Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe ni mtu wa Anthropology sio?

View: https://youtu.be/447-YsIHdZI?si=i6-qg_OuzLxw12jc

Cushites Great Lakes Region ni Wahamiaji1 Pia Tanzania ni wahamiaji!

Brother upo na hasira zisizo na maana. Nimekuwekea hoja nyingi sana mezani lakini unazikwepa kuzijibu. Hii ni discussion ya wazi kila mtu yupo na uhuru wa kutoa maoni.

1. Hakuna kabila linaloitwa watanzania ni kama nilivyoongea kuhusu Sukuma/Nyamwezi kuwa ni society and language but not a tribe. Ungekuwa muungwana ungenisifu kwa kukufundisha hili.

2. Nimekuiliza ulete ushahidi kuwa Tutsi ni bantu people hujaleta. Nikakueleza Nilotic ndio wenye asili ya ufugaji. Tutsi is the same, Bantu asili yao ni wakulima ushahidi upo hapa TZ 98% ya Bantu ni wakulima.

Hoja zipo nyingi tu nimeziweka mezani hujazijibu hata moja.

KAKA HII NI DISCUSSION YA WAZI KILA MTU YUPO HURU KUTOA MAONI.

Karibu
 
Kiuhalisia panua ubongo wako.
Kwa project anazofanya Iran ni ya kuwa na GDP ya $300 billions!?
Panua ubongo kidogo.
Miradi anayofanya Iran ni mara mbili ya hiyo GDP ama mara 3,kuanzia Air defense system projects, military drones projects, nuclear projects, missiles projects ni zaidi ya hiyo GDP.
Na Iran haikopi popote pesa haikopi ng'oo,hapo hapo inafadhili Hizbollah zaidi ya $50 billions kwa mwaka, inafadhili Houthi zaidi ya $ 50 billions kwa mwaka.
Mkiambiwa mfikirie out of box hamtaki.
For them what mzungus says is always right. Iran haitegemei WB wala IMF na economy yao hawalazimiki ku share data same with North Korea chumi zao ziko juu than what is being portrayed by WB and IMF.
 
Mkuu mbn mnaongea mambo makubwa na mazito in a very simple way? Hivi unaijua hatari ya kuruhusu wageni kuingia nchini kwetu na kuishi pasipo kufuata utaratibu? Hizo nchi ulizozitaja zinasifika kwa fujo na ushenzi wa kila aina, je unataka walete damu yao ya ushetani huku kwetu na tuwaache tu? Leo hii ukienda pale taifa kuna lundo la watoto wa mitaani na wananusa gundi pia ni wezi kama wale chokoraa wa Kenya, na hao watoto wanatokea Burundi kupitia kigoma. Wageni wasiruhusiwe kuingia kiholela, wabaki kwao wasituletee tabia zao za ajabu ajabu huku kwetu.
Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.

Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.

Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
 
Wewe sasa ndiyo ng'ombe pro, kwahiyo wewe unaamini Iran ina GDP ya $341B? Ok, ngoja nikuulize tena, hv unaamini North Korea ina GDP ya $23B? Kwnn nyie wakenya hamna akili kiasi hiki? Wewe kwa akili zako za king'ombe unaamini Kenya inaikaribia NK kwa GDP?
watakuambia Kenya GDP yake ni 6 times ya North Korea šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚njoo kwa ground sasa hata kutengeneza mzinga mmoja wa kuruka 5km hawawezi halafu linganisha miji ya NK na Kenya uone kituko. Wealth is visible sio kwenye makaratasi.
 
Aaah hapana Rwanda na Burundi hapana,iwe tu Comoros.
Hizo Rwanda na Burundi ni vizazi korofi sishauri hata kidogo.
Comoros hawako wengi sana kwahiyo hata biashara sio kivile sana.
Kwangu Rwanda hapana ila Burundi Inaweza kuwa na manufaa sana kuliko comoro na rwanda.
Burundi Iko na population kubwa ya wahutu ambao kihali halisi huwa ni wanyonge sana hivyo tunaweza watumia kwa kazi nyingi za kilimo kwa manufaa yetu na watu wa kazi saana.
Kwa wale watu wa kigoma kuna watu huwa wanawachukua kwa vibali maalum kwa mikataba ya kulima mpaka kuvuna kwa eka kuanzia 100,000 mpaka 150,000 hapo chakula Cha bosi.
Ila ukienda Rwanda ni watuts wengi ambao mara nyingi hujiona ni watu classic hivyo hata kazi sio sana ( wavivu ) ingawa biashara wanaweza.
Burundi Ina borderline kubwa na congo tofauti na rwanda ambayo eneo kubwa limepakana na ziwa kivu, hivyo tukiboresha miundombinu bado tunaweza Teka soko la Kongo kupitia Burundi.
Ingekuwa ni Mimi ni kuimega Burundi na kivu ambako hakuna waasi wengi kama Rwanda.
Rwanda ni bomu linalosubiri kulipuka
 
