Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 31,054
- 33,293
DP World and Adani si ndio wanamiliki Dar Port?
DP World and Adani si ndio wanamiliki Dar Port?
Says a dirty bang smoker chokoraa with one shoe.Hakuna mtanzania anayepata refarral kuja kutibiwa kwenu,ila wakenya kibao wanapata refarral kuja kutibiwa TZ,kuna mkenya namjua aliandikiwa refarral india ambapa cost yake usafiri na matibabu ilikua almost $18000,au aende jakaya kikwete cardiac institute,akaenda TZ,mwenyewe nishakuta mgonjwa mkenya kalazwa ward 1 na ndugu yangu mloganzila,wakenya wakawa wanashangaa tu hospitali ya serikali ward 1 wanakaa wagonjwa wawili tu,kunyan wengi walivyojazwa ujinga kule kwao basi wakifika TZ wanakua wanashangaa kila wanachokiona
They run few terminals, under TPA.DP World and Adani si ndio wanamiliki Dar Port?
Chokoraa hiyo ndio cooked source yako,waulize kunyan wenzako,hapo kcmc wamejaa,umia kidogo na location hiyo,halafu nimenunua shoes mpya unipee sasa huo mnduku
Ukienda,Hakuna mtanzania anayepata refarral kuja kutibiwa kwenu,ila wakenya kibao wanapata refarral kuja kutibiwa TZ,kuna mkenya namjua aliandikiwa refarral india ambapa cost yake usafiri na matibabu ilikua almost $18000,au aende jakaya kikwete cardiac institute,akaenda TZ,mwenyewe nishakuta mgonjwa mkenya kalazwa ward 1 na ndugu yangu mloganzila,wakenya wakawa wanashangaa tu hospitali ya serikali ward 1 wanakaa wagonjwa wawili tu,kunyan wengi walivyojazwa ujinga kule kwao basi wakifika TZ wanakua wanashangaa kila wanachokiona
Kcmc ndio wamejaa,unajua TZ kwenye takwimu uwa tupo nyuma sana sijui kwanini,wakati wenzetu uwa mpaka wanapika takwimu tu ili kuwapa unafuu flan kwenye mikopo huko in contrary takwimu zao kupika na wako na msoto wa ajabuUkienda,
- JKCI
- MNH
- MOI
- OCEAN ROADS (Cancer)
- KCMC
- NGOYONI
Utawakuta wengi tu
Hii nimeshindwa kabisa. Could it be Nakuru?
They like living in denialUkiwaambia maskini wao wamejaa huku wanakwambia mtu hawezi toka Vumbistan aje kuombomba Kenya.
Naona mmeanza kutoka barabarani(street beggars) na kuenda kwa vituo vya polisi kutafuta usaidizi kwa kulia kama mbuzi. Wakenya sisi ni wakarimu sana!Migori yaweza kuwa sawa, maana kama ametokea Sirari ni rahisi kuingilia hapo.
Kuna kitu hasemi kweli
Tuko vizuri tofauti ya wao na sisi ni moja: sis hatupigi kelele, yaani tuko kimya.Kcmc ndio wamejaa,unajua TZ kwenye takwimu uwa tupo nyuma sana sijui kwanini,wakati wenzetu uwa mpaka wanapika takwimu tu ili kuwapa unafuu flan kwenye mikopo huko in contrary takwimu zao kupika na wako na msoto wa ajabu
Yeah nafahamu ila they are not doing enough,kupanda miti haitoshii tuu,miti inaitaji uangalizi wa karibu baada ya kupandwa ambapo icho kitu huku hamnaDodoma kuna program.ya kupanda miti kwa kushirikiana na JKT, TFS
What is he doing!Huyo ni prison officer