezi unawaweka kwenye kundi la Banyarwanda na Banyamulenge je, unataka kuwaodoa Tanzania? Sukuma/Nyamwezi ni zaidi ya 20% ya Population ya Tanzania. Rostam Aziz na yeye ni Msukuma. Lakini Rostam Aziz wazazi wake asili yake ni Persia.

Hao Banyarwanda na Banyamulenge hawawezi kufanya chochote, mmejazwa woga ambao hauna ukweli wowote
 
Embu panua akili kidogo,Burundi Ina matatizo ya ndani ambayo mengine yanachagizwa na ukabila.
Rwanda na ni exactly vile vile.
Kukaribisha hao watu chini ya bendera Moja ni kujiongezea matatizo kwa kuyabeba matatizo yao.
Mrundi ni Mrundi tu hata Aishi wapi exactly kwa Mnyarwanda.
Tena bora Mrundi anakumbuka fadhila ila Mnyarwanda hachelei kunyea mkono unaomlisha,tunaishi nao tunawajua hao.
Tanzania tumetoa sana Uraia kwa Warundi, lakini ni wale wanaokaa kwenye kambi za wakimbizi miaka 20+

Wameshajifunza kuishi kitanzania.

Check Kenya, wanapokea wasomali wanaingizwa moja kwa moja mitaani hata Kiswahili hawajui.

Sasa hivi wanapeperusha bendera ya Somalia wakiwa Kenya.

Wanaongea kiSomali kila kona, na hawataki maelezo yoyote na wakenya.
Yaani wana utawala wao ndani ya Kenya.

Useeeenge
 
Saa brother unanishambulia mimi binafsi. Nimekuwekea mpango wa EAC kuwa nchi moja. Na Tanzania ni sehemu ya EAC ikiwemo Rwanda na Burundi.

Mimi nimekuwekea reality wewe unaniletea hisia.

Huo kaka ndio mpango wa EAC na mwasisi wake ni Tanzania. Sasa kosa langu ni lipi?
Lakini hatuwezi ruhusu uhamiaji haram kisa jumuiya zisizo eleweka za EAC
 
Back
Top Bottom