REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,232
- 10,915
Hizi bodaboda hovyo sana.
Alaaniwe aloye anzisha huu ujinga.
Hawa na bodaboda Wanakera kinoma!Hizi bodaboda hovyo sana.
Alaaniwe aloye anzisha huu ujinga.
Muwage mnawasikia tu hao jw msiwaombee waingie kitaaa,tuwaonege tu wakiwa wamevaa tu Yale makombati, kuna muda nahisi wale wanaopelekwaga sehem za opareshen huwa wanadunia yao sio hii ya mtaaani.Tena ifanywe na jwtz,uwa awacheki na kima
Silka ya makabila tuliyonayo na ya Rwanda na Burundi inafanana?Kwanii ishindikane kwani Tanzania kuna makabila mangapi mbona tumeunguna umewahi kukakaa chini kama makabila yote yaliyopo Tanzania yasingeunguna tungekuwa kwenye hali gani sasa?
Nafahamu ndio ila pia nafahamu nyerere alikua mmoja ya wanzilishi wa Pan-African sioni sababu kuu ya kutounganaUnajua gharama aliyotumia Nyerere mpaka nchi hii kuwa MOJA??
Huwezi kuwapima ASKARI kwa operesheni kwa raiaMuwage mnawasikia tu hao jw msiwaombee waingie kitaaa,tuwaonege tu wakiwa wamevaa tu Yale makombati, kuna muda nahisi wale wanaopelekwaga sehem za opareshen huwa wanadunia yao sio hii ya mtaaani.
Mkitaka wajua vizur jw ulizieni watu wa mipakan Ile yenye fujo, hao watu washawahi mrusha kigogo wa wilaya kichurachura
Sababu kubwa ya kutoungana ipo mpaka leo.Nafahamu ndio ila pia nafahamu nyerere alikua mmoja ya wanzilishi wa Pan-African sioni sababu kuu ya kutoungana
Hizo nchi ukabila umeshajikita mizizi kiasi ya kuvuruga amani ya nchi kisa ukabila.Nafahamu ndio ila pia nafahamu nyerere alikua mmoja ya wanzilishi wa Pan-African sioni sababu kuu ya kutoungana
Ndo maana nasema tuwaachie wawe wa poli tu wakiingiaa mtaani kufanya opareshen hata wewe usiyemkimbiz utajuta kuwajuaHuwezi kuwapima ASKARI kwa operesheni kwa raia
Yote tisa ila ukweli utabakia pale pale waafrika bila kuunguna tutaendelea kuwa wasindikizaji hapa duniani sasa unafikiri kwa mtazamo wako tutakuwaje bila kuungunaSilka ya makabila tuliyonayo na ya Rwanda na Burundi inafanana?
Pia kumbuka zamani na sasa ni tofauti.
Tayari haya ni mataifa unataka kuyaunganisha yenye silka mbili tofauti.
Chuki tu inakusumbua kaka 🤣 🤣 🤣 🤣 Huna loloteUkishakuwa na lundo la Wanyarwanda nchini kwako.
Kazi ya Kagame inakuwa ndogo tu, inabaki kuwawezesha wapambanie HAKI ZAO ndani ya nchi yako.
Binafsi, naamini raia ndio mwanajeshi wa kwanza.Ndo maana nasema tuwaachie wawe wa poli tu wakiingiaa mtaani kufanya opareshen hata wewe usiyemkimbiz utajuta kuwajua
Izo ni sheria za nchi hatuwezi kubadilisha ila angalau kuna mambo muhimu na ya msingi inafaa tuunganishe kama sarafu moja, mitahala ya elimu,lugha na mengineyoSababu kubwa ya kutoungana ipo mpaka leo.
Huko kwingine watu walishagawana nchi zao.
Nyerere hakuwa mbinafsi
chunguzeni vizuri mama Magufuli alikabidhi fedha pale Chato kuna chumba kilikutwa na fedha!Geza atakuwa lini ni mtu mzima hovyo
Hii ndiyo point ya msingi kabisa. Kuna watu wanakuwa na uoga ambao hauna maana yoyote. Deep down ni chuki zisizo na maana. Geza Ulole anamchukia Magufuli mpaka leo. Ukiuliza sababu hana sababu yoyote. Vita ya Banyamulenge huko Congo DR chanzo chake ni Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga baada ya kuwakataa Banyamulenge kuwa siyo sehemu ya nchi yake.Yote tisa ila ukweli utabakia pale pale waafrika bila kuunguna tutaendelea kuwa wasindikizaji hapa duniani sasa unafikiri kwa mtazamo wako tutakuwaje bila kuunguna
Uongo. Hizo ni chuki zako dhidi ya watu wa kanda ya ziwa. Tunakujua kaka wala hutusumbui 🤣 🤣 🤣 🤣Ndio maana hapa ninakupiga pins huwezi kuhema. Chuki zako binafsi baki nazochunguzeni vizuri mama Magufuli alikabidhi fedha pale Chato kuna chumba kilikutwa na fedha!