Jamaa anazingua sana, kawa mjuaji kwenye hilo swala hadi anaharibu.
Kuna jamii hazifai kuungana nazo hasa hizi zinazoendekeza ukabila, hiyo RW ni swala la muda tu kurudi kwenye ujinga tena kwa sababu kiongozi wa sasa anapendelea kabila lake na kutesa lile kabila lingine.
Wazee waliona ndio maana hawakuangaika kutaka kuungana.
Jamii zingine hazisahau asili zao.
Tena ajue nchi itafanya operesheni kimbunga ni swala la muda tu, kama ana wahamiaji haramu awatoe haraka sana. šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Brother unaposhindwa kujibu hoja zangu usikimbilie kuniita mjuaji. Hiyo ni dalili ya kushindwa hoja. Hapa naona unajitandika risasi kwenye miguu yako. Hao Rwanda unaowakataa wapo kwenye EAC. Na lengo la EAC ni kuwa nchi moja. Mwanzilishi wa EAC ni Tanzania.

Pili zaidi ya 30% kwenye vyombo vya usalama wamejaa hao watu. Sijui unaongelea nini.
Tuliza akili brother usinijibu kwa emotions. Mimi naandika facts. Hata hao wakenya soon or later tutakuwa nao kwenye nchi moja. Ni muhimu kuelewa hayo kuliko kubaki na mawazo ya kizamani.
 
Kuna watu wapuuzi sana humu ndani! Yaani watu wanjitamba ku-assimilate makabila mengine yaliyoingia nchini kinyemela! Huo ni uzalendo kweli? Ndio maana serikali inakaza sana kuwapa vitambulisho watu wa pande zile! Wapuuzi sana na kama tatizo litatokea Tanzania ni rahisi kuona litaanzia wapi!
Rwanda hapana ila Burundi ni rahisi sana kuwa assimilate na kiuhalisia wako wengi sana . Burundi baba yao ni Tanzania kwa Kila kitu wanaiheshimu Tanzania km ulaya
 
Abishe hapa alafu na mm nimletee miji ya NK yenye GDP ya $23B zen tulinganishe na vumbi zao.
Yani gharama ya kuunda nuclear plant power ya kufanya enrichment over 60% ya uranium ni nusu ya hiyo GDP,na kiduku ana nuclear site zaidi ya tatu.
Tuje kwenye missile production lamamayeeešŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ halafu ndio mtu uje useme GDP ya Korea ni ndogo kuliko ya Kenya.
Elimu ya Kenya haikujengi uwaze beyond the box.
 
Comoros hawako wengi sana kwahiyo hata biashara sio kivile sana.
Kwangu Rwanda hapana ila Burundi Inaweza kuwa na manufaa sana kuliko comoro na rwanda.
Burundi Iko na population kubwa ya wahutu ambao kihali halisi huwa ni wanyonge sana hivyo tunaweza watumia kwa kazi nyingi za kilimo kwa manufaa yetu na watu wa kazi saana.
Kwa wale watu wa kigoma kuna watu huwa wanawachukua kwa vibali maalum kwa mikataba ya kulima mpaka kuvuna kwa eka kuanzia 100,000 mpaka 150,000 hapo chakula Cha bosi.
Ila ukienda Rwanda ni watuts wengi ambao mara nyingi hujiona ni watu classic hivyo hata kazi sio sana ( wavivu ) ingawa biashara wanaweza.
Burundi Ina borderline kubwa na congo tofauti na rwanda ambayo eneo kubwa limepakana na ziwa kivu, hivyo tukiboresha miundombinu bado tunaweza Teka soko la Kongo kupitia Burundi.
Ingekuwa ni Mimi ni kuimega Burundi na kivu ambako hakuna waasi wengi kama Rwanda.
Rwanda ni bomu linalosubiri kulipuka
Nani kakuambia rwanda watutsi ndio wengi,kwenye population yao wahutu wapo mln 8 while watutsi wapo mln 3,burundi na rwanda ni wale wale hao jamaa,kuua kwao ni jambo la kawaida,kwanza mpango wa kuungana nchi za afrika hapana aisee,mungano wa bara na znz changamoto zake ni kubwa,halafu tuungane tena na nchi zingine hapana aisee,muungano utapendeza kundustan waungane na somalia huko ndio itapendeza
 
CCM tena mkuu 🤣🤣🤣
Ndio kaka yangu. Mpaka sasa CNDD–FDD ya Burundi, RPF ya Rwanda na NRM ya Uganda ni matawi ya CCM.
Tunasubiri wakenya watulie ili tuanzishe Chama chenye nguvu kama Tanzania.

Kwa sasa tunataka kuwaunganisha Ruto na Odinga. Uhuru anaruka ruka but tutamuweka sawa tu. Huko kenya tutaanzisha chama kama CCM.

