Go Mahia Budget yake ni how much?
View: https://www.instagram.com/p/DMIDYLpKpUs/?utm_source=ig_web_copy_link
There are a lot of metrics that you can use to gauge their economy and it starts from small things such as this.
Go Mahia Budget yake ni how much?
View: https://www.instagram.com/p/DMIDYLpKpUs/?utm_source=ig_web_copy_link
Amka ndotoni utajinyea budaaOutside Dar there is no place in Vumbistan that can rival Kisumu.
Huyu mwamba aliwaambia ukweli karibu wamchinje nimependa comments kwenye thread in fact there are still some decent and sober Kenyans who calls a spade a spade.
View: https://x.com/FGaitho237/status/1925899438238617780
Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢Kwani umeskia hii nchi ni shamba la Bib? FYI kinachotokea Eastern Congo ni mwendelezo wa kuwaachia wanyarwanda leo hii wanataka kujimegea eastern DRC! Kuwa mwangalifu sana na unachoongea!
Wawaache tu waje. Wakiingia Tanzania watamezwa na makabila yaliyopo huko. Hawawezi kuwa na nguvu.Mimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢
Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.
However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
Labda hujawahi tembelea kigoma hao watu wanaruhusiwa kuja ila kwa vibali maalum ya tsh20,000 ila wengi wao wanakwepa ,sasa inakuwa ngumu kuwatambua wahalifuMimi ningekuwa askari siwezi kamata watu wamechoka hivi, tena wanaenda kutafuta vibarua vya kulima mashamba kwa bei chee😢
Ya DRC Congo ni tofauti sana na hili. Watutsi na ardhi yao ilimegwa na wakoloni pande ikapelekwa Zaire na nyingine Dutch East Afrika present day Tanzania. Wakoloni wakamega tena sehemu za Tanzania na kuunda Rwanda na Burundi wakapewa Wakoloni wa Kibelgia. DRC hawataki kuwatambua na wanataka waondoke DRC bila ardhi yao, swala ambalo haliwezekani.
However, what you say inaweza pia kutokea if only a huge enthinic group fromoutside kuwa concentrated in one place.
Enyewe wewe ni ng'ombe. Mnasikia tu $450 B hamjui hiyo ni pesa kiasi gani. Tulieni na hako ka GDP ka $85B mfanye bidii labda mtafika $100B by 2030.Nitajie nchi yoyote duniani yenye GDP chini ya $250B, ambayo kwa pamoja, inajenga madaraja, mji mpya from scratch, reli, dam, kununua ndege cash, huku ikiwa na food security zaidi ya 100%, ikilipa mishahara bila shida, huku ikisomesha watoto mpaka sekondari bure.
Rwanda ina watu 14MWawaache tu waje. Wakiingia Tanzania watamezwa na makabila yaliyopo huko. Hawawezi kuwa na nguvu.