concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,350
Hapana walete ya njano naona mnajivutia Kasi kwenu tuWalete na ya rangi nyekundu sasa 😁
Hapana walete ya njano naona mnajivutia Kasi kwenu tuWalete na ya rangi nyekundu sasa 😁
Kuruhusu watu kusafirisha mazao nje ya nchi bila vibali siyo solution ya tatizo la ajira.Ajira kwa Tanzania ni mfumo wetu wa ccm, laiti ingekuwa baadhi ya mambo wanaachilia hii keki ya taifa haitutoshelezi.
Mfano tu Leo ukitaka safirisha mchele kwenda nje tu vibali vyake si vya Dunia hii laiti ingekuwa kuna free market au kuna sera za kuwanufaisha wananchi Tanzania hatukupaswa kuwa na tatizo la ajira.
Shida siyo ukosefu wa wataalamu. Shida yetu ni WAGE BILL.Leo hii ukizunguka karibia Kila shule za kijijin mahitaji ya waalimu ni zaid ya nusu ya walliopo, same to manesi,madaktari,wahasibu ila serikali inaajiri kidogokidogo sana.
Sijakuelewa upunguze Import duty halafu upate tena pesa 5% uipate kutoka wapi wakati hum-charge importer??Hivi kwa mfano wakisema wapunguzze import duty kutoka 25% mpaka 20% then hii Tano ikaingizwa kwenye mfuko wa ajira
Hapa sijakuelewa.then kwenye mazao yote ( ushuru) ukaweka introduce 20% kwenye ushuru uliokuwa unatozwa kwa ajili ya mfuko wa ajira then baada ya hapo ukaajiri maeneo yote yenye uhaba.
Maana utakapoongeza watu na mapato lazima yaongezeka.
Halmashauri zote zina vibarua wa mapato.Mfano ukiajiri vijana 200 kwa ajili kuhangaikia mapato kwa jiji kama dar es salaam tegemea mapato kupanda twice
Mimi nadhani LNG ndo ilitakiwa ipewe kipaumbele sana kuliko CNG ila anyway kama wataanza poaLNG mradi mdogo utaanza hivi kaributi surely wataweka tuu huko mbeleni.
tumechoka rangi za mbogamboga mkuu miji mikubwa huwa na red busesHapana walete ya njano naona mnajivutia Kasi kwenu tu
sasa unaisafirishaje na unai-store (hifadhi) vp na unaitumiaje bila LNG kuwa CNG? unajua maana ya hizo terms? Na unatakaje mradi wa LNG tu bila local content? Kinachofanyika sasa ni kuondoa curse ya kusafirisha LNG nje bila kutumika ndani!Mimi nadhani LNG ndo ilitakiwa ipewe kipaumbele sana kuliko CNG ila anyway kama wataanza poa
Hiyo EAC ipo kwenye makaratasi tu na sio uhalisia, usije kutegemea ipo siku Africa itaungana, labda waafrika sisi wa kizazi hiki wote tufe alafu vijukuu vya wajukuu zetu ndiyo huenda wakaungana mana wakati huo watakuwa wameelimika vya kutosha na njaa haitakuwa wimbo wao. Hivi mkuu ngoja nikuulize, unategemea kuwa na EAC alafu mmoja wa members ni Kenya? Unategemea kuwa na EAC alafu mmoja wa members anaenda nje kutukana wenzie ili apate msaada?Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.
Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.
Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
Dola moja ni uhuni.Hadi sasa Kuna changamoto chungumzima katika hii community still bado EAC Ina mianya kibao ya kurekebisha na haitakua healthy kuanzisha dola Moja na nchi zote hizo.
Matatizo ya hayo mataifa yatahamia kwetu tu.
GDP kubwa alafu miji vumbi tupu, inafaida gn kuwa na GDP ya hivyo alafu maandamano ya ugali kila siku, Rais wao anasema wakenya zaidi ya robo tatu wana share choo cha shimo, na tulisema humu wakabisha, leo president wao ana confirm kwamba ¾ ya wakenya wana share choo cha shimo. Alafu mtu akiniambia eti GDP ya Kenya ni kubwa huwa nashangaa sn, hivi are we serious kuita ka GDP ka $100B ni kubwa? Tuache masihara jmn, GDP inayo produce umeme usiozidi 3000MW ni kubwa hiyo? Huu ni uchale wakuu.watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea 😂😂😂njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
Embu panua akili kidogo,Burundi Ina matatizo ya ndani ambayo mengine yanachagizwa na ukabila.Wahamie Tanzania na waache kuhamia DRC? Kaka hebu nakuomba uwe serious. Hebu nitajie akina nani hao.
Just Imagine, Mozambique, Angola, Sudan, Ethiopia zipo kwenye federation hii. Unadhani akina nani watahamia Tanzania na kuijaza na sisi tukakosa? Je, unawaogopa Luo? je, unawaogopa Tutsi? Unawaogopa Kikuyu?