Huko Ethiopia walikuwa wakipigana mara kwa mara, kwa uwezo wa CCM imeweza kuwashauri na kuwaelekeza. Vyama vyote vilivyokuwa na mlengo wa kikabila vimeunganishwa na kuunda chama kimoja 2019 The Prosperity Party. Na sasa chama cha Ethiopia ni mwanafunzi wa CCM.

Kama unahitaji maelezo zaidi niulize nitatoa ufafanuzi zaidi.
 
For them what mzungus says is always right. Iran haitegemei WB wala IMF na economy yao hawalazimiki ku share data same with North Korea chumi zao ziko juu than what is being portrayed by WB and IMF.
Na hapo Iran Ina economic sanctions zaidi ya miaka 40.
Ila katizame projects zao za usafiri na science aisee kufuru ya rahmani.
Eti ndio mtu aseme Iran ina GDP ya $300 billions.
Nchi inafadhili billions of dollars sehemu tatu au nne Yemeni, Lebanon kupitia Hizbollah,Syria kipindi cha Assad.
Ndio hivyo hawa jamaa zetu wao ni C&P basi.
 
Nani kakuambia rwanda watutsi ndio wengi,kwenye population yao wahutu wapo mln 8 while watutsi wapo mln 3,burundi na rwanda ni wale wale hao jamaa,kuua kwao ni jambo la kawaida,kwanza mpango wa kiungana nchi afrika hapana aisee,mungano wa bara na znz changamoto zake ni kubwa,halafu tuungane tena na nchi zingine hapana aisee,muungano utapendeza kundustan waungane na somalia huko ndio itapendeza
Kaka hilo ndilo lengo la kuziunga nchi za EAC itabidi uanze kuzoea kaka. Umeona Rais Samia alienda kutembelea Comoros je, unaelewa maana yake?
Watanzania tunatakiwa tuanze kujiandaa. Tuache umwinyi wa pwani, kupata mafanikio kwa kuongea tu bila kufanya kazi.
 

Wangetengeneza vituo vya LNG badala ya CNG hii ingeweza wafanya watu wa mabasi na malori kuanza kukimbilia kununua magari ya gesi, sababu LNG unaweza tembea mpaka km1000 kwa tenk moja kuliko CNG ambayo wastan ni km500.
tungefanikiwa kujenga hata vituo 4 kwa Kila mkoa kwa hii njia ya kati mpaka bukoba,kigoma na mwanza basi naamini tungeweza punguza manunuzi ya mafuta na matumizi ya dollar walau hata kwa 1/4 ya sasa.
Lakini Tpdc ibadilike na kaunza kufikiria kufungua vituo hata nje ya Tanzania kama Malawi,Zambia ,Rwanda na Burundi ili kutanua soko letu la gesi kama hawana mitaji wauze hisa watu wawekeze hela zao hapo
 
Brother upo na hasira zisizo na maana. Nimekuwekea hoja nyingi sana mezani lakini unazikwepa kuzijibu. Hii ni discussion ya wazi kila mtu yupo na uhuru wa kutoa maoni.

1. Hakuna kabila linaloitwa watanzania ni kama nilivyoongea kuhusu Sukuma/Nyamwezi kuwa ni society and language but not a tribe. Ungekuwa muungwana ungenisifu kwa kukufundisha hili.

2. Nimekuiliza ulete ushahidi kuwa Tutsi ni bantu people hujaleta. Nikakueleza Nilotic ndio wenye asili ya ufugaji. Tutsi is the same, Bantu asili yao ni wakulima ushahidi upo hapa TZ 98% ya Bantu ni wakulima.

Hoja zipo nyingi tu nimeziweka mezani hujazijibu hata moja.

KAKA HII NI DISCUSSION YA WAZI KILA MTU YUPO HURU KUTOA MAONI.

Karibu
genetics composition ya Watutsi inasema hivyo!
Screenshot 2025-07-17 091822.png
 
Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.

Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.

Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
Mkuu international organization ni tofauti na united republic.
EAC ni international organization huwa Kuna limits katika mambo.
Ila muungano unaousemea wewe ni WA kuwa na serikali Moja aisee huo hauna limits na utatuumiza.
Aisee broo hapa nakupinga hadi kiama Rwanda na Burundi sio nchi rafiki hata upunje kheri hata Somalia wakipata sehemu tulivu akili inawaingia wanajenga nchi.
 
Lengo la Umoja wa East Afrika ni kuelekea kwenye East Africa Federation. Sasa kama hamuwataki hao watu kwanini mliwaruhusu kuwa kwenye EAC? Halafu ijulikane aliyeasisi EAC ni Tanzania. Mkapa aliwashawishi wenzake na kuanzishwa EAC baadae Burundi na Rwanda zikaongezwa.

Nadhani hapa mnakuwa na woga wa kitu ambacho hakipo.

Naomba unijibu umuhimu wa hao watu kuwa kwenye EAC.
Unavyowatetea inakaa wewe asili yako inatia mashaka!
 
Back
Top Bottom