Miwa yenyewe waitoe wapi hata serikali yao imepiga marufuku uzalishaji wa sukari kwa muda maana miwa hamna hadi inapelekea kuvuna miwa michanga.Unajaribu kulinganisha vidakwa/ vikogwa na Embe dodo.? KSC ltd ni kampuni kubwaa inazalisha sukari tani 120k annually una jaribu kulinganisha na mabati ya hako kadubwana mnajenga sahii.? š¤£š¤£ šš¾ Home - Kilombero Sugar Company - An Illovo Sugar Africa Company.