Huwezi kuwapima ASKARI kwa operesheni kwa raiaMuwage mnawasikia tu hao jw msiwaombee waingie kitaaa,tuwaonege tu wakiwa wamevaa tu Yale makombati, kuna muda nahisi wale wanaopelekwaga sehem za opareshen huwa wanadunia yao sio hii ya mtaaani.
Mkitaka wajua vizur jw ulizieni watu wa mipakan Ile yenye fujo, hao watu washawahi mrusha kigogo wa wilaya kichurachura