Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tena ifanywe na jwtz,uwa awacheki na kima
Muwage mnawasikia tu hao jw msiwaombee waingie kitaaa,tuwaonege tu wakiwa wamevaa tu Yale makombati, kuna muda nahisi wale wanaopelekwaga sehem za opareshen huwa wanadunia yao sio hii ya mtaaani.
Mkitaka wajua vizur jw ulizieni watu wa mipakan Ile yenye fujo, hao watu washawahi mrusha kigogo wa wilaya kichurachura
 
Kwanii ishindikane kwani Tanzania kuna makabila mangapi mbona tumeunguna umewahi kukakaa chini kama makabila yote yaliyopo Tanzania yasingeunguna tungekuwa kwenye hali gani sasa?
Silka ya makabila tuliyonayo na ya Rwanda na Burundi inafanana?
Pia kumbuka zamani na sasa ni tofauti.
Tayari haya ni mataifa unataka kuyaunganisha yenye silka mbili tofauti.
 
Muwage mnawasikia tu hao jw msiwaombee waingie kitaaa,tuwaonege tu wakiwa wamevaa tu Yale makombati, kuna muda nahisi wale wanaopelekwaga sehem za opareshen huwa wanadunia yao sio hii ya mtaaani.
Mkitaka wajua vizur jw ulizieni watu wa mipakan Ile yenye fujo, hao watu washawahi mrusha kigogo wa wilaya kichurachura
Huwezi kuwapima ASKARI kwa operesheni kwa raia
 
Silka ya makabila tuliyonayo na ya Rwanda na Burundi inafanana?
Pia kumbuka zamani na sasa ni tofauti.
Tayari haya ni mataifa unataka kuyaunganisha yenye silka mbili tofauti.
Yote tisa ila ukweli utabakia pale pale waafrika bila kuunguna tutaendelea kuwa wasindikizaji hapa duniani sasa unafikiri kwa mtazamo wako tutakuwaje bila kuunguna
 
Ndo maana nasema tuwaachie wawe wa poli tu wakiingiaa mtaani kufanya opareshen hata wewe usiyemkimbiz utajuta kuwajua
Binafsi, naamini raia ndio mwanajeshi wa kwanza.

Hakuna jeshi liliowahi kushinda vita, kama raia wa nchi hawako upande wao.

Hata Iddi Amin tulimpiga kwasababu waganda walikuwa hawampendi.
 
Sababu kubwa ya kutoungana ipo mpaka leo.

Huko kwingine watu walishagawana nchi zao.

Nyerere hakuwa mbinafsi
Izo ni sheria za nchi hatuwezi kubadilisha ila angalau kuna mambo muhimu na ya msingi inafaa tuunganishe kama sarafu moja, mitahala ya elimu,lugha na mengineyo
 
Yote tisa ila ukweli utabakia pale pale waafrika bila kuunguna tutaendelea kuwa wasindikizaji hapa duniani sasa unafikiri kwa mtazamo wako tutakuwaje bila kuunguna
Hii ndiyo point ya msingi kabisa. Kuna watu wanakuwa na uoga ambao hauna maana yoyote. Deep down ni chuki zisizo na maana. Geza Ulole anamchukia Magufuli mpaka leo. Ukiuliza sababu hana sababu yoyote. Vita ya Banyamulenge huko Congo DR chanzo chake ni Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga baada ya kuwakataa Banyamulenge kuwa siyo sehemu ya nchi yake.
 
Back
Top Bottom