WOGA WAKO NI NINI HASA?
Bro Kuna muda una akili kama mtoto aisee.Haya ni mawazo yako. Lakini huo ndio mpango wa EAC mimi nimekuwekea maelezo official ambayo viongozi wa Tanzania wameyaridhia. Huo woga wako binafsi hauwezi kuzuia mpango. Unachotakiwa ni kujiandaa tu usije kukutwa hujajiweka sawa.
Namaanisha tukiruhusu upatikanaji wa vibali kwa urahisi na kutoa elimu ya fursa za usafirishaji , watu wengi wazawa wengi watajikita huko kuliko wageni , hivyo mahitaji yataongezeka na kwa sababu soko litakuwa kubwa watu wengi watajihusisha kwenye kilimo na kuondokana na dhana kuwa kilimo hakilipi hence ajiraKuruhusu watu kusafirisha mazao nje ya nchi bipa vibali siyo solution ya tatizo la ajira.
Wakenya wengi kwa sababu ya information na sio wakenya wa kawaida bali matajiri na sio kwamba ni wengi kuliko watanzania . Ukitaka kampuni kuu za kusafirisha mazao nje mfanoKwanza wanaosafirosha mazao kwenda nje wengi ni Wakenya.
Hiyo kukodi ni ngumu sana kaka labda kama alitumia watu na hakutumia jina lake.Kuna mwaka niliona Mkenya alikodi ardhi Songwe mpaka watu wakakosa eneo la kulima akaanza kuwakodishia akiwa Kenya.
Point yangu ili kupunguza kwanza tatizo la ajira kwa muda mfupi kwa sasa tungeweza kuanzisha mfuko wa ajira mfano kama railway dev. Levy na tukaiundia Sheria ili kuweza kupata fedha ambazo zingeweza kutumia katika kutengeneza mazingira ya upatikanaji wa ajira sio na kupunguza uke mzigo ambao serikali inatakiwa itafute kwa ajili ya kulipa mishahara kwa watumishi au hiyo pesa ikatumika kuwawezesha wahitimu kuanzisha miradi yao kwa usimamizi maalumu yaan kama mkopo ambao baadae wakisimama wanakuwa wanarejesha.Utaahira.
Sasa hivi kuna Wakenya wanalima vitingui, Mnag'ola kama siyo UTAAHIRA ni nino??
Shida siyonukosefu wa wataalamu. Shida yetu ni WAGE BILL.
Mapato ndio yanaendana na idadi ya watu wanaoajiriwa kwa sasa.
Nimetoa mfano tu wa import duty ila bado ila unaweza tengeneza Kodi yoyote kwa ajili ya ajira tu kama ilivyo sasa sdlSijakuelewa upunguze Import duty halacu upate tena pesa 5% uipate kutoka wapi wakati hum-chadge importer??
Ushuru unatozwa pale mtu anaposafirisha mazao Toka sehemu moja kwenda nyingine na sio kutoa shambani kupeleka nyumbani.Lakimi.pia kupunguza duty duty, tafsiri yako unataka kugeuza taifa lako kuw ala kimachinga.
Ukishageuza taofa lako kuw ala kimachinga , maana unaua ajira, NSSF na uchumi.
nchi inatakiwa kupambania Industrial manufacturing
Hapa sijakuelewa.
Kwenye mazao yote, mashambani au wapi?
Halmashauri zote zina vibafua wa mapato.
Nadhani wanaweza kwa ziaid ya hao 200 kwa Dar es Salaam.
Sasa hivi ni muda wa Dodoma buanaWafanye mpango pale gerezani waweke tunnel, na kote kwenye junction ya BRT zijengwe flyover au tunnels, waache ushamba.
Ndio maana huyu jamaa namshangaa sana muda mwingine sijui huwa anatumia akili gani!?Dola moja ni uhuni.
Huwezi kuungana na watu ambao hawana cha ku-OFFER.
Nchi kama Kenya haina MSINGI wowote wa nchi.
- Ardhi
- Lugha
- Sera mambo ya nje
- BATUK, Camp Simba
Siku zote wanataka TZ ndio itoe.
Usenge.
===
Imagine, Rwanda, Kenya wanataka eti Ardhi iingizwe kwenye agenda za Jumuiya, kwamba raia yoyoye ndaninya Jumuiya aruhusiwe kuhama na kuishi popote ndani ya Jumuiya.
Waseenge.
Wao hiyo ardhi WANAYO???
Dar zijengwe na Dodoma pia zitajengwa, no problem, we can.Sasa hivi ni muda wa Dodoma buana
Hii Nchi ya kasongo hapana aisee 🤣🤣👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DMGDwSCCJp-/?igsh=Y2tnbjBhY3A5ZWRx