Kaka sitaki kuongea sana kuhusu Kenya. Maana Tanzania kupitia CCM ipo katika mikakati ya kutatua tatizo lao kisomi kama tulivyotatua huo Ethiopia. Nataka nieleze tu namna CCM ilivyo saidia kwa hekima ya juu sana.
CCM ilisimamia uanzishwaji wa
Prosperity Party ya huko Ethiopia. Kiliundwa 1 December 2019 baada ya vyama vifuatavyo kuunganishwa:
ADP
ANDP
APDO
BGPDUF
ESPDP
GPDM
HNL
ODP
SEPDM
Hivi vyama ndivyo vilikuwa
Root Cause ya ugomvi wa kikabila usio na mwisho.
Kwa sasa Prosperity Party ni moja ya vyama(Watoto wa CCM)
View attachment 3408937
Addis Ababa, January 31, 2025 (FMC) - Emmanuel Nchimbi, the Secretary General of Tanzania's ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party, underscored the critical need for Ethiopia and Tanzania to collaborate in tackling a range of global challenges, inclu
www.fanamc.com