Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni picha pendwa ya kujipa faraja ya bwana Nicxie 👇🏾hii ni magomeni
IMG_9715.jpeg
anyways.. I would like to update him .. this is the current view 👇🏾
IMG_9720.jpeg
 
Kwani umeskia hii nchi ni shamba la Bib? FYI kinachotokea Eastern Congo ni mwendelezo wa kuwaachia wanyarwanda leo hii wanataka kujimegea eastern DRC! Kuwa mwangalifu sana na unachoongea!
Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢

Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.
However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
 
KESHO HIYO - WAKENYA HAWANA DIRA
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗔 𝗗𝗜𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 2050
1752684796361.png

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 atazindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 baada ya kukamilika kwa mchakato wa zaidi ya miaka miwili (02).

Mchakato wa kuandaa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ulianza Februari - Machi 2023 kwa maandalizi ya miongozo ya uandishi na kuzinduliwa rasmi tarehe 03 Aprili 2023 na Julai 17 Rais Dkt. Samia ataizindua jijini Dododma ambapo dira hiyo itaongoza maendeleo jumuishi ya viwanda na TEHAMA hadi mwaka 2050.

Kupitia Dira hiyo pia Tanzania itakuwa nchi ya mfano katika ustahimilivu, ubunifu, ustawi na diplomasia barani Afrika na duniani, ikichochewa na rasilimali zake, miundombinu imara na nguvukazi mahiri na yenye motisha.

Vilevile, inatarajiwa kuwa nchi yenye kipato cha kati ngazi ya juu, ikiwa na pato la taifa la dola za Marekani trilioni moja, na wastani wa pato la mtu mmoja la dola za Marekani 7,000 kwa mwaka.
 
Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢

Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.
However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
Wawaache tu waje. Wakiingia Tanzania watamezwa na makabila yaliyopo huko. Hawawezi kuwa na nguvu.
 
Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢
Labda hujawahi tembelea kigoma hao watu wanaruhusiwa kuja ila kwa vibali maalum ya tsh20,000 ila wengi wao wanakwepa ,sasa inakuwa ngumu kuwatambua wahalifu
Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.

However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
 
Nitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida, huku ikisomesha watoto mpaka sekondari bure.
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.
Wacha nikupe mfano. Hii Iran ambayo wenzako wamekuwa wakiishobokea ina GDP ya $341B pekee. Iran yenyewe hiyo imetoa USA na Israel kijasho. Iran yenyewe ina population ya 91M which waay more than Bongoslum. Sasa kulingana na wewe hii bongoslum moja ambayo naijua imeishinda Iran kiuchumi? Hivi una akili wewe? 🤣 🤣

Hapa ona capital ya Iran. Unaweza linganisha Darislum na hii?.
1024px-North_Tehran_Towers.jpg


Tehran-1024x683.jpeg.webp


Mji wa pili wa Iran huu. Sasa useme Mwanza ulinganishe na Mashdad
1280px-Aerial_View_of_Koohsangi_street%2C_Mashhad%2C_Iran.png

Mji wa tatu huu, ati sasa Arusha ulinganishe na Isfahan
4517315.jpg


Nchi nyengine hii hapa ni Columbia. GDP $427B ingawa population kidogo chini ya Bongoslum but according to you, mko ligi moja na Columbia. 🤣🤣🤣
Bogota, Columbia
1280px-Bogota_SkyIine.jpg
92920BE9-2C5B-425F-9843732EB24D0A2D

Mji wa pili Medellin. Ati sasa ulinganishe na Mwanza.🤣🤣🤣
medellin-offers-a-higher-quality-of-life-than-other-cities-in-latin-america-1536x1024.jpg


Mji wa tatu huu Cali eti sasa ulinganishwe na Arusha.🤣🤣🤣
1280px-Santiago_de_Cali.jpg


Alafu nikikuita mwendawazimu uniita mbaya. mwaiofhawaii kuja uchukue hii ng'ombe uipeleke malishoni bwana. 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom